[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] watu wanakula raha tyuuh duniani hapa.Mh Kikwete kama hautumii ile nyumba yako ya Mikocheni Migombani street nipe mimi nikae maana naona mapopo tu na majani yameota hadi getini.
Ndio ipo Kawe.
Nakushauri usijipe presha sana unaweza kufa kabla ya siku zako angalia maisha yako acha kuumizwa na mafanikio ya wenzako.yaan binamu wee acha tyuuh, mioyo ya wananchi inaumia sana ila bas tyuuh, vile wao hawajui.
Kikwete anakaa mikocheni unaingilia kwa baresa pale
Mkapa mwenyewe nyumba ya upanga ilikuwa ipoipo tu yeye anakaa masaki na lushoto
Ova
magu ndio alimjengea. Au hamfatilii habar
Lazima ajengewe tena nadhani ujenzi umeanza. Atakabidhiwa mjane wa mwendazake. Ndio utaratibu ulivyo.Mwenda zake naye atajegewa au ndiyo kaenda na nyumba yake?
Watanzania wacheni unafiki. Wapo wabunge 19 pale bungeni hawastahili kuwa pale wanalipwa na serikali karibu milioni 230 kila mwezi mbona sikusikii ukilipigia kelele?Kwa nchi ambayo majority hawana makazi / nyumba hata za mbavu za mbwa hizi dhiaka wangekuwa wanafanya kwa Aibu na sio kwa kujionesha kwamba wanalofanya ni la kusifika... Hii ni kuleta chuki tu baina ya matabaka (alafu mnajiuliza kwanini watu sio wazalendo) Uzalendo wakati keki wanakula baadhi wengine hata harufu hawapati ?
Hii nyumba ipo kawe na ndio hiyo magufuli kamjengea kwa mujibu wa katiba.Ile ya magu aliyomjengea mpaka akaenda kuikagua haikuwa bagamoyo kweli!!?
Maana hii wamesema ipo kinondoni
Wananchi wa malaysia itakua,huku tz mambo ni swafi tabasamu limerejeayaan binamu wee acha tyuuh, mioyo ya wananchi inaumia sana ila bas tyuuh, vile wao hawajui.
Nikianza kupigia kelele kila ambalo halipo sawa takuwa mpiga kelele..., mkuu huu ni ushauri tu kwa hawa viongozi tunapoelekea ambapo tabaka la walionazo linazidi kuwa dogo na wasionacho wanakuwa wengi mambo kama haya yataleta chuki wala hayana ulazima (nina uhakika muheshimiwa haitaji yote hayo)...,Watanzania wacheni unafiki. Wapo wabunge 19 pale bungeni hawastahili kuwa pale wanalipwa na serikali karibu 230 kila mwezi mbona sikusikii ukilipigia kelele?
Hata mimi natamani kuona ccm wakiondoka,swali ni je upinzani ni chama gani chenye watu makini wasio tamaa,wasio walevi,wahuni wababaishaji tukikabidhi nchi,hebu nitajie kimojaBasi sawa ila CCM inabidi tu wafunge virago ifakapo 2025
Ndio hiyo ya JPM mama amekabidhi tu.Nyumba gani tena!jpm si alishawapa
Ova
Dai katiba ifanyiwe marekebisho haya makelele hayasaidii. Mkiambiwa ooh chadema hawa wanasumbua. Nyamazeni kimyaa nisisikie mtu analalamika. PumbavuLeo rais kikwete amekabidhiwa nyumba yake kwa mujibu wa sheria kama bandiko la idara ya habari ikulu ilivyosema inathamani ya tsh 500million kwa mujibu wa jpm wakati akimkabidhi mzee ruksa
Hizi nyumba watakabidhiwa marais wote wastafu na zilinza kujengwa kipindi cha jpm hii kikwete alisema waimalize kwanza yeye bado amepanga na hadaiwi kodi hatimae leo wamekabidhi
Nyie maskini mtajijua awamu hii ipo kwa wakubwa na matajiri wa taifa
USSRView attachment 1778669View attachment 1778670View attachment 1778671
View attachment 1778667
View attachment 1778668