Kwa nchi ambayo majority hawana makazi / nyumba hata za mbavu za mbwa hizi dhiaka wangekuwa wanafanya kwa Aibu na sio kwa kujionesha kwamba wanalofanya ni la kusifika... Hii ni kuleta chuki tu baina ya matabaka (alafu mnajiuliza kwanini watu sio wazalendo) Uzalendo wakati keki wanakula baadhi wengine hata harufu hawapati ?
 
Mimi naweka ushabiki pembeni, ni sawa wakuu wa nchi lazima wapate privilege kiswahili fasaha nadhani upendeleo kutokana hadhi waliyoshika katika nchi, ila kuna kitu kimoja ndicho wananchi wangepigania na nadhani haki yao kabisa. wao kuweka sheria kwa viongozi wa juu mpaka kwa speaker wa bunge kuwa wapate 80% ya mishahara ya wakati huo wa Rais hapo haikuwa haki kwa watumishi wengi ambao wamefanya zaidi ya miaka 35 kazini. Kwa maana mishahara wa mwaka 80 sio mshahara wa 2021 na hata kwa purchasing power sio haki shilling 200 ya mwaka 80 sio ya leo 2021 hata pipi hupati. badala ya kulilia haya ya viongozi kupata binafsi sina tatizo na hili ila sheria ingepitishwa pia watumishi wote kupata asilimia 80% ya current salary kwa nafasi walizokuwa nazo kabla ya kustaafu hilo nadhani ndio jambo la msingi kuliko hizi kelele za nyumba na benz.
 
Kikwete anakaa mikocheni unaingilia kwa baresa pale
Mkapa mwenyewe nyumba ya upanga ilikuwa ipoipo tu yeye anakaa masaki na lushoto

Ova

Sasa wanajengewa majumba wakati wanayo kibao na mengine wanakaa popo tu? Kwanini wasibadili sheria zao hizo? hivi inawezekan PM au Rais amalize kipindi cha miaka 10 hakose kujenga nyumba? kama wabunge tu wanaolipwa 11m wana mahekalu ya hatari iweje kwa prezdent abaye hazina ipo mkononi mwake?
 
Watanzania wacheni unafiki. Wapo wabunge 19 pale bungeni hawastahili kuwa pale wanalipwa na serikali karibu milioni 230 kila mwezi mbona sikusikii ukilipigia kelele?
 
Mkiambiwa tupiganie Katiba mpya ooh machadema haya .sheria zikitekelezwa ooh inauma sana nyie vipi? Pumbavuu
 
Ile ya magu aliyomjengea mpaka akaenda kuikagua haikuwa bagamoyo kweli!!?

Maana hii wamesema ipo kinondoni
Hii nyumba ipo kawe na ndio hiyo magufuli kamjengea kwa mujibu wa katiba.
 
Watanzania wacheni unafiki. Wapo wabunge 19 pale bungeni hawastahili kuwa pale wanalipwa na serikali karibu 230 kila mwezi mbona sikusikii ukilipigia kelele?
Nikianza kupigia kelele kila ambalo halipo sawa takuwa mpiga kelele..., mkuu huu ni ushauri tu kwa hawa viongozi tunapoelekea ambapo tabaka la walionazo linazidi kuwa dogo na wasionacho wanakuwa wengi mambo kama haya yataleta chuki wala hayana ulazima (nina uhakika muheshimiwa haitaji yote hayo)...,

Hata kama mtu ni haki yako ila kuna haki nyingine bora tukazipunguza kulingana na waliotuzunguka wanatia huruma (ukizingatia kuwa nacho kwetu sisi kunatokana na wao)
 
Hongera sana Mama kwa kuwakumbuka wastaafu wetu,
Ukimaliza hamia kwa Makamo Marais Wastaafu kisha Mawaziri Wakuu Wastaafu,

#Kazi Iendelee.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Basi sawa ila CCM inabidi tu wafunge virago ifakapo 2025
Hata mimi natamani kuona ccm wakiondoka,swali ni je upinzani ni chama gani chenye watu makini wasio tamaa,wasio walevi,wahuni wababaishaji tukikabidhi nchi,hebu nitajie kimoja
 
Dai katiba ifanyiwe marekebisho haya makelele hayasaidii. Mkiambiwa ooh chadema hawa wanasumbua. Nyamazeni kimyaa nisisikie mtu analalamika. Pumbavu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…