Rais Samia amkabidhi Rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS) Hati ya Kiwanja

Ulitaka wakatae ili iwejeee
 
Kiwanja walipewa siku nyingi sana, leo wamekabidhiwa hati tu.
 
Wanasheria siyo maadui au mahasimu wa serikali. Wajibu wao ni kuisaidia serikali iendeshe shughuli zake kwa mujibu wa sheria.

Sasa kama serikali inawapa kiwanja cha kujenga ofisi za chama chao, ni jambo jema linaloonesha kuwa serikali inataka kutenda kisheria zaidi.

Hata hivyo, ni muhimu sheria ziwe za haki hivyo serikali haitakiwi kufanya hivyo kama njia ya kuwafanya wanasheria wasisimamie haki.
 
Wamekuwa outsmarted mbele ya kadamnasi ili wasigomee zawadi kama wale "walimu" waliogomea teuzi.Na hawapewi nafasi ya kuijadili zawadi.
 
Kiwanja walipewa siku nyingi sana, leo wamekabidhiwa hati tu.
Hata kama still ni ujinga, hawa wanashindwa wao kumiliki kiwanja chao? Vipi wapigania Uhuru na wao wangeanza kupewa vitu kama hivi unazania Uhuru ungepatiakana?

TLS wanapaswa kusimami haki, wanapo anza kuhongwa viwanja tambua hakuna kitu tena wanaweza fanya, na watakuwa na msosi wamepiga kabisa kule Ikulu
 
Wanasheria siyo maadui au mahasimu wa serikali. Wajibu wao ni kuisaidia serikali iendeshe shughuli zake kwa mujibu wa sheria...
Vipi kama Serikaki haifuati katiba unazani kuna watakacho weza kufanya? Wafuatilie Law Society of Kenya uone kazi zao hawana muda wakujikomba kwa watawala.
 
Hata kama still ni ujinga, hawa wanashindwa wao kumiliki kiwanja chao? Vipi wapigania Uhuru na wao wangeanza kupewa vitu kama hivi unazania Uhuru ungepatiakana...
Sasa hayo yako mengine mimi siwezi kuwajibia. Kwanini hauwapigii simu ukawauliza?
 
Ni tabia za wabongo kupenda vya dezo
 
Mkuu kwa akili za Wabongo unazani kuna kitu wana ng'amua ? sijui ni Mungu akitupiga upofu au ni basi tu.
Kuna taasisi zinapaswa kuheshimiana,kujadiliana na hata wakati mwingine kukubaliana kutokukubaliana mambo.Hakuna ulazima wa kupeana "zawadi" au "misaada" itakayoumba kutokuaminika hasa na jamii inayowatazama.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…