Rais Samia ampendekeza Profesa Janabi kuwa Mkurugenzi wa WHO-Afrika

Wanaomjua Hasa Kusoma Naye Wanasema Bongo Upande Wa Shule Ya Udaktari Alishindwa Ikabidi Aende Ng'ambo Kusoma
Ila Upande Wa Chakula Atatusumbua Sana Atagoma Tusile Chochote Tushinde Njaa
Mjanja sana we jamaa....
Eti upande wa shule ya udaktari alishindwa...hii maana yake nini?
Kwa uelewa wangu mdogo maana yake alikuwa Discontinued au nakosea mkuu?....nipo tayari kusahihishwa
 
Je ni Chuo Kikuu gani kilichompa u-Profesa? Na kwa machapisho gani?
 

Soma Hii Link
 
Ni Mtanzania mwenzetu tunatakiwa tumuunge mkono !
Yule alikuwa ni Dr. Na huyu wa sasa ni Prof wote ni wasomi wazuri tu !
Au nasema uongo ndugu zanguni. ???!
Tuubaguzi baguzi twingine hapa TZ tulishakataaga tangu enzi za Mwalimu πŸ˜³πŸ™ŒπŸ‘πŸ™
 
Ulitakiwa ukitoe kwanza hicho cheo chake cha Profesa, halafu ndiyo uombe CV yake. Kitendo tu cha mtu huyu kuwa ni Profesa; tayari kunampa extra merit kwa kazi hiyo
Still, mimi nilipendelea zaidi aendelee kutumika Muhimbili; anyway God knows
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…