Rais Samia amteua Jacob John Mkunda kuwa Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi (CDF)

Hongera zake; inawezekana Mkingule naye umri ulikuwa umekwenda. Yaani alikuwa anakaribia kustaafu kwa mujibu wa sheria.
LAKINI KULIKUWA NA MEJA GENARAL MAKANOZ ANAUMRI WA MIAKA 50 NA ALIKUWA MKUU WA NAVY BAADAYE MAMA KAMPELEKA RWANDA KUWA BAZOZI
 
Alifanya kazi mzuri sana kule Mishamo na Katumba na ni kamanda wa vita kwelikweli maana aliingia mpaka front line mwenyewe na askari, ingawa ki usalama ilikua ni hatari kulingana na cheo chake lakini ops ilifanikiwa Kwa zaidi ya 100% Vetting yake imekaa poa sana.
 
Wenzetu ni Sheria kabisa kuwa na Mwili na uzito unaotakiwa. Kinyume na hapo unachukuliwa hatua hata kuwa terminated. Nadhani sisi sheria haipo bali tunahimizana tu kufanya mazoezi
Uongo
 
Mkingule kaondolewa kumpisha Mzanzibari
 
Nyerere hakuwai Kupinduliwa katika utawala wake yale ya mwaka 1964 yalikuwa maasi ya Jeshi therefore get your fact right and that NYTimes article haionyeshi Kama Nyerere alipinduliwa.
 
Hii staili ya kupandisha vyeo na kuteua alianza JPM ina maana ile safu ya juu haiamiki kwa Cha cheo Cha CDF.......??????
 
Hapo kwenye chambo daah!Ni lazima mkuu utatokomea kusiko julikana,mambo ya kutawanywa maini kama wafanywavyo Ukraine si jambo dogo.
 
sasa tunataka jeshi la wananchi kwelikweli siyo jeshi la ccm
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…