Rais Samia amteua Jacob John Mkunda kuwa Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi (CDF)

Hongera zake.Naona bado kijana.
 
Kuna watu Huwa wanaishi kama hawapo... Na unakutaa Wana impact sanaa

Watu wamefanya makubwa....ila sio watu wa show off.....
umenena mkuu, na mara nyingi kuwabaini watu wa namna hiyo inahitaji jicho la ziada maana huwa wanazibwa kwa maksudi ili wasionekane, lkn kwa umakini wa Mama lazima atawaona tu.
 
Ningekuwa mimi ndio mabeyo saizi angali nipo Ikulu naitwa Rais na nisngetoka madarakani mpaka nife namaanisha mungu aingilie Kati.
Faida ni ndogo kuliko hasara!
1) Kelele za jumuia ya kimataifa!
2) Usalama wako binafsi inakuwa issue maana wakati wowote na wewe unaweza kupinduliwa au hata kuuwawa!
.
.
. ETC JAZA!
 
Mkunda.(ng'unda) safisana!

Namkumbuka sana.jeneral logaa mkunda...alisumbua sana miaka ile DRC mwisho wasiku karudi kwao Rwanda.hadi leo sijui yupowapi.
Jasiri sana hawa wenye majina hayo.

Sent from my SM-A022F using JamiiForums mobile app
 

Ndiyo maana nimekuuliza, unajuaje Rais amepinduliwa? Fafanua labda tutaelewana.

Naomba pia nikuulize, bila ya jeshi la Waingereza kuingilia kati Nyerere angerudi vipi ikulu? Maana wanajeshi walimfata mpaka Ikulu akaponea chupuchupu.
 
Nimekupata vizuri sana,je ivi hawa wajeda umri wao kustaafu upoje,kwamaana unakuta mtaani kijana wa miaka 45 anakwambia mie ni mstaafu wa jeshi,je miaka yao ya kustaafu jeshi ipoje
 
Huo ni uongo uliokithiri
 
Nimekupata vizuri sana,je ivi hawa wajeda umri wao kustaafu upoje,kwamaana unakuta mtaani kijana wa miaka 45 anakwambia mie ni mstaafu wa jeshi,je miaka yao ya kustaafu jeshi ipoje
Kadri unavyozidi kupata cheo cha juu, ndivyo kadri umri wako wa kustaafu uanvyozidi kuongezeka. Huyo aliyestaafu kwa umri huo nadhani atakuwa alikuwa kwenye rank ya CAPTAIN, na aliendelea kubaki hapo hadi umri wa miaka 45 ulivyotimia. Huyu alitakiwa awe MAJOR kabla ya umri huo na hivyo umri wake wa kusataafu nao ungepanda kutoka miaka 45 kwenda juu zaidi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…