We naye! Nyerere hakuwahi kupinduliwa. Ilikuwa ni mutiny.Baada ya Nyerere kupinduliwa na jeshi mwaka 1964, alipandisha vyeo watu waliomsapoti na kati ya hao waliomsapoti kulikuwa na wakabila. Mfano mzuri ni Musuguri alikuwa anashutumiwa kuwapendelea watu wa kanda ya ziwa.
Hivi Shimbo yupo kweli ?JWTZ mtu yeyote akifika cheo cha Brigadier General ujue ni jembe; usiulize uwezo wake. Ni Shimbo tu aliyetaka kulifanya Jeshi kama chombo cha siasa lakini pia hakufanikiwa.
Kamanda ni mpiganaji front. Ndio maana mkubwa humuita mdogo kamanda. Afande ni kiongozihuwa sipendi kusikia Mkuu wa Majeshi anaitwa "Afande...Mkuu wa Majeshi" sielewi hili neno "afande" ni sahihi kulitumia kwa wenye vyeo vya juu?!
kwa uelewa wangu nilidhani kwa vyeo vya juu anatakiwa kuitwa "kamanda".
naomba ufafanuzi kwa wenye kujua maana huwa nahisi kumuita "afande" ni kama kudunisha cheo chake.
wataalamu naomba mtusaidie hapo.
Mkuu wewe Ni mkongwe jf lakini unaandika upupu, siro uajafikisha 60 yrs!!Sirro nae ajiandae. Soon moshi mweupe utatoka. Kwanza Sirro alishastaafu long time sema Magufuli akaamua tu kuendelea nae.
Yakub hakuwa Luten General?Soma tena, kama hujaona nitakusomea
Uteuzi mzuri wenye dalili za kuijibu hii hoja, Je, Kuna Uhusiano wa Dini, Kabila na Ukakamavu?. Watu wa Dini, Kabila fulani, ni wazuri zaidi jeshini kuliko dini, kabila nyingine? Tangu kuanzishwa kwake JWTZ mwaka 1964, baada ya Luteni Generali mmoja tuu mwenye jina la Abdalah, ambaye alikuja kuwa CDF, leo ndio Luteni Generali wa mwingine mwenye jina la Salumu ameteuliwa, akiwa ndie Mzanzibari wa kwanza kufikia cheo hicho, na hivyo kuweka a possibility ya Tanzania kuja kupata CDF kutoka upande wa pili wa Muungano in future.
NB. Naomba kuweka caveats ya kutuhumiwa mbaguzi, makabila na mdini, amini usiamini my concern were bonafide genuine kuuliza mbona ma CDF wote ni kutoka upande mmoja na dini moja?. Unaweza kukuta no one noticed anything mpaka baada ya concern, ndio watu wakajiuliza, hivyo ikabidi kaji affirmative action kafanyike kumuondoa Luteni Generali aliyefuata kwenye normal progression ya kuja kuwa CDF, ili to create a room ya mtu wa kwanza wa upande wa pili naye aweze kuwa Luteni Generali!. Na kwa faida ya wanajukwa hili Pasco Mayalla kabla ya kuwa mtangazaji wa RTD, alipitia JKT Makotupora na MMJKT, kisha akajiunga straight na JWTZ Airwing na kuajiriwa with MT. Number, na sasa ni askari wa akiba, ikitangazwa vita sisi ndio tunatangulizwa mbele ili tuwe chambo.
P
Wewe kama wewe unge pendekeza nani?Hainiusu,uyo atakuwa kapendekezwa na Mabeyo
Huyo jamaa alishaacha kuwa makini siku nyingi. Lt. Gen. waislamu waliwahi kuwepo wengi yeye anasema mmojaYakub hakuwa Luten General?
We naye! Nyerere hakuwahi kupinduliwa. Ilikuwa ni mutiny.
DAR ES SALAAM, Tanganyika, Jan. 21—In a broadcast to a still tense nation, President Julius K. Nyerere tonight condemned the mutiny by the Tanganyikan Army as a “disgrace.” The President, whose whereabouts during yesterday's mutiny was a mystery, called on everyone to remain cairn.
His statement came at the end of a day in which the army's rebellion against its white officers spread inland and panic seized this capital on the coast of the Indian Ocean.
“My hope is that we shall never see such a disgrace repeated in Tanganyika,” the President said. His voice was noticeably strained.
Until tonight the President had not been heard from since hundreds of African troops seized Dar es Salaam in a day of violence, looting and killings. The death toll was put at 17 and the total of injured at 100.
The troops were incensed over the amount of their pay and the fact that British officers still commanded them two years after Tanganyika achieved independence from Britain.
Mr. Nyerere repeatedly sought to combat the idea that the mutiny was the beginning of an attempt to overthrow the Government.
Subscribe to The Times
- Thanks for reading The Times.
“Some people went around spreading rumors and claimed that I was no longer here, that my ministers were no longer here and that there was no Government,” he said. “Such rumors make a little trouble seem to be much bigger than it really is.”
The President appeared to be reading from a prepared text.
The capital had awaited Mr. Nyerere's statement for hours after learning that he was safe. But he spoke for only three minutes and his words left uncertainty on whether the mutiny had altered the strength of the presidency.
Mr. Nyerere referred to the mutiny as “some trouble,” called the killing a “sad story” and expressed his condolences for the dead.
It was what he did not say that caused apprehension.
He did not explain why he had remained silent for two days while jeering mobs had terrorized the city's Indian and Arab quarters, plundering shops, smashing windows and wrecking cars.
Nor was anything said about the fact that rioting soldiers had repeatedly usurped his au‐ thority as Commander in Chief of the Armed Forces.
The Constitution stipulates that only the President can commission officers and appoint them to commands. It also stipulates that only the President can terminate military appointments and dismiss members of the Armed Forces.
Both battalions of Tanganyika Rifles dismissed all their white officers on their own authority.
The army, known as the Tanganyika Rifles, has 1,600 men split into two battalions.
The latest insurrection broke out this morning at Dodoma, 450 miles inland, when 800 men of the Second Battalion seized their 10 British officers, five commissioned and five noncommissioned, and ordered them to leave the country. It is expected that they will be flown to neighboring Kenya with their 20 dependents.
Yesterday 800 men of the First Battalion forced their 17 British officers and 7 British noncommissioned officers out of the country. Africans were appointed in their places.
At one point in the mutiny, soldiers were said to have attacked an Arab shop in the capital with mortars, handgrenades and machine guns, killing eight persons, including a 6‐year‐old girl.
Basi akubariki weweambariki kwa lipi?...kwa uteuzi alioupata leo?. mwancheni Mungu ashughulike na majukumu mengine, acheni kumtwisha majukumu ya kijinga.
MgogoHuyu Generali ni Kabila gani ?
Ninachojua Mnadhimu katoke Upande a pili wa Nchi, tuna Balance
General Nkunda ana wasifu mzuri aliishawahi kuwa Brigade commander baada ya hapo akawa Land Force commander then ndo akawa na cheo alicho nacho kabla ya cheo kipya cha CDFTaarifa inaeleza kwamba Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amemteua John Mkunda kuwa Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi, ili kuziba pengo lililoachwa na na Venance Mabeyo anayestaafu kwa mujibu wa Sheria.
Kwangu mimi General Mkunda ni jina jipya kabisa, Naomba mwenye kuufahamu wasifu wa kiongozi huyu atuwekee hapa tumfahamu, japo kwa ufupi tu ili tusiingie ndani sana kwenye mambo ya Kijeshi.
Natanguliza shukrani
Shida wanajiingiza sana kwenye chaguzi.Pongezi nyingi kwa Mkuu wetu mpya wa Majeshi pamoja na Mnadhimu Mkuu wa Majeshi.
Sisi kama wananchi tunategemea watatumikia kwa weledi na ubunifu wa hali ya juu ili Jeahi letu liendelee kuwa Jeshi imara na la kisasa zaidi.
Kuhusu mimi mbona nimejieleza sana kwenye jukwaa hili jamani ! CV yangu ni fupi tu , mimi ni kijana Msomi na Tajiri ambaye ninamiliki kiwanda cha bidhaa zinazouzwa Ulaya tu , Kiwanda kiko Mbozi Road Temeke , DSM , nina Makazi Tanzania , (Tandika mwembeyanga na Kyela ) , Johannesburg , Ottawa , London na Marlyland .Tunaomba wewe utupe wasifu wako. Umekaa kimajungu tu. Tunapenda kujua mtu wa ovyo kama wewe huwa Ana CV gani. Be humble and share with us.
huyu aastaafishwe tu. hana mpyaUmri wa kustaafu sirro bado Sana, muwe mnafatilia
Sirro ndio kwanza ana miaka 58