Eh...Huyu Mavere Tukai ni "pharmaceutical management specialist".....amebobea haswa na ana IQ nzuri na anapenda KUSIKILIZA sana......
Mkuu wangu Nyboma kwa heshima ya ulipopita na kufanya kazi kama mzalendo si vema kuwakandia watanzania wenzako....
#Against Bigotry [emoji120]
#Against Any Form Of Prejudice And Discrimination [emoji120]
SIEMPRE JMT[emoji120]
🙏Wanasemaga Inshallaah!
Kweli mijitu km Chenge majizi makubwa eti yamesoma Havard! Mbuzi kasoro Mkia! Takataka kabisa!Kichwa maana yake nini weww sema umetumwa kuja kuoamba pamba tu hapa. Kuna vichwa vingapi tz hapa hadi vimepita Harvard lakini hakuna kitu. Akina prof muhongo na chenge sio vichwa?.mbona wameboronga kama kawaida?. Unga wa giningi............... Kaa kwa kutulia weae kijana. Kuna watu wenye weredi wengi sana tz lakini uliza wanachofanya maofisini hata form 6 hawezi fanya
Ni utapeli mtupu! Shenzi taipu!Unamkumbuka Daudi Balali ?
Huyu Mavere Tukai ni "pharmaceutical management specialist".....amebobea haswa na ana IQ nzuri na anapenda KUSIKILIZA sana......
Mkuu wangu Nyboma kwa heshima ya ulipopita na kufanya kazi kama mzalendo si vema kuwakandia watanzania wenzako....
#Against Bigotry 🙏
#Against Any Form Of Prejudice And Discrimination 🙏
SIEMPRE JMT🙏
Kweli mijitu km Chenge majizi makubwa eti yamesoma Havard! Mbuzi kasoro Mkia! Takataka kabisa!
Hilo nalo neno,vinginevyo Mjeshi Mej.General anaweza kukomaa kuwa yeye bado hajatenguliwaNamba mbili kazingua sana huyu mama yetu mbona ameshindwa kumaliza kuwa amechukua nafasi ya fulani bin fulani 🥺
Nami nampomgeza Mavere kwa kuteuliwa kwani kisifa anastahili,anapenda kusikiliza and i think ni team player.Huyu Mavere Tukai ni "pharmaceutical management specialist".....amebobea haswa na ana IQ nzuri na anapenda KUSIKILIZA sana......
Mkuu wangu Nyboma kwa heshima ya ulipopita na kufanya kazi kama mzalendo si vema kuwakandia watanzania wenzako....
#Against Bigotry 🙏
#Against Any Form Of Prejudice And Discrimination 🙏
SIEMPRE JMT🙏
Yaani 'Jumbe Brown' Ni chawa kwelikweli.Mavere kuwa nae makiniMaadam ni wewe chawa ndio unamsifia huyu jamaa nadhani hamna kitu kwani NDEGE WAFANANAO NDIO HURUKA PAMOJA!
Kuna teuzi zinafanyika mtu hata kama humjui unasikia tu amani moyoni .ccm mpaka something I happen ndo akili zinawarudi. Tubahitaji teuzi zinazotutendea haki sisi wavuja jasho. Narudia vijana ni wengi sana wenye weledi na uwezo wa kufanya kaziMkuu wangu unapinga hata uteuzi wa kichwa Tukai Mavere?!!!🤣🤣
mkuu mbona kama unalazimisha watu wakubali jamaa ni kichwa....anyway tupe achievement zake kidogo walau tujueMkuu wangu unapinga hata uteuzi wa kichwa Tukai Mavere?!!!🤣🤣
Umeona sifa watu wanamwagiwaHapo MSD ni madili tu kwakwenda mbele.
JWTZ mgambo muupo tuondoleeni huu upuuzi chukuewni nchi by 1st oif MayAnafanyia huko huko New York. Huyu mama tumepigwa.
Kwa mnayejua, ni hana uwezo au tunapinga tu sababu tuko upande unaotakiwa upinge?!kila mtu anapachika wake .
Huu uongo una mdanganya nani??Rais halali....masaa 24 yuko kazini....popote pale....