Rais Samia amteua Mavere Tukai kuwa Mtendaji Mkuu wa Bohari ya Dawa (MSD)

Hata Samia ni zao la USAID.

Ndiko alikopatia nguvu za kuja kuingia kwenye Siasa za Bongo.
 
Siku hizi barua za uteuzi zinasainiwa hotelini. Haya mama endelea kuupiga mwingi.
Uraisi amesema ni taasisi ,huyu halali na MAFAILI ya watu kama lile lijiwe Kuna MAFAILI ya Kina Pascal Mayala,Johnbaptist yanaozea kItandani chini ya mto chato.Kumbukeni uteuzi wa Mwigulu ulivyofanyika Toka chato usiku
 
Mama yupo Marekani. Na huyo jamaa amefanya kazi USAID....Ukiunganisha doti utajua hicho kimemo cha uteuzi kimetoka wapi....
 
Kateuliwa sababu ya vyeti.
 
Raymond Mndolwa aliwahi kuwa Mkurugenzi wa Operesheni za Mikoa pale NHC. Kumbukumbu zinaonyesha alisimamishwa kazi kwa tuhuma za ufisadi na aliyekuwa Waziri wa Ardhi, Mhe Lukuvi.

Sasa leo tunaona amepata uteuzi wa Rais. Je zile tuhuma zilikuwa ni malicious!?
 
Tuna subiria restructure ya jeshi la polisi.
 
pamoja na kumpamba kwa mie hata angewekwa mwalimu mkuu hapo ni sawa kuliko kumuacha huyo MEJA JENERALI MHIDZE aendelee kuwa hapo! mgombanishi sana! na ndio wanajeshi walioshikizwa nafasi kubwa uraiani wapo hivyo
 
Nilijua TU tangu kuteuliwa mjeshi ange fail vibaya sana.

Jeshini facilities zao supply chain management ni hovyo kabisa.

Sasa mtu unamtoa lugalo kisa ni major general unampa MSD lazima ashindwe.

Mbaya zaidi baada ya kuteuliwa alikusanya ma poti akawajaza MSD. AK fail vibaya zaidi na zaidi ya ku fail aliteuliwa na jiwe aliye fail tangu uchaguzi.

Zilikuwa teuzi za ma failure's
 
Anaweza akapigwa figisu akaonekana hovas kabisa
 
Kuna watu JF wana wivu balaa. CV za hawa watu wawili zinajitosheleza sana. Work experience 14 years bado mtu anasema hiki siyo kichwa seriously? Usually pessimism leads to fatalism. Kila la heri wateule, hivyo viatu vitawafit vizuri.
 
Safi Sana ,Rais anawajali watu wenye kuonyesha weledi na hasa kutoka private sector..

Huku Serikalini kumejaa wapuuzi wengi hawana hata exposure na wanawaza kuiba tuu.
 
Hata Laurian Rugambwa alitoka huko huko na cv yake ni kubwa kuliko ya huyu..
Nachojua mimi kila rais anaweka watu wake na mara nyingi kwa faida zake..
Akija rais mwingine kesho nakuhakikishia huyu atapigwa chini hata kama rekodi yake ni nzuri.
 
Tatizo la nchi yetu si viongozi bali ni mfumo mzima. Kila mtu mpigaji kuanzia juu hadi chini hata ukiweka mtu smart sana huko juu mfumo utamhujumu ili ashindwe waweze kupiga pesa. Inahitajika tufanyie overhaul kwa mifumo yetu kuanzia elimu za chini. Watu wanaingia kwenye ajira wakiwa na focus ni vipi wanaweza kumake easy money na kufanikiwa.
Hii imegharimu vijana wengi sana kwenye private sector. Private sector wako makini sana kumanage resource zao.
 
Huu ni uchawa mwingine. Unashauri O/S notification badala ya kushauri kuimarisha upatikanaji wa bidhaa za afya. Yaani aboreshe kuonesha tatizo na si kutatua tatizo. Acheni wizi basi.
 
Maza ilibidi akuteuwe ww manake una solutions zote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…