Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Mbona hilo hutokea maeneo kibao tu!! Zisharudishwa san.Msabaha kutokana na kushindwa kusikiliza kero za wananchi hadi kupelekea wananchi hao kurudisha kadi za chama cha Mapinduzi (CCM).
Kadi mzee ndo bigi purobulem! Wananchi ni baadae san hawana umuhim kiivo!!Kwa hiyo hapo tatizo ni kadi za kijani kurudishwa au wananchi kutosikilizwa? Huyu rais vipi ?
Mkuu acha kuleta taharuki 🤣🤣🤣Mbona yeye hasikilizi kero za watanzania walio wengi juu ya Mkataba wa Bandari?
Kwa hiyo njia pekee ya kuakoa BANDARI ZETU ni Kurudisha kadi za CCM?Raisi wa jamhuri ya muungano wa tanzania Dk Samia suluhu hassan akiwa mkoani pwani amesisitiza viongozi kuwa wabunifu na kutosubiria maelekezo kutoka juu hata hivyo amemtumbua mkuu wa wa wilaya ya mtwara baada ya wananchi kurudisha kadi za chama kwa kisingizio kuwa kuna upinzani mkali wilayani humo ,chanzo cha kutumbuliwa ndoo hicho kwa hiyo hana imani naye tena[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41]View attachment 2730337
Rabbon kakugusa kweny mfupa 🤣🤣, mpe vidonge vyake!!CCM ni Chama Dola usisahau hilo!
Ili kadi zisirudishwe kero na wananchi na hoja zao zisikilizwe!! Hii ndio solution pekee na sio utumbuaji!! Kuna shida kubwa kiutawala kutowathamin wananchi pale wanapopinga jambo au kulalamikia changamoto kadha wa kadha!!Raisi wa jamhuri ya muungano wa tanzania Dk Samia suluhu hassan akiwa mkoani pwani amesisitiza viongozi kuwa wabunifu na kutosubiria maelekezo kutoka juu hata hivyo amemtumbua mkuu wa wa wilaya ya mtwara baada ya wananchi kurudisha kadi za chama kwa kisingizio kuwa kuna upinzani mkali wilayani humo ,chanzo cha kutumbuliwa ndoo hicho kwa hiyo hana imani naye tena[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41]View attachment 2730337
Maandamano ya watumishi wa umma yapo kikatiba kabisa, mnakwama wapi walimu nk nk?So kurudisha kadi nikwamba sinampango wa kuchukua.
Haiwezekani kundi la wahuni wanakudanganya eti ongezeko la mshahara wa mtumishi sh Saba. 7
Wananch wengi zaidi ya 50 million wanategemea chench za mishahara wanayopokea watumishi maviongozi ya juu yanakula posho kibao. Hivi mwl wa darasan, nurse anakula posho wapi
Mmh, na wewe umeishaingiza upepo mkuu!Mkuu acha kuleta taharuki 🤣🤣🤣
Na ndiyo mana tuna maendeleo yasiyoeleweka kwa sababu yakuchanganya siasa na kazi za serikaliHao wamechepusha miradi ya serekali kwenye sehemu ambayo ni ya cuf wakidhani wangemfurahisha rais,kumbe wamemchukiza vibaya sana. (MH.samia rais wa wote )