Rais Samia ana hali mbaya kuelekea 2025, Wana-CCM wanatamani wapinzani wapewe nchi. Anaweza asipate hata 30% ya kura

hivi wewe si ulikuwaga mfuasi wa ibilisi meko wewe???
 
huyu ni mrundi asikupe shida, huwa anashinda ziwa tanganyika sana maeneo ya kibirizi
 
Ssh angekuwa anasikiliza critics hakika angepata Mo Ibrahim award tena sababu ni mwanamke ingekuwa rahisi na angeweka landmark kwa wanawake wengine wataokaobarikiwa kukamata dola kwa uchaguzi .

Katibu mkuu mstaafu Marten Lumbanga amenukuliwa akisema " Katiba mpya haikwepeki" wanaweza wakaikwepa lakini mabadiliko yanayoendelea duniani na haswa kwa sababu ya midororo ya uchumi, mabadiliko ya tabia nchi, na mabadiliko ya serikali zinazoshinda chaguzi nchi mbalimbali wahisani. Legacy kubwa mama ataiacha ni Katiba. Maana shule hizi hata zikijengwa hazitakuja kutosha, ajira ndio kabisa
 
Kuna watu ukisema ukwel wana mind kinoma ila iko waz mama hakubariki fact mbili
1:magu aliaminisha wananchi wa chini(mtetezi wa wanyonge) mama Katoa justice kaleta equality hivyo wanyonge wanaona wanaonewa tozo Nyingi
2: mwanamke apa kakosa kula za wamama
 
Hakuna mwanaCCM anayetamani upinzani uingie madarakani!

Wapo wanaotamani mwanaCCM mwenzao ashinde uchaguzi kupitia upinzani kama ilivyokuwa kwa mamvi
 
Chawa watu walishaamka muda mrefu, au unadhani matumizi ya vyombo vya dola yataendelea kuwa upande wenu kila siku? Machafuko tu ndio yatawaondoa madarakani nyie majizi ya kura.
Hakuna wakuleta machafuko nchi hii, maana watanzania Wana Imani na matumaini makubwa Sana na serikali ya CCM, ndio maana unaona hata Lisu aliposema muandamane hata wewe mwenyewe ulimpuuza na Kuendelea na shughuli zako za kukupatia kipato,maana unayo Imani na CCM na unatambua wazi kuwa Lisu Ni mbabaishaji tu
 
Watanzania wote tumeona maendeleo makubwa aliyoleta Rais Samia Suluhu kwa kipindi cha siku 567 kwaiyo 2025 mama hana haja ya kufanya ata campaign maana matendo yake yanajieleza tupo nae mpaka 2030
"Watanzania wote", hilo tu linaonyesha huna kitu kichwani. Sijui kwa nini unapoteza muda hapa JF.

Nashangaa sana umeamua kuelekeza akili yako mbovu kunijibu mimi.

Usihangaike, huwa sina muda wa kupoteza kujibishana na watu wa aina yako.
 
Kabisa umepoteza na mda na wino wako kuandika huu ushuzi? Yani 2025 samia asiwe Rais? Hamjifunzi tu jamani
 
Matumaini ya kuzoa viti vya ubunge upo kama ilivyokuwa awamu ya nne.
EeeenHeeee!

Hiyo awamu ya nne yenyewe hao wapinzani walioingia bungeni ilikuwa ni kwa jasho na damu, au hukumbuki?
 
Acha uongo na upotoshaji wako hapa wakuleta uchonganishi na kujipa faraja ambayo kwa Sasa mmekosa baada ya kuwa mmepuuzwa na watanzania
Juzi tu hapa Geita alipokuja Kinana walimwambiaa kabisa Samia hapendwi, mwanzoni kabisa mwa mwaka huu alikuja Shaka akasema Samia mitano tena wananzengo tena akina mama wa CCM wakasema NDOHOOOOO nilishangaa sana.
Ilngo
 
EeeenHeeee!

Hiyo awamu ya nne yenyewe hao wapinzani walioingia bungeni ilikuwa ni kwa jasho na damu, au hukumbuki?
Democracy kwenye Nchi iliyozowea kuendeshwa na Chama kimoja tena cha kikomusti inatakiwa struglle kwelikweli.

Hata wakati huo Kinana na Nape walipambana na sisi kweli kweli.
 
Ndugu yangu usihangaike na Watanzania sababu aijulikani wanataka nini
 
5. Jinsia yake.

Hili nalo ni kujitetea tu, Jinsia Wala ht Si tatizo.

Pale Ethiopia ni JINSIA hiyo hiyo, mbona Yeye hakukimbilia Seat ya dirishani???

Alionyesha msimamo wote tumemkubali...
Rais wa Ethiopia siyo mkuu wa serikali kikatiba bali ni mkuu wa nchi asiye na madaraka ya kuteua au kuunda serikali.

Huwezi kulinganisha rais wa Ethipia na Tanzania maana kimamlaka hawashabihiani kabisa
 
Democracy kwenye Nchi iliyozowea kuendeshwa na Chama kimoja tena cha kikomusti inatakiwa struglle kwelikweli.

Hata wakati huo Kinana na Nape walipambana na sisi kweli kweli.
Sasa Kinana huyo huyo eshajuwa njia nzuri zaidi za kuwabana wapinzani, nafuu hiyo ya kupata wabunge wengi itatoka wapi?

Nitakuelewa vyema ukigeuza mawazo yako kuelekea kwenye mbinu mpya. Badala ya kuwaponda vichwa, sasa Samia atakuwa nawapoza kwa maneno hao wapinzani, halafu wanalala usingizi. Mbuge mmoja au wawili, bahati yao sana.
 
Kwani hiyo katiba ndiyo itatoa ajira kwa vijana? Kwani wewe kwa akili yako na upeo wako huoni mh Rais Samia anavyoweka mazingira mazuri kisera na kisheria yaliyosababisha kuongeza wawekezaji ndani ya kipindi kifupi? Huoni ajira zitaongezeka kupitia uwekezaji? Huoni namna secta binafsi ambavyo imeimarika kipindi hiki? Unazani Ni ajira ngapi zimezalishwa na zitazalishwa kupitia kuimarika kwa secta binafsi? Watanzania wanachohitaji Ni maendeleo tu siyo hizo blaa blaa zenu hapa,

kwanza nyie si mlikimbiaga kwenye bunge la katiba? Mlizani mtaitwa kubembelezwa? Au mlikuwa ninyi Ni special Sana? Watanzania wamewapuuza na Wala hawana habari na nyie na kwa Sasa wapo bega kwa bega na mh Rais wetu mpendwa mama Samia
 
Naona mtoa mada anajifariji tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…