Rais Samia anafanya kile ambacho wengi wenye akili tunataka afanye! Kwa hili anastahili pongezi

Tupe ushahidi wa umiliki wa hivyo vitalu kwa huyo msoga!

Tatizo unalolisema la Msd umeligundua baada ya huyo Samia kuweka mambo wazi na hadi aliposema wanatakiwa kufanya mabadiliko! Ndo mana akateua Mtendaji Mkuu mpya
 
Hapo wenye akili mnataka nini? Mfumo wetu wa maisha ndicho kikwazo kwa watalii.
Mfumo wa Maisha unahusianaje na kuwa kikwazo kwa watalii?

Kama highest no ya watalii tuliyowai kupata tangu Tanzania kuwai kuwapo ni 2.7 Milion inamaanisha tukifanya zaidi tunaweza fikisha hata 10 Mil. Kikubwa ni jitihada ikiwemo kujitangaza bila kuchoka
 
Yani wee jamaa bado mawazo yako ni ya kizamani mno.Rasilimali kubwa ambayo tunatakiwa kuiendeleza ni akili ya watu wetu (human resource).Hii ikiwa kubwa rasilimali nyingine zote zitakuwa na maana vinginevyo zitabakia kuwa takataka tu. DR Congo wana rasilimali nyingi mno kuliko hata zilizopo Tz lakini kwa sababu ya kukosa akili wamebaki kuuana wenyewe kwa wenyewe na kubakia masikini.Hivyo mimi ningekuelewa kama ungezungumzia kuwekeza vya kutosha ktk elimu.
 
Kuhusu wizi, ufisadi na ubadhirifu, umesema vema. Ni tatizo kubwa kwa nchi yetu.

Ulipoharibu ni pale uliposema eti Magufuli aliamua kupambana na hili. Ukweli ni kwamba Magufuli.aliwazuia au kuwaondoa wevi, mafisadi na wabadhirifu wa mwanzo, kisha akatengeneza wa kwake, huku yeye mwenyewe akishiriki kikamilifu katika uovu huo, wakati huo huo akiwapumbaza watu kuwa anapambana na uovu.

Report ya CAG, imeweka wazi ambayo wengi wa waliopumbazwa na uwongo wa marehemu Magufuli, ambapo watu wake wa karibu wakiwa ndiyo mirija ya kuibia pesa ya umma. Mayanga ni mfano wa awali.
 
Tupe ushahidi wa umiliki wa hivyo vitalu kwa huyo msoga!

Tatizo unalolisema la Msd umeligundua baada ya huyo Samia kuweka mambo wazi na hadi aliposema wanatakiwa kufanya mabadiliko! Ndo mana akateua Mtendaji Mkuu mpya
Nakubaliana nawe. Uchafu wa MSD umewekwa wazi na utawala wa Samia. Utawala wa Magufuli uliulinda wizi wa MSD kama ulivyoulinda uharamia wa akina Sabaya, Makonda, Mayanga, na wengine wengi watu wake wa karibu.
 
Hayo madudu ni bajeti ya 2021/2022 ambayo inaendelea kutekelezwa. Meanwhile mama kaanza nayo na anaitekeleza.

Wachota hela hiyo ni timu msoga kwa taarifa yako. Na mama hawezi wadhibiti hao kwa kuwa ndo wanamlinda na kuongoza nchi.

Kwani January amewekwa pale na nani kukatakata umeme.

Kwani kodi utitiri za miamala kila nahali zimewekwa na nani. Na je fedha lukuki za miamala zinaketa madiliko gani ya maendeleo tangu zianze mwaka jana.

Ester Bulaya alisema hakuna barabara mpya zinazojengwa tangu mrithi wa marehem ashike kijiti. Ulimwelewa?

Kwa ujumla spidi ya maendeleo imerudi nyuma. Mama anabadilshia baibui kwenye ndege. Ana safari nyingi za nje kuliko za kutembelea wananchi.
 
Dogo wacha kulamba mavi ya watu....hii kazi afanyayo rais ni kazi wanaifanya mabalozi wetu na maofisa wao. Mama anapoteza muda tu na pesa za wananchi kuzunguka maduniani kuitangaza Tanzania.
 
Lazima uwe na sehemu za kufikia watalii zenye kuwavutia, mfano hoteli zilizo rafiki na kambi zilizo rafiki, pia uwe na waongoza watalii wanaojua lugha kulingana na mtalii na wasiwe wababaishaji. Ubabaishaji na ukwapuaji ndio mtindo wetu wa maisha, ukweli kwetu ni tatizo.
 
Wanaoumia ni either washamba au hawana ufahamu na jinsi dunia inavyo operate tu!

Ni wa kuonewa huruma tu
ukisema tutumie gharama kubwa kuutngaza utalii na wakati huku ndani ya nchi miundo mbinu ya kufika kwenye hizo sehemu ili watalii wapelekwe haipo sawa. utakuwa tabularasa. miundo mbinu ya hotels barabara bado sio rafiki. taasisi zinazosimamia utalii zenyewe ni mkanganyiko haileweki nani ni nani ukienda huku unakutana na TAWA huku TANAPA kule wengine vurugu tupu.
 
Kwanza inabidi wewe ndio uache matamko ya kuwapangia watu nini cha kuongea maana hizo zama hazipo tena.
Hamna mtu aliyesema kuwa matangazo ya utalii yameanza awamu hii. Hata hivyo kinachofanyika sasa ni revolutionary na kuendana na wenzetu hasa wenye uchumi unaotegemea Utalii. Ndivyo wanavyofanya.
Zile akili mgando za kuona kujifungia ndani tu ni ujasiri na kusafiri nje ni dhambi, dead and buried bandugu.
 
Hongereni nyie wenye akili mbaya
 
Kwahiyo Uzi mrefuuuu ni kuhusu RT??


Alafu Nawewe unajinasabu Kwa "Wenye akili" !!
 
Uchafu wa MSD umewekwa wazi na utawala wa Samia
Kuweka wazi ni jambo moja na kuchukua hatua ni jambo lingine.

Wananchi wanataka kuona hiyo ripoti ya CAG ikifanyiwa kazi. (Jambo ambalo nina hakika halitafanyika kwenye huu utawala) CCM ni mafia.
Sasa hivi wananchi wengi(hata upinzani) wanacheza ngoma ya hiki chama bila kujitambua.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…