Lord denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 15,819
- 33,255
- Thread starter
-
- #21
Tupe ushahidi wa umiliki wa hivyo vitalu kwa huyo msoga!We kima, utalambaje asali wakati vitalu vyote ni mali ya msoga? Kwani shida ya Tanzania unaifahamu wewe?
Tatizo si kukosa watalii, bali mapato yake yanakwenda wapi?
Kama unasikiliza bunge mlilotaka liwe live, iko hivi MSD wanatumia sh 117m kununua dawa ambayo kwenye soko la dunia ni sh 32m tu.
Hata Tanzania tupate fedha kiasi, tutabaki maskini kwa kuwa matumizi hayana huruma na Watanzania.
Ndipo utaona Magufuli anathamani kubwa kiasi kwenye kupambana na hilo.
SanaUna uhakika mna akili?
Uzi mzito sana kwa upeo wako ndugu! Nenda tu jukwaa la mapenzi
Mfumo wa Maisha unahusianaje na kuwa kikwazo kwa watalii?Hapo wenye akili mnataka nini? Mfumo wetu wa maisha ndicho kikwazo kwa watalii.
Kwa comment zako tu unaonekana una elimu ya hapa na pale! Uzi lazima uwe mzito sana kwakoHahaha kwa hiyo wewe ndiye unayeamua kwamba ni “uzi mzito” ?
Kwa comment zako tu unaonekana una elimu ya hapa na pale! Uzi lazima uwe mzito sana kwako
Kuhusu wizi, ufisadi na ubadhirifu, umesema vema. Ni tatizo kubwa kwa nchi yetu.We kima, utalambaje asali wakati vitalu vyote ni mali ya msoga? Kwani shida ya Tanzania unaifahamu wewe?
Tatizo si kukosa watalii, bali mapato yake yanakwenda wapi?
Kama unasikiliza bunge mlilotaka liwe live, iko hivi MSD wanatumia sh 117m kununua dawa ambayo kwenye soko la dunia ni sh 32m tu.
Hata Tanzania tupate fedha kiasi, tutabaki maskini kwa kuwa matumizi hayana huruma na Watanzania.
Ndipo utaona Magufuli anathamani kubwa kiasi kwenye kupambana na hilo.
Nakubaliana nawe. Uchafu wa MSD umewekwa wazi na utawala wa Samia. Utawala wa Magufuli uliulinda wizi wa MSD kama ulivyoulinda uharamia wa akina Sabaya, Makonda, Mayanga, na wengine wengi watu wake wa karibu.Tupe ushahidi wa umiliki wa hivyo vitalu kwa huyo msoga!
Tatizo unalolisema la Msd umeligundua baada ya huyo Samia kuweka mambo wazi na hadi aliposema wanatakiwa kufanya mabadiliko! Ndo mana akateua Mtendaji Mkuu mpya
Dogo wacha kulamba mavi ya watu....hii kazi afanyayo rais ni kazi wanaifanya mabalozi wetu na maofisa wao. Mama anapoteza muda tu na pesa za wananchi kuzunguka maduniani kuitangaza Tanzania.Kwa miaka mingi sana Tanzania tumekuwa tunalalamika jambo moja kuu, nalo ni kwamba, pamoja na kuwa na maliasili na utajiri mwingi ila nchi yetu hasa wananchi wamekuwa masikini sana!
Mjadala huu umezungumzwa na kipindi kirefu sana na moja ya sababu ambazo zimekuwa zikitolewa kwa Tanzania kuendelea kuwa masikini pamoja na kuwa na utajiri na Maliasili nyingi ni kwa sababu tumekuwa hatutumii utajiri wetu vizuri ikiwemo kuutangaza kwa dunia ili utunufaishe kiuchumi! Siku zote biashara ni Matangazo!
Kwenye hili suala napenda leo nikiri kuwa Rais Samia ameanza kulipatia majibu suala hili!
Kwa Bara la Afrika, nchi zinazoongoza kwa kupokea watalii wengi ni Morocco, Algeria, Misri na South Africa. Nchi hizi zinapokea watalii zaidi ya Mil 5 hadi Mil 10 kwa mwaka. Na kusema kweli hizi nchi utalii unazinufaisha sana! Kiuhalisia hizi ndo nchi zenye Uchumi mkubwa Afrika na ndo zinaongoza kwa kuwa na chumi imara na maisha bora kwa sehemu kubwa ya wananchi wake!
Ila kwa uhalisia, Kama umetembelea nchi hizi zinazoongoza kwa utalii Africa utagundua kuwa hazina kitu kikubwa kuizidi Tanzania na ukweli ni kuwa Tanzania ina vivutio vingi vya utalii kuzizidi nchi zote hizi.
Kwa South Africa tu! Watalii wengi hupenda kutembelea makumbusho ya Mandela, beach za Cape Town na Mbuga maarufu ya Kruger National Park.
Kiuhalisia Tanzania tuna makumbusho nzuri za freedom fighters wa kusini mwa Afrika zilizopo Bagamoyo, Morogoro na Mtwara na pia Makumbusho ya Mwalimu Nyerere ambae kwa sehemu kubwa anaheshimika sana duniani. Ukiuliza kwa nini hazifahamiki jibu ni moja tu! Hatujazitangaza vya kutosha duniani huko! Na huu ndo ukweli! Vitu vyetu vizuri hatuvitangazi !
Kwa Kruger National Park ya South Afrika Hii ni sawa na nusu au robo ya Mikumi National Park. Kwa idadi ya wanyama haifikii Serengeti au Selous hata kwa robo tu, Ila Leo hii duniani huko ni watu wachache sana wanaijua Selous. Pamoja na Serengeti na Ngorongoro kufahamika ila bado hatujazipa promo za kutosha duniani huko! Selous ambayo kiuhalisia ina wanyama wengi kuliko hata Serengeti haitembelewi hata na watalii 10000 tu kwa mwaka na sababu kuu ni kwamba hatujaitangaza na haijulikani! Kweli kwa muda mrefu tumekuwa kichwa cha mwenda Wazimu!
Kwa beach za Cape Town hizi kwa uzuri hazifikii hata robo kwa uzuri compared na beach za Zanzibar na Mafia! Ila still wao beach zao zinatwmbelewa na watalii wengi kuliko beach zetu za Zanzibar na Mafia. Shida ni moja tu! Tumekuwa hatujitangazi na kujiuza kwa dunia ipasavyo!
Kabla ya COVID , sekta ya utalii ndo imekuwa ikichangia kwa sehemu kubwa zaidi katika kuingiza fedha za kigeni na kwenye pato la Taifa! Imekuwa ikifanya hivi huku Tanzania ikiwa haijawai kupokea Watalii Milioni 3 tu tangu kupata uhuru! Fedha hizi ndo zimekuwa zikiendesha nchi, kulipa mishahara na kununua madawa! Swali la kujiuliza ni Je hali ingekuwaje Tanzania ingekuwa inapokea watalii Milioni 5 au 7 au 8 au 10 kwa mwaka? Leo hii si tungekuwa na maendeleo makubwa sana?
Kusema kweli napenda kumpongeza sana Rais Samia kwa Hii Royal Tour, napenda sana tufanye season 2 ya Royal Tour ambapo tuionyeshe Dunia makubwa zaidi yaliyopo Tanzania.
Napenda kushauri kuwa sasa kuwe na Tangazo la kuitangaza Tanzania kwenye channel kubwa kama CNN, Al Jazeera na BBC, kuwe pia na Matangazo ya Tanzania kwenye klabu kubwa duniani kama Barcelona au Real Madrid au Liverpool au Chelsea
Tuvute mikataba nao na tuuze bidhaa zetu hata korosho na kahawa kwenye stadiums zao!
Hongera Rais Samia! Umeanza vizuri, Royal Tour iwe mwanzo tu na wala usiloose focus kwenye hili! Hayo ndo maono ya Rais!
Lazima uwe na sehemu za kufikia watalii zenye kuwavutia, mfano hoteli zilizo rafiki na kambi zilizo rafiki, pia uwe na waongoza watalii wanaojua lugha kulingana na mtalii na wasiwe wababaishaji. Ubabaishaji na ukwapuaji ndio mtindo wetu wa maisha, ukweli kwetu ni tatizo.Mfumo wa Maisha unahusianaje na kuwa kikwazo kwa watalii?
Kama highest no ya watalii tuliyowai kupata tangu Tanzania kuwai kuwapo ni 2.7 Milion inamaanisha tukifanya zaidi tunaweza fikisha hata 10 Mil. Kikubwa ni jitihada ikiwemo kujitangaza bila kuchoka
ukisema tutumie gharama kubwa kuutngaza utalii na wakati huku ndani ya nchi miundo mbinu ya kufika kwenye hizo sehemu ili watalii wapelekwe haipo sawa. utakuwa tabularasa. miundo mbinu ya hotels barabara bado sio rafiki. taasisi zinazosimamia utalii zenyewe ni mkanganyiko haileweki nani ni nani ukienda huku unakutana na TAWA huku TANAPA kule wengine vurugu tupu.Wanaoumia ni either washamba au hawana ufahamu na jinsi dunia inavyo operate tu!
Ni wa kuonewa huruma tu
Kwanza inabidi wewe ndio uache matamko ya kuwapangia watu nini cha kuongea maana hizo zama hazipo tena.Acheni kusifia upuuuzi. Tanzania imeanza harakati za kutangaza Utalii Duniani huyo Mtu wenu akiwa bado anasoma.
LIGI YA UINGEREZA EPL kwenye Uwanja wa timu ya SUNDERLAND nk matangazo ya Vivutio vya Tanzania yameanza kutangazwa miaka na miaka, halafu anakuja msugua gaga mmoja anataka kutuaminisha kwamba harakati zimeanza Awamu ya 6 kwamba Utalii ulikua hautangazwi. Kwa taarifa yako Ulaya na Marekani Wameeeshaenda hadi Waziri na Wasanii wa Bongo Movie kutangaza Vivutio mkuu usitiletee matapishi humu.
Hongereni nyie wenye akili mbayaKwa miaka mingi sana Tanzania tumekuwa tunalalamika jambo moja kuu, nalo ni kwamba, pamoja na kuwa na maliasili na utajiri mwingi ila nchi yetu hasa wananchi wamekuwa masikini sana!
Mjadala huu umezungumzwa na kipindi kirefu sana na moja ya sababu ambazo zimekuwa zikitolewa kwa Tanzania kuendelea kuwa masikini pamoja na kuwa na utajiri na Maliasili nyingi ni kwa sababu tumekuwa hatutumii utajiri wetu vizuri ikiwemo kuutangaza kwa dunia ili utunufaishe kiuchumi! Siku zote biashara ni Matangazo!
Kwenye hili suala napenda leo nikiri kuwa Rais Samia ameanza kulipatia majibu suala hili!
Kwa Bara la Afrika, nchi zinazoongoza kwa kupokea watalii wengi ni Morocco, Algeria, Misri na South Africa. Nchi hizi zinapokea watalii zaidi ya Mil 5 hadi Mil 10 kwa mwaka. Na kusema kweli hizi nchi utalii unazinufaisha sana! Kiuhalisia hizi ndo nchi zenye Uchumi mkubwa Afrika na ndo zinaongoza kwa kuwa na chumi imara na maisha bora kwa sehemu kubwa ya wananchi wake!
Ila kwa uhalisia, Kama umetembelea nchi hizi zinazoongoza kwa utalii Africa utagundua kuwa hazina kitu kikubwa kuizidi Tanzania na ukweli ni kuwa Tanzania ina vivutio vingi vya utalii kuzizidi nchi zote hizi.
Kwa South Africa tu! Watalii wengi hupenda kutembelea makumbusho ya Mandela, beach za Cape Town na Mbuga maarufu ya Kruger National Park.
Kiuhalisia Tanzania tuna makumbusho nzuri za freedom fighters wa kusini mwa Afrika zilizopo Bagamoyo, Morogoro na Mtwara na pia Makumbusho ya Mwalimu Nyerere ambae kwa sehemu kubwa anaheshimika sana duniani. Ukiuliza kwa nini hazifahamiki jibu ni moja tu! Hatujazitangaza vya kutosha duniani huko! Na huu ndo ukweli! Vitu vyetu vizuri hatuvitangazi !
Kwa Kruger National Park ya South Afrika Hii ni sawa na nusu au robo ya Mikumi National Park. Kwa idadi ya wanyama haifikii Serengeti au Selous hata kwa robo tu, Ila Leo hii duniani huko ni watu wachache sana wanaijua Selous. Pamoja na Serengeti na Ngorongoro kufahamika ila bado hatujazipa promo za kutosha duniani huko! Selous ambayo kiuhalisia ina wanyama wengi kuliko hata Serengeti haitembelewi hata na watalii 10000 tu kwa mwaka na sababu kuu ni kwamba hatujaitangaza na haijulikani! Kweli kwa muda mrefu tumekuwa kichwa cha mwenda Wazimu!
Kwa beach za Cape Town hizi kwa uzuri hazifikii hata robo kwa uzuri compared na beach za Zanzibar na Mafia! Ila still wao beach zao zinatwmbelewa na watalii wengi kuliko beach zetu za Zanzibar na Mafia. Shida ni moja tu! Tumekuwa hatujitangazi na kujiuza kwa dunia ipasavyo!
Kabla ya COVID , sekta ya utalii ndo imekuwa ikichangia kwa sehemu kubwa zaidi katika kuingiza fedha za kigeni na kwenye pato la Taifa! Imekuwa ikifanya hivi huku Tanzania ikiwa haijawai kupokea Watalii Milioni 3 tu tangu kupata uhuru! Fedha hizi ndo zimekuwa zikiendesha nchi, kulipa mishahara na kununua madawa! Swali la kujiuliza ni Je hali ingekuwaje Tanzania ingekuwa inapokea watalii Milioni 5 au 7 au 8 au 10 kwa mwaka? Leo hii si tungekuwa na maendeleo makubwa sana?
Kusema kweli napenda kumpongeza sana Rais Samia kwa Hii Royal Tour, napenda sana tufanye season 2 ya Royal Tour ambapo tuionyeshe Dunia makubwa zaidi yaliyopo Tanzania.
Napenda kushauri kuwa sasa kuwe na Tangazo la kuitangaza Tanzania kwenye channel kubwa kama CNN, Al Jazeera na BBC, kuwe pia na Matangazo ya Tanzania kwenye klabu kubwa duniani kama Barcelona au Real Madrid au Liverpool au Chelsea
Tuvute mikataba nao na tuuze bidhaa zetu hata korosho na kahawa kwenye stadiums zao!
Hongera Rais Samia! Umeanza vizuri, Royal Tour iwe mwanzo tu na wala usiloose focus kwenye hili! Hayo ndo maono ya Rais!
Waaaambie Mkuuu wanajifanya kusahau.Nakumbuka Lazaro Nyalandu akiwa waziri naye alizunguka Marekani na Auntie Ezekiel mwaka 2015 wakitangaza utalii.😁!
Kuweka wazi ni jambo moja na kuchukua hatua ni jambo lingine.Uchafu wa MSD umewekwa wazi na utawala wa Samia