Rais Samia anafanya kile ambacho wengi wenye akili tunataka afanye! Kwa hili anastahili pongezi

Endelea kuishi kwa mawazo mfu! Kuwekeza kwenye Elimu ni jambo lingine na kuwekeza kwenye utalii ili upate hela za uhakika za kukuwezesha kuwekeza kwenye elimu bora ni jambo lingine
 
Amechukua hatua ya kubadilisha Uongozi wa MSD kwa kumuweka Mtendaji mwingine! Tafuta lingine
 
Watalii wanaofika Ngorongoro na Serengeti wanafikaje?

Nitakubaliana na wewe ukisema miondombinu iboreshwe zaidi hasa kwenye maeneo ambayo we have not invested enough kama Ruaha National Park, Selous, Kitulo na Katavi National Park
 
Endelea kuishi kwenye hiyo dunia yako ya chuki inayokupa mawazo ya kusadikika
 
Kukaa Marekani unamaanisha nini? Rais yupo Marekani Kikazi na anafanya kazi za kuliletea maendeleo Taifa huko Marekani! Shida iko wapi?

Unataka akae Tanzania tu Tanzania wakati kuna kazi muhimu za kufanya Marekani? Utakuwa na mtindio wa ubongo
Tunaomba Raisi Wa Marekani Aje Tanzania Akae Wiki Mbili.

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 

Mkuu utalii sio akili ya zamani
Pia tunaweza kuza utalii na akili za watu simultaneously
 
Dogo wacha kulamba mavi ya watu....hii kazi afanyayo rais ni kazi wanaifanya mabalozi wetu na maofisa wao. Mama anapoteza muda tu na pesa za wananchi kuzunguka maduniani kuitangaza Tanzania.

Mzee mabalozi wakitangaza haiwi sawa na raisi
Pia mtoa mada kasema point sana kuwa tuwe na matangazo ya utalii katika channel kubwa dunian
Licha ya kuwa tutatumia pesa but am sure pesa yetu itarudi zaidi
 
Mzee mabalozi wakitangaza haiwi sawa na raisi
Pia mtoa mada kasema point sana kuwa tuwe na matangazo ya utalii katika channel kubwa dunian
Licha ya kuwa tutatumia pesa but am sure pesa yetu itarudi zaidi
Tatizo lao ushamba tu
 
Kukuza mfumuko wa bei kwenye kila bidhaa ndiyo wenye mnataka afanye ?
 
Wewe ni miongoni mwa wale waliopigwa pini na JPM sasa umerudi kwenye shimo lako ndio maana unaongea hovyo.

Ulikuwa unalia sana hapa awamu ya tano.
Huyu chawa anajiona ameshafika.
 
Kwa hiyo wewe ndiyo unajiona una akili ? You must be a narcissist, narcissism ni ugonjwa wa akili!
Watanzania hatuwezi kushauri bila dharau, kejeli na matusi. Wewe shauri ili nchi isonge mbele.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…