Rais Samia anafanya kile ambacho wengi wenye akili tunataka afanye! Kwa hili anastahili pongezi

Lakini ulisha wahi kuona rais Kagame ana acha ikulu yake kutembelea Arsenal au UK kwa mwezi mzima?
 
Kwanini chuki zako za kuzuiwa usifanye biashara za magendo na kulipia kodi ipasavyo kupitia control no ktk awamu ya 5 zikufanye uwe mpuuzi kulazimisha kila Mtu amchukie Mwamba wa duniani Hayati JPM [emoji848][emoji19]
 
Lakini ulisha wahi kuona rais Kagame ana acha ikulu yake kutembelea Arsenal au UK kwa mwezi mzima?
Kwa hiyo sasa hivi rais Samia anapewa breifings za intellegencia za nchi muda wote akiwa uagaibuni sio?
 
Lakini ulisha wahi kuona rais Kagame ana acha ikulu yake kutembelea Arsenal au UK kwa mwezi mzima?
Hata Kagame juzi kaenda Uganda kwa siku mbili kusherekea birthday ya Mtoto wa Museveni Muhoozi Kaenerugaba
 
Kwanini chuki zako za kuzuiwa usifanye biashara za magendo na kulipia kodi ipasavyo kupitia control no ktk awamu ya 5 zikufanye uwe mpuuzi kulazimisha kila Mtu amchukie Mwamba wa duniani JPM [emoji848][emoji19]
Mwamba wa kuua, kuteka na kupiga risasi watu?
 
Lazaro nyarandu alifanya Royal Tour?
Neno Royal ndiyo linakubabaisha?

Theme ilikuwa ileile tu haya mengine ni porojo na kula kodi zetu tu.

Halafu mmebebana washamba tu,mlitakiwa mtoe mpunga wa maana muwakutanishe Chris Rock na Will Smith pale Los Angeles kwenye tamasha lenu halafu nyie mnarudi nyumbani.

Mpaka sasa hiyo "Low you Tour" ingekuwa ina trend huko USA,watu wangeitafuta wenyewe.

Hao uliowataja kufanya vizuri,hakuna Rais hata mmoja aliyeenda "kuzurura" huko na battalion ya wanenguaji.
 
Kukaa Marekani unamaanisha nini? Rais yupo Marekani Kikazi na anafanya kazi za kuliletea maendeleo Taifa huko Marekani! Shida iko wapi?

Unataka akae Tanzania tu Tanzania wakati kuna kazi muhimu za kufanya Marekani? Utakuwa na mtindio wa ubongo
Balozi wa Tanzania nchini Marekani anafanya kazi gani? Labda kama maza anafikiri Tanzania ni jimbo la Marekani na yeye ni gavana wa jimbo hilo.
 
Uzi umekuzidi sana kiupeo ndugu! Nenda tu jukwaa la mapenzi
Hahaha aende fb huko.vitoto vina graduate hata kusoma gazeti hatutaki kazi kujipodoa tu na kuvaa surual kama midoli . Atakuelewa kweli
 
Shida ita tokea mkuu wa Majeshi atakapo tangaza kuwa huyu mama atarudi Tanzania kama raia wengine na si mkuu wa nchi kama Idi Amini alivyo fanya kwa Obete miaka hiyo.
Na utashangaa jinsi Watanzania wanafiki watakavyo shangilia. Sababu anaweze sema kuwa hiki kiti hakimfai huyo mama tunahitaji katiba mpya na uchaguzi mpya ndani ya miezi mitatu ,nani atapinga Tanzania? Wote watashangilia.
 
Kukaa Marekani unamaanisha nini? Rais yupo Marekani Kikazi na anafanya kazi za kuliletea maendeleo Taifa huko Marekani! Shida iko wapi?

Unataka akae Tanzania tu Tanzania wakati kuna kazi muhimu za kufanya Marekani? Utakuwa na mtindio wa ubongo
hyo kaz binafs au ya kiserikali kama ya kiserikali kwa nn ujio wake hata BIDEN hautambui
ni profit kwa tanzania kwa nini Kkwete nae yupo USA back bencher kijana ujui kitu tulia ....
 
Mzee mabalozi wakitangaza haiwi sawa na raisi
Pia mtoa mada kasema point sana kuwa tuwe na matangazo ya utalii katika channel kubwa dunian
Licha ya kuwa tutatumia pesa but am sure pesa yetu itarudi zaidi
Itarudi kwa wananchi?
 
Kwamba unachukia sana wauwaji? Kwamba kama Samia nae akiwa muuwaji utamchukia pamoja na hayo mazuri yake unayoyaeleza?
Hata yeye akiwa na tabia za kuua, kuteka na kupiga risasi watu tutatofautiana
 
hyo kaz binafs au ya kiserikali kama ya kiserikali kwa nn ujio wake hata BIDEN hautambui
ni profit kwa tanzania kwa nini Kkwete nae yupo USA back bencher kijana ujui kitu tulia ....
Inaelekea usipomtaja kikwete unaumwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…