Rais Samia anafanya kile ambacho wengi wenye akili tunataka afanye! Kwa hili anastahili pongezi

Balozi wa Tanzania nchini Marekani anafanya kazi gani? Labda kama maza anafikiri Tanzania ni jimbo la Marekani na yeye ni gavana wa jimbo hilo.
Wakati Netanyahu na Kagame wanafanya Royal Tour na kwenda kuizindua Marekani ulikuwa darasa la ngapi?

Kama ulikuwa na akili kwa nini hukuuliza Kama kwa nini mabalozi wao hawakufanya?
 
Tatizo lako ushamba tu
 
Kama haya afanyayo ni akili kwako basi utakuwa Punguani.
 
Rubish! Eti biashara ni matangazo! Rubish! Nani asiyejua kwamba Tanzania Kuna mbuga za wanyama? Rubish!
 
Rubish! Eti biashara ni matangazo! Rubish! Nani asiyejua kwamba Tanzania Kuna mbuga za wanyama? Rubish!
Nani asiye jua kuwa Coca Cola na Pepsi ni soda ila kila siku still wanatoa matangazo
 
Chizi mmoja hivi anajiona ana akili nyingi kumbe ni bogus maandazi tuu kwenye jamii ya waelewa.
 
Kwahiyo hizo nchi marais wao ndo walikua wanatembea duniani kutangaza utalii? Issue ya utalii inahitaji mikakati thabiti na uwekezaji mkubwa siyo kuzurura.
 
Kwahiyo hizo nchi marais wao ndo walikua wanatembea duniani kutangaza utalii? Issue ya utalii inahitaji mikakati thabiti na uwekezaji mkubwa siyo kuzurura.
Nani amezurura? Tupe tafsiri ya kuzurura!
 
Maelezo mazuri,japo sehemu nyingi za kitalii hujazitaja.
1.Kama mbuga ya wanyama ya Saadani(ambayo,wanyama wapo karibu na bahari,na wanatembea karibu ya bahari).
2.Mapango ya Amboni.
3.Majumba ya kale ya Bagamoyo.
4.Majumba ya kale ya Tongoni.
5.Maeneo ya Makaburi ya Askari wa kwanza,kuuliwa katika vita vya kwanza vya dunia(Usagara Tanga).(kama sijakosea).
 
Ningetaja vivutio vya Tanzania kwenye huu uzi ungeboa maana hakuna nchi yenye vivutio vingi Afrika hii kama Tanzania. Nilivyotaja ni baadhi tu!
 
Piga kazi mama tumecheleweshwa mnooo kama taifa. Zaidi ya miaka 6 tumepoteza mda
 
Kwahiyo harakati na consistency ni kukaa Marekani Wiki 2.
Wewe hiyo Consistency ya huyo unayemsifu umeipata wapi wakati tangu apewe kijiti ana siku 300s subir muda uongeee ndipo ulete ngonjera na mapambio sio huo uharo uharo wako.
Hakuna hata watalii wakaokuja zaidi ya maigizo tupu, Zanzibar watalii wamejaa hakuna hata mbuga lakini wapo tu hakuna anayetumia nguvu kubwa kutangaza ni matumizi mabaya ya fedha za umma.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…