- Thread starter
- #81
Kuna watu wajinga sana humu! Wao ni kushabikia tu bila kufikiria nje ya box! Mama kashakopa sio chini ya trillion 10 mpaka sasa! Anaenda tena kudabua trillion 7 awagawie tena wazanzibar huku wenzangu na mimi akitokea mtu anahoji! Hapo hapo Watanganyika wanashirikiana na anaewahujumu humsakama aliyehoji! Akili ndogo sana hii!
Haupo sahihi.Siku hizi ni pasu kwa pasu na hiki ndicho kilichomchanganya Ndugai akajikuta anakuwa kambi rasmi ya upinzani Bungeni.