Steven Joel Ntamusano
JF-Expert Member
- Jun 17, 2023
- 5,203
- 3,913
Nyerere alijaza watu wa kanda ya ziwa serikalini miaka lle ya awamu ya kwanza.Ulikuwa hujajiunga hapa jf, kipindi Cha dhalimu na chaguzi zake za kikanda na udini alikuwa anapewa ukweli wake. Tukasema dhalimu anatengeneza presidency mbaya maana viongozi wengine wafuatao watafanya kama yeye. Na huu kwa sasa utakuwa ndio utamaduni mpya.
Tuwe wapole tu hii ni awamu yao ya kufaidi matunda ya JMT.Kichwa panzi wasukuma wanataka nchi gani? Wazanzibar wanatoka nchi ya jirani Zanzibar
Wazanzibari na watanganyika ndio wanaounda Tanzania. Tupunguze hizi roho mbaya zina viashiria vyote vya ushirikina.Hakuvunja Katiba kwani uliowataja ni watanganyika,hoja ni wazanzibari kupewa ajira kwenye wizara zisizokuwa za Muungano.
Hayakwepeki hata siku moja. Hakuna kiongozi anayeweza kupewa nchi halafu akawasahau jamaa zake, damu huwa nzito kuliko maji.Kwa hiyo wewe unataka hayo mambo yaendelee badala ya kuyakemea na kuyakomesha?
Mbona watu wa bara hawapati hizo nafasi ndani ya Zanzibar?Ingependeza kama ungetoa mifano, majina ya ma DED, DAS, RAS, DCs na wakuu wa taasisi wote yanafahamika. Otherwise hizo ni hisia zako tu.
Unaweza kwenda Zanzibar kama ni mtu wa bara upewe madaraka ili tudhibitishe huu uundwaji wa Tanzania?Wazanzibari na watanganyika ndio wanaounda Tanzania. Tupunguze hizi roho mbaya zina viashiria vyote vya ushirikina.
Kwanini uende Zanzibar wakati huku bara kuna ardhi nyingi sana hata hatujaigusa?.Unaweza kwenda Zanzibar kama ni mtu wa bara upewe madaraka ili tudhibitishe huu uundwaji wa Tanzania?
Uongozi ni ardhi, au Kila mtu akienda mahali anafuata ardhi? Jibu swali, unaweza kwenda kupata madaraka Zanzibar ukiwa mtu wa bara ili tuone huo muungano una maana gani?Kwanini uende Zanzibar wakati huku bara kuna ardhi nyingi sana hata hatujaigusa?.
Siasa nyepesi za kunyoosheana vidole huzaa chuki na nongwa, vitu ambavyo hutuongezea misongo ya mawazo.
Mkuu bado hujaelewa maudhui ya hoja yangu. hebu rudia kusoma taratibu utaelewa.Wanaweza wakajazwa watanganyika watupu na bado usiwe wewe kwenye hizo teuzi.Na Na hata hao watanganyika watakaojazwa wanaweza wasiwe na msaada wowote kwako wala kwa nduguzo
Mkuu tulia kwanza ukasome katiba ya nchi ukishajua mipaka ya uteuzi wa Rais ndipo uje hapa kutetea ujinga huku unaona kabisa Tanganyika inamezwa na Zanzibar. Jifunze kuwa mzalendo kwa nchi yako ya Tanganyika. Usiruhusu mzanzibar aje kukuteulia watu kutoka kwao Zenj huku vijana wa Tanganyika wakiwa hawana ajira.Mtoa mada unasahau kwamba wanzibari wote ni watanzania na sifa za uteuzi katika nyadhifa mbalimbali za uongozi wa umma sharti uwe mtanzania.
Wewe binafsi unataka hayo madudu yaendelee? Sisi tunaokemea huu ukengeufu tunakosea wapi?Unalalamika kitu gani wakati uvunjaji wa sheria na taratibu za utumishi wa ummaa aliuanza jpm tukamshangilia na kumpongeza? Aliteua wanasiasa na mtu yeyote aliyemtaka na kuwapa vyeo ktk utumishi wa umma, wanajeshi & polisi wakapewa vyeo vya kisiasa. Nafasi za kuteua makada kama vile maDC, maRC nk hazikumtosha, makada watiiufu wakazawadiwa hadi uDAS, uDED nk, Bashiru katibu mkuu wa chama cha siasa akateuliwa kuwa KM kiongozi. Kama alifanya hivyo tukanyamaza kwann hisiwe kwa Samia?
Ukiongea uwiano wa watu unapaswa kuweka takwimu sahihi na sio kutoa yako isiyokuwa sahihi. Hili hukulifanya na ndo nkakuweka sawa kwani hujui na inakurupuka.Naongea juu ya uwiano wa idadi ya watu ukilinganisha na ugawaji wa vyeo vinavyogawiwa ovyo kwa kukiuka katiba.
Hapa tena huijui katiba, nenda kasome tena.Pili, Rais hana mamlska kisheria na kikatiba kumteua mzanzibar kuwa RAS, DAS au mkurugenzi na kumleta hapa Tanganyika.
Mkuu huna unaloljua unakurupuka tu. Kumbuka tu kwamba muungano ni swala la ksheria na haliaki mihemko. Jilazimishe kuena na wakati, vinginevyo tarajia kukosolewa.Mkuu mm siongei juu ya historia ya Tanganyika na Zanzibar. Naongea juu ya uwiano wa idadi ya watu ukilinganisha na ugawaji wa vyeo vinavyogawiwa ovyo kwa kukiuka katiba.
Pili, Rais hana mamlska kisheria na kikatiba kumteua mzanzibar kuwa RAS, DAS au mkurugenzi na kumleta hapa Tanganyika.
Acha ujuaji uchwara kasome katiba ya nchi. Ni kwa vile Rais hashtakiki mahakamani. Ndio maana tunamshtaki kwenye mahakama ya umma hapa JF. Usijifanye mjuaji wakati hujui kitu.
Kwa bahati mbaya hujui kuwa yote niliyo andika hapo yamo ndani ya mada yenyewe.Ujifunze kukaa ndani ya mada. Una uwezo wakuanzisha thread nyingine ya mhuni Makonda na tukaja tukachangia pia.
Mkuu tupunguze kuficha ujinga kidogo vinginevyo hizi shule na vyuo vinavyojengwa Kila kukicha inakuwa ni kutwanga maji kwenye kinu,Tanzania imetokana na muungano wa nchi mbili Tanganyika na jamuhuri ya watu wa Zanzibar Tanzania sio ya Waliokuwa watanganyika pekee ambao sasa ni Tanzania bara.Jambo la pili katika kumpata Raisi wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania wanzanzibari pia wanapiga kura kumchagua Raisi wa Jamuhuri ya muungano wa Tanzania pia kasoma mambo ya muungano na yasiyo ya muungano kwenye katiba ya jamuhuri ya muungano wa Tanzania.Mkuu mm siongei juu ya historia ya Tanganyika na Zanzibar. Naongea juu ya uwiano wa idadi ya watu ukilinganisha na ugawaji wa vyeo vinavyogawiwa ovyo kwa kukiuka katiba.
Pili, Rais hana mamlska kisheria na kikatiba kumteua mzanzibar kuwa RAS, DAS au mkurugenzi na kumleta hapa Tanganyika.
Acha ujuaji uchwara kasome katiba ya nchi. Ni kwa vile Rais hashtakiki mahakamani. Ndio maana tunamshtaki kwenye mahakama ya umma hapa JF. Usijifanye mjuaji wakati hujui kitu.
Kwanini unasema alijifunza kwa Magufuli?. Kwani yeye hana maamuzi yake binafsi?Hii issue naona kila siku tutazidi kulaumiana tu, ikipatikana Katiba bora ikawabana hawa jamaa kufanya haya mambo ndio tutapata majibu ya maana, lakini tofauti na hapo sioni kama midomo yetu itakuja kuwafunza chochote hawa watawala.
Bila shaka Samia alijifunza kwa Magufuli, akaona jinsi mambo yalivyokuwa yakifanywa na mtangulizi wake, nae amekuja kuendeleza pale alipoishia mtangulizi wake, inshort ana experience na exposure ya kile anachokifanya ndio maana haogopi chochote.
Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Kwahiyo akitamka Tanganyika anabagua, ila akitamka Zanzibar ni mzalendo? Sasa sijui lofa nani kati yako wewe na yeye! 🤣 🤣 🤣we lofa kahamie hiyo nchi inayoitwa Tanganyika, nchi yetu inaitwa Tanzania. Umezoea ubaguzi we kenge, kahamie huko kwenye nchi za kibaguzi.
Huu uzi ufungwe tu 😀😀😀Wabunge wetu ni mazwazwa ndo wametufikisha huko. Ndani ya CCM kuna machawa wengi ambao ni maseti tupu vichwani mwao
Taja wengine 3 ...DC wa Kilosa Shaka Hamdu Shaka ni mzanzibari.