Rais Samia analazimisha kuizanzibarisha Tanganyika kwa nguvu

Rais Samia analazimisha kuizanzibarisha Tanganyika kwa nguvu

Kwa bahati mbaya hujui kuwa yote niliyo andika hapo yamo ndani ya mada yenyewe.
Hapana, niseme wazi, siyo "bahati mbaya", bali wigo wa akili yako ndio mfinyu, kwamba haukuwezeshi kujua mada inaanzia wapi na kuishia wapi.
It's not that deep wala siyo that complex. Acha kuchanganya mada.
 
Nafikiri ndugu mtoa uzi hauko serikalini, na pia una chuki za kidini, Sa100 bado hata robo ya ubaguzi hajafikia, watu wakiitwa kazini serikalini hesabu Galatia wangapi na Hamas wangapi, kwa taarifa yako government ratio ni Galatians 25 Kwa Hamas 1. Halafu waliojaa ni wamama wazee vikongwe kwaya mwanzo mwisho ofisini wanatuboa mno sisi wapagani, hawa vikongwe wa kigalatia wakistaafu wanapewa tena mikataba! Hadi waanguke na kufa hasa hospital

Namuunga mkono Bimkubwa Sa100 hapo bado napenda azidishe kasi ya kubalance dini ili kupunguza ufisadi na undugunization wa Galatians yani kila ofisi ya serikali ni kina Charles na Jesca watupu kwani sisi wapagani hatuna vyeti vya mlimani kama wao!

Bimkubwa Samia kanyaga twende mimi nakuunga mikono na miguu yote, teua unavyotaka.
Tunaongelea Uzanzibar na Utanganyika.
 
Huna data. Wakuu wa Mikoa wangapi Wapemba? Maaskofu wangapi Wazanzibari? Katubu Tarafa? Head Teacher? Bwana Nyuki? Captain wa Yanga? Huna hoja. Nyerere alisema mkiwatoa Wazanzibari eatafuata Wachagga na Wanyakyusa, wakiisha mtawatoa Wakwere ili wabaki Wazaramo wazawa.
Misingi kibao ya Nyerere ilivunjwa na bado tuko vilevile na wapo waliodhani Nyerere akifa Tz tutachinjana lkn bado tuko vilevile, hivyo vitisho vimepitwa na wakati.
 
Tulizoea kuona wazaznzibar (maarufu kwa jina la wapemba) wametapakaa kila mahali hapa Tanganyika wakifanya biashara na shughuli nyingine za kiuchumi. Hili kama watanganyika hatuna shida nalo. Hawa ni wajasiriamali na watafutaji kama walivyo watu wa mataifa mengine waliomo hapa nchini. Tunao wachina, wahindi, wakenya, n.k, na haijawahi kuwa shida.

Kinachoudhi na kusikitisha zaidi ni kitendo cha Rais Dr Samia kuwachukua wazanzibar (hata wasiokuwa na vigezo) na kuwapa vyeo hapa Tanganyika wakati watanganyika hawana kazi. Ukitembelea kwenye ofisi za umma utashangaa kuona utitiri wa wazanzibar wakiwa wamepewa nyadhfa mbali kama vile wakurugenzi, DAS, RAS, wakuu wa mashirika ya umma, wenyeviti wa bodi mbalimbali, n.k. Rais anafanya haya yote kwa makusudi na kwa lazima huku akiwaacha watanganyika wakipuyanga bila kazi. Huu ni zaidi ya uhujumu uchumi.

Ndugu wanaJF na wananchi kwa ujumla, tuhuma hizi hazijaanza leo. Soma baadhi ya nyuzi zilizowahi kuwekwa humu kulalamikia upendeleo unaofanywa na mamlaka kwenye teuzi mbalimbali:

1. Teuzi za Rais Samia zina upendeleo?

2. Teuzi za Rais Samia kulikoni?

3. Wafahamu Wajumbe wa Bodi ya TCRA iliyovunjwa

Kelele za watanganyika kukosa kazi baada ya kuhitimu zipo dhahiri. Hata humu JF siku za karibuni kumekuwa na nyuzi nyingi zinazoonyesha wasomi wa Tanganyika kuhitimu vyuo vikuu na kuishia kufanya kazi za ovyo ovyo wakati kazi walizostahili kufanya zinagawiwa ovyo kwa wazanzibar. Nyuzi zifuatazo ni sehemu ya ushahidi huo:

1. Nimekutana na Degree Graduate wa HR kutoka Mzumbe anauza Pub

2. Mzazi unasomesha mtoto aje kuuza chips na kuwa bodaboda. Inahuzunisha sana!

3. Graduates wengi tunapitia wakati mgumu sana, sema jamii inaona kama hatujielewi

MAONI YANGU
Idadi ya watu wa Zanzibar (Pemba, Unguja na visiwa vingine) haipindukii milioni moja. Tanganyika ina idadi ya zaidi ya watu milioni 64. Sasa iweje Zanzibar yenye watu wachache kiasi hiki wananchi wake wapewe kipaumbele huku watanganyika walio wengi wanaendelea kusaga meno?

Ifike mahali katiba itamke bayana idadi ya nafasi wanazostahili wazanzibar (kwa kufuata uwiano wa idadi ya watu) badala ya kufanya teuzi kibubu na kusababisha malalamiko. Na tunapendekeza hili jambo liingizwe kwenye katiba mpya kabisa ili kukata mzizi wa fitna.

Nawasilisha.

Tulia kijana ugangwe , unasahau hawa wazee na ndugu zetu mliowauwa katika mauwaji ya kimbari 1964 ??
Wacha tutese
 
That's your own interpretation. Don't force it be my point of view.
Bado nasisitiza, upeo wako ni mfinyu.
Sijakulazimisha nime state facts, unakuza mambo kwenye pretext ni jambo zito na kubwa kwa uelewa wa mtu wa kawaida. Tunaongelea siasa za third world country nothing is deep kwenye hiko Kijiji kinaitwa Tanzania. Stick kwenye mada kama huwezi fungua thread nyingine tutakuja kuchangia
 
Tulizoea kuona wazaznzibar (maarufu kwa jina la wapemba) wametapakaa kila mahali hapa Tanganyika wakifanya biashara na shughuli nyingine za kiuchumi. Hili kama watanganyika hatuna shida nalo. Hawa ni wajasiriamali na watafutaji kama walivyo watu wa mataifa mengine waliomo hapa nchini. Tunao wachina, wahindi, wakenya, n.k, na haijawahi kuwa shida.

Kinachoudhi na kusikitisha zaidi ni kitendo cha Rais Dr Samia kuwachukua wazanzibar (hata wasiokuwa na vigezo) na kuwapa vyeo hapa Tanganyika wakati watanganyika hawana kazi. Ukitembelea kwenye ofisi za umma utashangaa kuona utitiri wa wazanzibar wakiwa wamepewa nyadhfa mbali kama vile wakurugenzi, DAS, RAS, wakuu wa mashirika ya umma, wenyeviti wa bodi mbalimbali, n.k. Rais anafanya haya yote kwa makusudi na kwa lazima huku akiwaacha watanganyika wakipuyanga bila kazi. Huu ni zaidi ya uhujumu uchumi.

Ndugu wanaJF na wananchi kwa ujumla, tuhuma hizi hazijaanza leo. Soma baadhi ya nyuzi zilizowahi kuwekwa humu kulalamikia upendeleo unaofanywa na mamlaka kwenye teuzi mbalimbali:

1. Teuzi za Rais Samia zina upendeleo?

2. Teuzi za Rais Samia kulikoni?

3. Wafahamu Wajumbe wa Bodi ya TCRA iliyovunjwa

Kelele za watanganyika kukosa kazi baada ya kuhitimu zipo dhahiri. Hata humu JF siku za karibuni kumekuwa na nyuzi nyingi zinazoonyesha wasomi wa Tanganyika kuhitimu vyuo vikuu na kuishia kufanya kazi za ovyo ovyo wakati kazi walizostahili kufanya zinagawiwa ovyo kwa wazanzibar. Nyuzi zifuatazo ni sehemu ya ushahidi huo:

1. Nimekutana na Degree Graduate wa HR kutoka Mzumbe anauza Pub

2. Mzazi unasomesha mtoto aje kuuza chips na kuwa bodaboda. Inahuzunisha sana!

3. Graduates wengi tunapitia wakati mgumu sana, sema jamii inaona kama hatujielewi

MAONI YANGU
Idadi ya watu wa Zanzibar (Pemba, Unguja na visiwa vingine) haipindukii milioni moja. Tanganyika ina idadi ya zaidi ya watu milioni 64. Sasa iweje Zanzibar yenye watu wachache kiasi hiki wananchi wake wapewe kipaumbele huku watanganyika walio wengi wanaendelea kusaga meno?

Ifike mahali katiba itamke bayana idadi ya nafasi wanazostahili wazanzibar (kwa kufuata uwiano wa idadi ya watu) badala ya kufanya teuzi kibubu na kusababisha malalamiko. Na tunapendekeza hili jambo liingizwe kwenye katiba mpya kabisa ili kukata mzizi wa fitna.

Nawasilisha.
Tulia Sindano ikuingie
 
Mkuu huna unaloljua unakurupuka tu. Kumbuka tu kwamba muungano ni swala la ksheria na haliaki mihemko. Jilazimishe kuena na wakati, vinginevyo tarajia kukosolewa.
Sheria gani ianyoruhusu upande mmoja kunyonywa na mwingine ukineemeka? Kama hujui hili suala vizuri ni bora ukae kimya milele. Uliwahi kusikia au kushuhudia mtanganyika akiteuliwa kuwa DC au mkurugenzi huko Zanzibar?
 
Mkuu tupunguze kuficha ujinga kidogo vinginevyo hizi shule na vyuo vinavyojengwa Kila kukicha inakuwa ni kutwanga maji kwenye kinu,Tanzania imetokana na muungano wa nchi mbili Tanganyika na jamuhuri ya watu wa Zanzibar Tanzania sio ya Waliokuwa watanganyika pekee ambao sasa ni Tanzania bara.Jambo la pili katika kumpata Raisi wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania wanzanzibari pia wanapiga kura kumchagua Raisi wa Jamuhuri ya muungano wa Tanzania pia kasoma mambo ya muungano na yasiyo ya muungano kwenye katiba ya jamuhuri ya muungano wa Tanzania.
Mkuu kwanini unarudia kuandika ujinga uleule over and over again? Why cant you stick to the point? Hivyo vifungu vya sheriavinavyomruhusu Rais kuteua wazanzibar kufanya kazi TAMISEMI vipo wapi? Hivi hujui kuwa TAMISEMI ni ya watanganyika au unajitoa ufahamu kwa makusudi? Hivi huku shuleni watu mnaenda kusomea ujinga?
 
Taja wengine 3 ...
Kwani Rais akisigina katiba kwa kumteua DC hata mmoja tu anakuwa hajavunja sheria mpaka awe ameteua wengi? Huku shuleni ulienda kusomea UJINGA badala ya MAARIFA?
 
Hivi yule jamaa wa baraza la mitihani NECTA kuna haja ya kuuliza?
Yule ni mpemba original. Inashangaza sana wakati elimu ya msingi na sekondari sio suala la muungano, Rais anateua mpemba mwenzake kuziba nafasi ya watanganyika. Inauma sana.
 
Tulia Sindano ikuingie
1701630594915.png
 
Sijakulazimisha nime state facts, unakuza mambo kwenye pretext ni jambo zito na kubwa kwa uelewa wa mtu wa kawaida. Tunaongelea siasa za third world country nothing is deep kwenye hiko Kijiji kinaitwa Tanzania. Stick kwenye mada kama huwezi fungua thread nyingine tutakuja kuchangia
EeeenHeeee!

Now you say: "Nothing is deep..."; "...kijiji kinaitwa Tanzania", "Siasa za 'third world country'".
I am getting to know you better!

"Mtu wa kawaida" kwako ni mtu wa aina gani? Huyu anapashwa kuwa nje ya hizo "third world country, au kijiji kinachoitwa Tanzania?

I have no doubts, whatsoever about the relevance of my posting in the topic under discussion. Your incapacity to recognize that cannot change that fact.
 
Yule ni mpemba original. Inashangaza sana wakati elimu ya msingi na sekondari sio suala la muungano, Rais anateua mpemba mwenzake kuziba nafasi ya watanganyika. Inauma sana.
Samia si Mpemba. Bosi wa Necta sijui.
Bosi wa ZRB ni Mtanganyika.
 
Watanzania ni wamoja kuanzia Kagera Hadi Mtwara, Kilimanjaro hadi Mbeya, Bara hadi Visiwani.
Hata hivyo, busara, hekima na akili inatakiwa itumike kutekeleza hilo.
Kwa sasa kuna haja ya kuwateua watu wa bara wachache washike nafasi za utawala Zanzibar, vinginevyo uhalali wa wazanzibari kuwepo bara utakosekana na baadaye watakuja kufurushwa na kutakuwa na madhara makubwa ya kiuchumi na kisiasa Zanzibar.
Yawezekana zaidi ya 50% ya wazanzibari wapo bara kiuchumi na kisiasa. Hivyo lazima wawe na ulinzi kwa kujenga mazingira ya ushirikiano na umoja unaoonesha maslahi kwa wote.
 
Mkuu tupunguze kuficha ujinga kidogo vinginevyo hizi shule na vyuo vinavyojengwa Kila kukicha inakuwa ni kutwanga maji kwenye kinu,Tanzania imetokana na muungano wa nchi mbili Tanganyika na jamuhuri ya watu wa Zanzibar Tanzania sio ya Waliokuwa watanganyika pekee ambao sasa ni Tanzania bara.Jambo la pili katika kumpata Raisi wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania wanzanzibari pia wanapiga kura kumchagua Raisi wa Jamuhuri ya muungano wa Tanzania pia kasoma mambo ya muungano na yasiyo ya muungano kwenye katiba ya jamuhuri ya muungano wa Tanzania.
Kwa hiyo andiko lako hili limejibu hoja zilizomo kwenye mada iliyo anzishwa?
Hiki ulichoweka hapa tunaweza kukiita kipimo cha hivyo vyuo vinavyo toa elimu kama ulivyo eleza hapo mwanzo?

Umesema mwenyewe: "...tupunguze kuficha ujinga kidogo..." sijui ulikuwa na maana gani, lakini naona maneno yako hayo yaki dhihirisha vizuri sana mistari yote uliyo andika mwenyewe.

Hivi hiyo katiba mnayokimbilia kuisemea, na huku mkiita ni v'vikaratasi tu'; mnaielewe kweli?
 
Tafuteni hela
Ni umasikini tu ndio huwa unavinasaba vya ubaguzi....
Wabongo wenye hela zao, hususani wafanya biashara huwezi kuwasikia wanalialia, kawaida wale waliotopea kwenye hizi ajira za utumishi ndio huwa njaa kali na kila siku kutafuta mchawi wa umasikini wao...
 
EeeenHeeee!

Now you say: "Nothing is deep..."; "...kijiji kinaitwa Tanzania", "Siasa za 'third world country'".
I am getting to know you better!

"Mtu wa kawaida" kwako ni mtu wa aina gani? Huyu anapashwa kuwa nje ya hizo "third world country, au kijiji kinachoitwa Tanzania?

I have no doubts, whatsoever about the relevance of my posting in the topic under discussion. Your incapacity to recognize that cannot change that fact.
Acha nikurahisishie sioni linkage kati ya mpuuzi Makonda na concerns alizoleta tpaul kuhusu agenda ya huyu mwanamke kuleta uzanzibari huku Tanganyika. Nimepuuza maswali yako sababu ni derails tu.
 
Back
Top Bottom