Nafikiri ndugu mtoa uzi hauko serikalini, na pia una chuki za kidini, Sa100 bado hata robo ya ubaguzi hajafikia, watu wakiitwa kazini serikalini hesabu Galatia wangapi na Hamas wangapi, kwa taarifa yako government ratio ni Galatians 25 Kwa Hamas 1. Halafu waliojaa ni wamama wazee vikongwe kwaya mwanzo mwisho ofisini wanatuboa mno sisi wapagani, hawa vikongwe wa kigalatia wakistaafu wanapewa tena mikataba! Hadi waanguke na kufa hasa hospital
Namuunga mkono Bimkubwa Sa100 hapo bado napenda azidishe kasi ya kubalance dini ili kupunguza ufisadi na undugunization wa Galatians yani kila ofisi ya serikali ni kina Charles na Jesca watupu kwani sisi wapagani hatuna vyeti vya mlimani kama wao!
Bimkubwa Samia kanyaga twende mimi nakuunga mikono na miguu yote, teua unavyotaka.