Rais Samia analazimisha kuizanzibarisha Tanganyika kwa nguvu

Kwa bahati mbaya hujui kuwa yote niliyo andika hapo yamo ndani ya mada yenyewe.
Hapana, niseme wazi, siyo "bahati mbaya", bali wigo wa akili yako ndio mfinyu, kwamba haukuwezeshi kujua mada inaanzia wapi na kuishia wapi.
It's not that deep wala siyo that complex. Acha kuchanganya mada.
 
Tunaongelea Uzanzibar na Utanganyika.
 
Misingi kibao ya Nyerere ilivunjwa na bado tuko vilevile na wapo waliodhani Nyerere akifa Tz tutachinjana lkn bado tuko vilevile, hivyo vitisho vimepitwa na wakati.
 

Tulia kijana ugangwe , unasahau hawa wazee na ndugu zetu mliowauwa katika mauwaji ya kimbari 1964 ??
Wacha tutese
 
That's your own interpretation. Don't force it be my point of view.
Bado nasisitiza, upeo wako ni mfinyu.
Sijakulazimisha nime state facts, unakuza mambo kwenye pretext ni jambo zito na kubwa kwa uelewa wa mtu wa kawaida. Tunaongelea siasa za third world country nothing is deep kwenye hiko Kijiji kinaitwa Tanzania. Stick kwenye mada kama huwezi fungua thread nyingine tutakuja kuchangia
 
Tulia Sindano ikuingie
 
Mkuu huna unaloljua unakurupuka tu. Kumbuka tu kwamba muungano ni swala la ksheria na haliaki mihemko. Jilazimishe kuena na wakati, vinginevyo tarajia kukosolewa.
Sheria gani ianyoruhusu upande mmoja kunyonywa na mwingine ukineemeka? Kama hujui hili suala vizuri ni bora ukae kimya milele. Uliwahi kusikia au kushuhudia mtanganyika akiteuliwa kuwa DC au mkurugenzi huko Zanzibar?
 
Mkuu kwanini unarudia kuandika ujinga uleule over and over again? Why cant you stick to the point? Hivyo vifungu vya sheriavinavyomruhusu Rais kuteua wazanzibar kufanya kazi TAMISEMI vipo wapi? Hivi hujui kuwa TAMISEMI ni ya watanganyika au unajitoa ufahamu kwa makusudi? Hivi huku shuleni watu mnaenda kusomea ujinga?
 
Taja wengine 3 ...
Kwani Rais akisigina katiba kwa kumteua DC hata mmoja tu anakuwa hajavunja sheria mpaka awe ameteua wengi? Huku shuleni ulienda kusomea UJINGA badala ya MAARIFA?
 
Hivi yule jamaa wa baraza la mitihani NECTA kuna haja ya kuuliza?
Yule ni mpemba original. Inashangaza sana wakati elimu ya msingi na sekondari sio suala la muungano, Rais anateua mpemba mwenzake kuziba nafasi ya watanganyika. Inauma sana.
 
EeeenHeeee!

Now you say: "Nothing is deep..."; "...kijiji kinaitwa Tanzania", "Siasa za 'third world country'".
I am getting to know you better!

"Mtu wa kawaida" kwako ni mtu wa aina gani? Huyu anapashwa kuwa nje ya hizo "third world country, au kijiji kinachoitwa Tanzania?

I have no doubts, whatsoever about the relevance of my posting in the topic under discussion. Your incapacity to recognize that cannot change that fact.
 
Yule ni mpemba original. Inashangaza sana wakati elimu ya msingi na sekondari sio suala la muungano, Rais anateua mpemba mwenzake kuziba nafasi ya watanganyika. Inauma sana.
Samia si Mpemba. Bosi wa Necta sijui.
Bosi wa ZRB ni Mtanganyika.
 
Watanzania ni wamoja kuanzia Kagera Hadi Mtwara, Kilimanjaro hadi Mbeya, Bara hadi Visiwani.
Hata hivyo, busara, hekima na akili inatakiwa itumike kutekeleza hilo.
Kwa sasa kuna haja ya kuwateua watu wa bara wachache washike nafasi za utawala Zanzibar, vinginevyo uhalali wa wazanzibari kuwepo bara utakosekana na baadaye watakuja kufurushwa na kutakuwa na madhara makubwa ya kiuchumi na kisiasa Zanzibar.
Yawezekana zaidi ya 50% ya wazanzibari wapo bara kiuchumi na kisiasa. Hivyo lazima wawe na ulinzi kwa kujenga mazingira ya ushirikiano na umoja unaoonesha maslahi kwa wote.
 
Kwa hiyo andiko lako hili limejibu hoja zilizomo kwenye mada iliyo anzishwa?
Hiki ulichoweka hapa tunaweza kukiita kipimo cha hivyo vyuo vinavyo toa elimu kama ulivyo eleza hapo mwanzo?

Umesema mwenyewe: "...tupunguze kuficha ujinga kidogo..." sijui ulikuwa na maana gani, lakini naona maneno yako hayo yaki dhihirisha vizuri sana mistari yote uliyo andika mwenyewe.

Hivi hiyo katiba mnayokimbilia kuisemea, na huku mkiita ni v'vikaratasi tu'; mnaielewe kweli?
 
Tafuteni hela
Ni umasikini tu ndio huwa unavinasaba vya ubaguzi....
Wabongo wenye hela zao, hususani wafanya biashara huwezi kuwasikia wanalialia, kawaida wale waliotopea kwenye hizi ajira za utumishi ndio huwa njaa kali na kila siku kutafuta mchawi wa umasikini wao...
 
Acha nikurahisishie sioni linkage kati ya mpuuzi Makonda na concerns alizoleta tpaul kuhusu agenda ya huyu mwanamke kuleta uzanzibari huku Tanganyika. Nimepuuza maswali yako sababu ni derails tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…