Rais Samia anapaswa kujua kuwa bila Magufuli asingekuwa Rais

Kwanza mimi nafirahi Sana SSH anavyomnanga yule zombie kwa sababu tabia ya kushambulia wastaafu iliasisiwa na Jiwe,hata hiki cha kusema Rais kafanya xy sijui katoa pesa vyote alileta Jiwe ..


Hivyo ni muda muafaka kwa wafuasi wa Jiwe kukinywea kikombe kile kile ambacho Mwendazake alikitumia kuwanyweshea wastaafu wengine hasa JK..

Pili Mwendazake alitakiwa kujua kwamba bila JK yeye asingekuwa Rais hivyo hakupaswa kumnanga na kumdharirisha kwa matusi mbalimbali hadi kufikia kumuita anawashwa washwa..

Samia shikilia hapo hapo ,bahati nzuri tunamtolea kama mfano mbaya na sio kumnanga.
 
Siyo kweli. Kwanza Magufuli ndiyo anapaswa kushukuru kwa kuwa Mgombea. Kwenye kura aliongoza Amina Salum, akafuata Magufuli then Asha Rose Migiro.

Kama Mkapa asingemkomalia Kikwete huyo Mwendazake asingesikika popote
Akili kisoda
 
Ata huyo mwendazake hakuwaheshimu
Watangulizi wake ambao ndiyo waliompa hiyo nafasi.wacha kutu Ile chuma
 
Kama hujui hizi taarifa, jihesabu wewe ni mtoto mdogo kama Kichuguu. Acha milima tukupe vitu ndiyo nawe ukomae. Endelea kusoma madini toka kwa wajuvi
Hii watu JF kutofahamiana kuna uzuri na ubaya wake. Ungejua Kichuguu ni nani ungeomba radhi haraka sana kwa andiko lako hili.

Mkuu Kichuguu msamehe huyu dogo; anayoandika yanaaksi upeo wake.
 
Bila hayati benjamini William mkapa sio magufuli magufuli hakua na lolote kipindi Cha upitishwaji wa jina
 
Magufuli aliwasema wengine na hata kuwadhalilisha Viongozi waliopita naye akubali kusemwa. Usimtendee mtu mwingine Mambo ambayo hutaki utendewe.
Mkuu tena bora yeye anasemwa akiwa marehemu, yeye aliwatolea kauli za hovyo watangulizi wake hadharani na wakiwepo,hao wanaosema Magufuri hasisemwe mamejiuliza watangulizi wake Magufuri walikuwa wanajisikiaje?.

Si bora yeye anasemwa akiwa haelewi kinachoendelea?.
 
Siyo kweli. Kwanza Magufuli ndiyo anapaswa kushukuru kwa kuwa Mgombea. Kwenye kura aliongoza Amina Salum, akafuata Magufuli then Asha Rose Migiro.

Kama Mkapa asingemkomalia Kikwete huyo Mwendazake asingesikika popote
Amina salum?!!!
Ndo kwanza nasikia hili jina!
 
Magufuli nae alizungumza mabaya ya kikwete
 
Magufuli angekuwa Rais bila Kikwete. ?

Urais anapanga Mungu shubashiii
Kama unaipinga hoja ya kwamba Magufuri kuwa rais haihusiani na Kikwete kwa kuwa tu urais anapanga Mungu, Kwa nini pia usikubali kuwa Samia kuwa rais si kwa sababu ya Magufururi bali ni kwa kuwa urais anapanga Mungu?.

Watu wengine akili sijui wanapeleka wapi!

Yahani unasema bila Magufuri,Samia hasingekuwa rais, lakini unapinga kwamba bila Kikwete Magufuri hasingekuwa rais kwa hoja kwamba Urais anapanga Mungu. Kwa hiyo urais aliopanga Mungu ni kwa Magufuri tu lakini wa Samia ni Magufuri?.
 
Huyu mama ni incompetent sana hakua na maandalizi yoyote kiufupi yupo yupo tu.
 
Angeruhusu kusemwa akiwa hai.
 
Magufuli anajadiliwa kuliko baba wa taifa Mwalimu Nyerere.

Hakika JPM alikuwa chaguo la Mungu wa mbinguni.

Tofauti ni kuwa kila akijadiliwa Nyerere yanatajwa mazuri lakini ni tofauti kwa huo mjadala mwingine wengine walisifu ili wapate kuwa relevant.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…