jiwe angavu
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 20,419
- 39,217
Mimi ni mwanamkeKama mwanaume utakuwa na tatizo kubwa la msingi
Katiba ya marekani inasemaje ikitokea hivyo? Si katiba zote ziko sawa.Wamarekani wenyewe wanaomba yasije kuwakuta kama yaliyotukuta Tanzania Biden akafa yule mama akachukua nchi kwani wanajua madhara ya mwanamke kua kichwa cha nchi.
Mwanamke ni mwanamke tu.
Tangu ameingia madarakani Samia anahubiri "kuifungua nchi", anainadi nchi kuwa ni mahala salama kwa uwekezaji na mashirikiano na mataifa mengine.Diplomasia inayobadilika badilika pia ni hatari kwa uwekezaji nk vizuri kujenga hoja!!! Badala tu simply ohh niko tofauti na mtangulizi!!Diplomasia Leo kuwa hivi Kesho vile kutegemea aliye kwenye kiti haiko sawa
Watu wana uwekezaji wa long term investments hiyo diplomasia kubadilisha badilika sio fair
Nadhani kuna shida mahali nchi haiwezi kuwa kama mlango wa nyumba ya kichaa leo kaja kiongozi huyu umefunguka Kesho kaja mwingine umefungwa keshokutwa kaja mwingine umefungukuka.No tuwe serious tuwe na hoja hii trend ya mara funga kisha fungua kisha funga halafu fungua unafiki !! kwa nini hatuwi na sera na mkakati sustainable .Kwa nini itegemee nani yuko madarakani hadi mtu itoke nje ujikombe kusema mimi niko tofauti na yule wakati ulikuwa Serikali hiyo hiyo?Tangu ameingia madarakani Samia anahubiri "kuifungua nchi", anainadi nchi kuwa ni mahala salama kwa uwekezaji na mashirikiano na mataifa mengine.
Hayo yote ni katika kuonyesha kwamba mazingira ya utawala wa sasa sio sawa na ya utawala uliopita.
Kwahiyo kwenye haya yote hatujashangaa, tumekuja kushangazwa na kauli ya jana kwamba kwenye baadhi ya mambo ikiwamo Covid 19 walikua wanatofautiana na JPM ?
Kusoma hatujui, hata picha tu hatuoni ?
Kwenye hilohilo la COVID, mbona iko wazi kwamba walitofautiana maana Samia alivyoingia madarakani akaruhusu approach za kisayansi ikiwemo CHANJO.
Halafu kukinzana mawazo sio dhambi kwamba ifanywe ni siri, mimi sioni kama kuna ubaya kulisema wazi hilo suala.
Interview zote za wakubwa (Marais, wafalme, n.k) maswali ya msingi huandaliwa kabla na muhusika hupewa kabla ya interview. Maswali ya nyongeza katika swali la msingi ndie ya papo kwa papo.Unaweza vipi kumpa somo mtu ambaye hajui akienda kwenye interview ataulizwa nini?
Hili kwangu linahitaji uelewa binafsi wa mtu, ajue mwenyewe jinsi ya kujiongeza pale anapoulizwa maswali, uwezo wa kuchagua maneno ya kuongea awe nao wakati huo huo akihakikisha meseji aliyokusudia anaifikisha.
Lakini pia, wakati mwingine tuwe tayari kukubaliana na hali halisi, kwa namna Magufuli alivyoongoza nchi, akaonekana "stubborn" mpaka nje ya nchi hasa kuhusu Corona, sijui ulitaka Samia aseme nini zaidi ya kile alichosema, au wewe ndio unataka kumfundisha kusema uongo?
Swadakta! Watanzania wamezoea unafiki, kudanganywa danganywa. Sasa mama amekuwa muwazi, wamepigwa na butwaa. Kifupi mlichokisikia katika mahojiano hayon ndichao Rais alichotaka kukisema, wala hakupotea. Na wala haikuhita eti msaidizi amueleze cha kujibu. Subiri utapokuwa wewe Rais ndio unyweshwe na wasaidizi wako.Tangu ameingia madarakani Samia anahubiri "kuifungua nchi", anainadi nchi kuwa ni mahala salama kwa uwekezaji na mashirikiano na mataifa mengine.
Hayo yote ni katika kuonyesha kwamba mazingira ya utawala wa sasa sio sawa na ya utawala uliopita.
Kwahiyo kwenye haya yote hatujashangaa, tumekuja kushangazwa na kauli ya jana kwamba kwenye baadhi ya mambo ikiwamo Covid 19 walikua wanatofautiana na JPM ?
Kusoma hatujui, hata picha tu hatuoni ?
Kwenye hilohilo la COVID, mbona iko wazi kwamba walitofautiana maana Samia alivyoingia madarakani akaruhusu approach za kisayansi ikiwemo CHANJO.
Halafu kukinzana mawazo sio dhambi kwamba ifanywe ni siri, mimi sioni kama kuna ubaya kulisema wazi hilo suala.
Huyo Rais wenu naturally tu ni bogus.mbona akina Angel Merkel na Theresa May waliweza kuongoza?Wamarekani wenyewe wanaomba yasije kuwakuta kama yaliyotukuta Tanzania Biden akafa yule mama akachukua nchi kwani wanajua madhara ya mwanamke kua kichwa cha nchi.
Mwanamke ni mwanamke tu.
Usiwatukane graduates wewe acha kabisa usiwaone kuwa hawajielewiSa100 yupo marekani anasaka konekisheni..graduates jifunzeni kwake..konekisheni ndio suala la msingi.
#MaendeleoHayanaChama
Mimi nadhani viongozi wetu ndio wenye matatizo maana nchi nyingine misimamo yao inafahamika na hawana haja ya kujidhalilisha namna hii ili wapate investors.Nadhani kuna shida mahali nchi haiwezi kuwa kama mlango wa nyumba ya kichaa leo kaja kiongozi huyu umefunguka Kesho kaja mwingine umefungwa keshokutwa kaja mwingine umefungukuka.No tuwe serious tuwe na hoja hii trend ya mara funga kisha fungua kisha funga halafu fungua unafiki !! kwa nini hatuwi na sera na mkakati sustainable .Kwa nini itegemee nani yuko madarakani hadi mtu itoke nje ujikombe kusema mimi niko tofauti na yule wakati ulikuwa Serikali hiyo hiyo?
Hapo tuko pamoja mkuu. Tunahitaji Dira ya taifa, sio dira ya Rais.Nadhani kuna shida mahali nchi haiwezi kuwa kama mlango wa nyumba ya kichaa leo kaja kiongozi huyu umefunguka Kesho kaja mwingine umefungwa keshokutwa kaja mwingine umefungukuka.No tuwe serious tuwe na hoja hii trend ya mara funga kisha fungua kisha funga halafu fungua unafiki !! kwa nini hatuwi na sera na mkakati sustainable .Kwa nini itegemee nani yuko madarakani hadi mtu itoke nje ujikombe kusema mimi niko tofauti na yule wakati ulikuwa Serikali hiyo hiyo?
Jibu alilojibu raisi linaonyesha Serikali haikuwa organized .Raisi kivyake makamu kivyake utafikiri Serikali ya Sudan kusini kati ya Raisi Salva Kiir na makamu wake Riech machar!! Hakukuwa na unit of command and purpose
Swali je sasa Serikali ya Mama Samia iko organized from bottom to the top? Hilo swali kawaachia homework wamarekani wafanye analysis wenyewe!!
Acha usanii alijibu ukweli wa nafsi yake kwamba yeye alikuwa na mtazamo tofauti na boss wake kuhusu Covid-19, ikionekana amekosea ibaki hivyo I we sehemu ya CV take, kila MTU abebe mzigo wake ndio uwezo wakeMahojiano ya jana ya Rais Samia na Gazeti la New York Times alinukuliwa akisema alipata wakati mgumu kufanya kazi na Hayati Magufuli kutokana na msimamo wa Magufuli juu ya Covid-19.
Japokuwa simkubali Magufuli, lakini hii kauli haijakaa sawa, lakini nina uhakika Rais Samia hakudhamiria kusema hivyo, bali aliyekuwa akimhoji ndio alimbana na kulazimisha kusema hivyo.
Kwa wanaoangalia mahojiano ya viongozi na waandishi wa habari wa nchi za 'mbele' wanajua jinsi waandishi hao wanavyokuwa aggressive, mnakumbuka Tundu Lissu mwenyewe alivyobanwa na mwandishi wa BBC hadi kujikuta ametamka atawapa mashoga haki zao...! Baadae akaja kukana hakumaanisha hivyo, ila sikumlaumu maana unabanwa kwelikweli.
Sasa kwa mtu kama Rais ambaye ana wasaidizi wengi smart walitakiwa ku-anticipate maswali ambayo angeulizwa Rais, na Rais angekua namna ya kuyajibu kabla, kuna maswali mengine unaya-dodge tu badala ya kutoa majibu direct ambayo yataleta utata, ndivyo wanasiasa hufanya.
Wasimuache kama anaenda kuhojiwa TBC.
Nadhani hili halitajirudia tena.
Ameisha kuwa president - hivyo hiyo statement yako haina maana hapa. Kama angekuwa ndo anawania urais hapo tunge izungumzia!Samia sio presidential material
Correct how and how best is best response? Dimensions zipi unatumia , kama alichemka ibaki hivyo bado ni Rais no doubt ila upeo wake na dunia itamtazama hivyo hakuna wa kubeba upeo wake ya kwake abebe aibu hatuwezi kumpandikiza akili mpyashe responded correctly but not the best response.
Asante sana hio ndio integrity na dhana ya kubebeana na kutunziana sasa yeye anaivua nguo nchi, kilaza wa kutupwa dio anaweza asiwe sensitive, Mungu atusaidieYes kama swali gumu angesema no comment au angesema wakati ule tulidhani tatizo la Corona dogo au halipo kutokana na kipindi kile elimu kuhusu huo ugonjwa ilikuwa ndogo kwetu lakini baadaye tukaja kugundua kuwa tatizo ni kubwa ndio tukaanza kuchukua hatua stahiki
Kasema ilikuwa ngumu kufanya kazi na Magufuli..Was this necessary?Tangu ameingia madarakani Samia anahubiri "kuifungua nchi", anainadi nchi kuwa ni mahala salama kwa uwekezaji na mashirikiano na mataifa mengine.
Hayo yote ni katika kuonyesha kwamba mazingira ya utawala wa sasa sio sawa na ya utawala uliopita.
Kwahiyo kwenye haya yote hatujashangaa, tumekuja kushangazwa na kauli ya jana kwamba kwenye baadhi ya mambo ikiwamo Covid 19 walikua wanatofautiana na JPM ?
Kusoma hatujui, hata picha tu hatuoni ?
Kwenye hilohilo la COVID, mbona iko wazi kwamba walitofautiana maana Samia alivyoingia madarakani akaruhusu approach za kisayansi ikiwemo CHANJO.
Halafu kukinzana mawazo sio dhambi kwamba ifanywe ni siri, mimi sioni kama kuna ubaya kulisema wazi hilo suala.
Damn pole kijana.Mkuu tanzania bado hakujakuwa na ujasiri huo ama utamaduni huo kwamba ukishindwa kufanya naye mtu kazi wa juu yako ukae pembeni ni vile unabaki na matumaini tu na kuendelea sio kwa mama samia tu hata nyerere alikuwa mtumwa kwa wazungu
Muacheni mama awagonge zile sehemu zenu zenye maumivu, Sasa mumeona mama mwanamke wa kizanzibari alivyopiga hatua kuliko mwendazake mnakosa amani na usingizi., Mama bado yupo sana.