tunasema kulikuwa na hofu ya woga., elewa hapoHakuwa na msimamo wowote kwani mbona mikutano yake mingi ameonekama havai barakoa. Kama kweli alikuwa anapingana katika mtazamo huo angeonyesha hata kwa yeye kuvaa barakoa bila kuhamasisha wengine.
Ni njia tu za kumsigina mwenzako ili kutaka misaada.
Mpaka anauliza - any more questions??Nyerere alikuwa na uwezo wa kujibu maswali ya waandishi wa kizungu mpaka wanaogopa kumuuliza tena, ni swala Ia IQ tu.
Mimi na wewe hatupo kwenye position ya kulitolea majibu hilo swali.Kasema ilikuwa ngumu kufanya kazi na Magufuli..Was this necessary?
U afiki mtupu. Walioweka lock up walitoboa? Kwa taarifa yako kwenye handling ya covid magufuli ni kinara duniani. Utake usitake kwa webye akili wanatambua kwamba dunia nzima inatumia method ya magufuli kwasasa with some few modifications
It was not necessaryKasema ilikuwa ngumu kufanya kazi na Magufuli..Was this necessary?
Sasa wewe tukuchukulie vipi. Samia ni roboti lako, ambalo kwa bahati mbaya umeli-program vibaya? Unasema "unauhakika Samia hakudhamiria kusema hivyo...", wewe ndiye unayeshikilia dhamira yake?Japokuwa simkubali Magufuli, lakini hii kauli haijakaa sawa, lakini nina uhakika Rais Samia hakudhamiria kusema hivyo, bali aliyekuwa akimhoji ndio alimbana na kulazimisha kusema hivyo.
Nyerere alikuwa na uwezo wa kujibu maswali ya waandishi wa kizungu mpaka wanaogopa kumuuliza tena, ni swala Ia IQ tu.
Okay siwezi kubisha maana sijui behind the scenes Nyerere alikuwa akijiandaa au la
Ila Nyerere alikuwa na umahiri wake na mapungufu yake, Samia nae ana umahiri wake na mapungufu yake
Pale kwenye mapungufu ndio tunashauri namna ya kurekebisha
presidential material ni nani? au Dictator Magufuli?Samia sio presidential material
Hata hujui maana ya kujitegemea. Kakojoe ukalaleUna mtaarifu nani. Jifunze kujitegemea
Mama yupo Vizuri sana.Huo ndio uswahili wenu, jibu hoja iliyopo mezani
StupidMbona kama kajibu hivyo amejibu safi sana, nyinyi wabongo mushazoea kusema uongo na kupambia pambia mabosi wenu na kuwatukuza viongozi muda wote hata wakienda mchomo, siku zile Corona imeshika muliwalazimisha watu nchi nzima Corona isiitwe Corona eti iite ugonjwa wa kuambukiza., mukijaribu kuifananisha corona na magonjwa ya kawaida ili ionekane Corona sio tishio kwa maisha ya watu, wakati watu wakiendelea kupoteza maisha kwa hiyohiyo corona.
Samia nampongeza huyu mama anatabia ya kusema ukweli, na sasa anaonyesha waziwazi kwamba mwendazake alikuwa anakosea sana kwenye uongozi wake lakini kipindi kile mazingira yalikuwa hayamruhusu kumchalenge kutoka na hofu ya woga ambayo mkuu aliijenga.
Kama unasema kulikuwa na hofu ya woga basi hufai kuwa kiongozi. Kiongozi unapaswa usimamie unachokiamini na si kuyumba, migogoro ya kimtazamo mara zote huzaa better solution.tunasema kulikuwa na hofu ya woga., elewa hapo
angesema wakati ule tulidhani tatizo la Corona dogo nchinin kwetu au halipo kutokana na kipindi kile elimu kuhusu huo ugonjwa ilikuwa ndogo kwetu lakini baadaye tukaja kugundua kuwa tatizo ni kubwa ndio tukaanza kuchukua hatua stahiki hadi leondio utuambie alitakiwa aseme vipi ?
Huyu mama bila kujua anajenga uhasama mkubwa sana kwa wasukuma. Akumbuke wasukuma wana mikoa mitano. Lakini pia wametakaa kila mkoa wa jamhuri ya muungano wa Tanzania uchaguzi 2025 utakuwa ni uchaguzi mgumu sana.Mahojiano ya jana ya Rais Samia na Gazeti la New York Times alinukuliwa akisema alipata wakati mgumu kufanya kazi na Hayati Magufuli kutokana na msimamo wa Magufuli juu ya Covid-19.
Japokuwa simkubali Magufuli, lakini hii kauli haijakaa sawa, lakini nina uhakika Rais Samia hakudhamiria kusema hivyo, bali aliyekuwa akimhoji ndio alimbana na kulazimisha kusema hivyo.
Kwa wanaoangalia mahojiano ya viongozi na waandishi wa habari wa nchi za 'mbele' wanajua jinsi waandishi hao wanavyokuwa aggressive, mnakumbuka Tundu Lissu mwenyewe alivyobanwa na mwandishi wa BBC hadi kujikuta ametamka atawapa mashoga haki zao...! Baadae akaja kukana hakumaanisha hivyo, ila sikumlaumu maana unabanwa kwelikweli.
Sasa kwa mtu kama Rais ambaye ana wasaidizi wengi smart walitakiwa ku-anticipate maswali ambayo angeulizwa Rais, na Rais angekua namna ya kuyajibu kabla, kuna maswali mengine unaya-dodge tu badala ya kutoa majibu direct ambayo yataleta utata, ndivyo wanasiasa hufanya.
Wasimuache kama anaenda kuhojiwa TBC.
Nadhani hili halitajirudia tena.
Sio Wasukuma wote wanaokubalina na MagufuliHuyu mama bila kujua anajenga uhasama mkubwa sana kwa wasukuma. Akumbuke wasukuma wana mikoa mitano. Lakini pia wametakaa kila mkoa wa jamhuri ya muungano wa Tanzania uchaguzi 2025 utakuwa ni uchaguzi mgumu sana.
Funza ana upeo mkubwa wa kufikiri kuliko wewe. Yeye amesema kilichokuwa kinatokea, wewe unataka washauri wamshauri nini? Idiot at is highest form!Okay siwezi kubisha maana sijui behind the scenes Nyerere alikuwa akijiandaa au la
Ila Nyerere alikuwa na umahiri wake na mapungufu yake, Samia nae ana umahiri wake na mapungufu yake
Pale kwenye mapungufu ndio tunashauri namna ya kurekebisha
Siyo poa kwako na na familia yenu ya ATC Wazalendo tu.Sikumaanisha amsifie, ila kumponda aliyekuwa boss wako sio poa,