abulaaliyah77
JF-Expert Member
- Oct 13, 2021
- 1,750
- 1,158
Acha wivu wa kike
Uwezo wa Zuhura Yunus ni mdogo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uwezo wa Zuhura Yunus ni mdogo.
Huo ni mtazamo wako tunauheshimu. Ni kama jinsi ilivyo kwako kuna ambao wanakuona HUTOSHI Kabisa hapo ulipo.Samia sio presidential material
Yes kama swali gumu angesema no comment au angesema wakati ule tulidhani tatizo la Corona dogo au halipo kutokana na kipindi kile elimu kuhusu huo ugonjwa ilikuwa ndogo kwetu lakini baadaye tukaja kugundua kuwa tatizo ni kubwa ndio tukaanza kuchukua hatua stahikiMkuu kwenye siasa uwongo na kweli vinakuwepo
Kuna muda ukweli unaweza kufanya damage kubwa kuliko uwongo, hapo ndio kuna umuhimu wa kupotezea kuliko kusema
Ndivyo ulivyokaririshwa?Kisha ikamuondoa pia
Asamehewe tu. Ndicho kipaji cha wabongo wengi. Wivu na Majungu.Acha wivu wa kike
Ndivyo ulivyokaririshwa?
Mama Samia aliposema yeye na Magufuli ni kitu kimoja alikuwa akisema ukweli au uongo?Huo ukwel mchungu,halafu mkumbuke waislamu haturuhusiw kuwa waongo
Mama Samia aliposema yeye na Magufuli ni kitu kimoja alikuwa akisema ukweli au uongo?
Hakusema hivyo? Kaangalie ile interview, halafu tuwekee alichosemaShida yako ulikiwa umtaje tu Tundu Lissu, na hakusema hivyo ulivyoandika hapa mtu mwenye hila.
Mahojiano ya jana ya Rais Samia na Gazeti la New York Times alinukuliwa akisema alipata wakati mgumu kufanya kazi na Hayati Magufuli kutokana na msimamo wa Magufuli juu ya Covid-19.
Japokuwa simkubali Magufuli, lakini hii kauli haijakaa sawa, lakini nina uhakika Rais Samia hakudhamiria kusema hivyo, bali aliyekuwa akimhoji ndio alimbana na kulazimisha kusema hivyo.
Kwa wanaoangalia mahojiano ya viongozi na waandishi wa habari wa nchi za 'mbele' wanajua jinsi waandishi hao wanavyokuwa aggressive, mnakumbuka Tundu Lissu mwenyewe alivyobanwa na mwandishi wa BBC hadi kujikuta ametamka atawapa mashoga haki zao...! Baadae akaja kukana hakumaanisha hivyo, ila sikumlaumu maana unabanwa kwelikweli.
Sasa kwa mtu kama Rais ambaye ana wasaidizi wengi smart walitakiwa ku-anticipate maswali ambayo angeulizwa Rais, na Rais angekua namna ya kuyajibu kabla, kuna maswali mengine unaya-dodge tu badala ya kutoa majibu direct ambayo yataleta utata, ndivyo wanasiasa hufanya.
Wasimuache kama anaenda kuhojiwa TBC.
Nadhani hili halitajirudia tena.
Angejibu suala la Corona lilikuwa na ubishi dunia nzima, ikiwepo hata USA yenyewe, na ndani ya serikali walikuwa wakitafiti kabla ya kuchukua hatua zenye athariYes kama swali gumu angesema no comment au angesema wakati ule tulidhani tatizo la Corona dogo au halipo kutokana na kipindi kile elimu kuhusu huo ugonjwa ilikuwa ndogo kwetu lakini baadaye tukaja kugundua kuwa tatizo ni kubwa ndio tukaanza kuchukua hatua
Jibu alilojibu raisi linaonyesha Serikali haikuwa organized .Raisi kivyake makamu kivyake utafikiri Serikali ya Sudan kusini kati ya Raisi Salva Kiir na makamu wake Riech machar!! Hakukuwa na unit of command and purpose
Swali je sasa Serikali ya Mama Samia iko organized from bottom to the top? Hilo swali kawaachia homework wamarekani wafanye analysis wenyewe!!
Hakutakiwa kujibu hivyo linachanganya hadi wawekezajiwanaomkosoa Rais walipaswa watuambie jee walitaka Rais aseme hakuwahi kutofautiana mawazo na Bosi wake?
Mkuu tanzania bado hakujakuwa na ujasiri huo ama utamaduni huo kwamba ukishindwa kufanya naye mtu kazi wa juu yako ukae pembeni ni vile unabaki na matumaini tu na kuendelea sio kwa mama samia tu hata nyerere alikuwa mtumwa kwa wazunguTuache unafiki, kama mazingira yalikuwa hayaruhusu alilazimishwa kufanya naye kazi, angeweza kuondoka kurudi Unguja akatulie!.
Haya mambo huwa wanadanganywa watoto, but ili upate pesa kwa wakoloni wadanganye vyovyote unavyoweza cha msingi wakupe pesa.
Kwanini unamuongelea yeye? Semea nafsi yako.Kamuuluze andunje atakujibu
Nyerere alikuwa kiboko wakati kuna mgogoro Zanzibar wanataka kujitenga muungano Nyerere alienda uingereza akahojiwa kuhusu issue ya mgogoro wa Zanzibar chap chap akawajibu kuwa let us talk about Ireland first !! Sababu mgogoro uingereza na Ireland ni sawa na wa Muungano wa Tanzania na Zanzibar !! Mwandishi Alahama chap chap akaenda muhoji swali lingine hilo akalitupa kapuni
Sio kuwa muongo, kuna namna ya kujibu maswali bila kusema uwongo wala kusema ukweli.wanaomkosoa Rais walipaswa watuambie jee walitaka Rais aseme hakuwahi kutofautiana mawazo na Bosi wake?
kwanini tunataka Rais wetu awe muongo muongo?
sie tunataka dola za Wazungu mwacheni aseme lolote ambalo litarahisisha upatikanaji wa fedha
hata Comrade Kinana aliinanga sana Serikali ya Jakaya 2010-2015 ili kuingiza maboya wananchi tupate ushindi na kweli ushindi ukapatikana …mwanasiasa ili afanikishe lake hutumia 'silaha ' zote
Sio kuwa muongo, kuna namna ya kujibu maswali bila kusema uwongo wala kusema ukweli.
Hii lazima Samia aijuie kama ataendelea kufanya interview na vyombo vya nje.