Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna namna , vinginevyo watapukutika wote .Naona Leo wamevaa barakoa. This is a complete U_turn of Mwendazake policies on covid 19 containment.
Asante Mama kwa move hii, highly welcome Mama.
Muulize bi mkubwa wako. Hujaelewa mantiki yangu .Wazee wenzio walivyokua wananunua viwanja Dar ulikua wapi
Think much deeperChadema haina wazee. Unabisha!?
Lini uliamini nchi hii ina corona ?Mic ni ile ile,
Kila mtu anapumulia pale pale..
Barakoa ni uhaiFulu Barakoa
Mungu ibariki JFHeshima kwako mkuu
Hiyo heading imenifanya nihisi naangalia BBC NEWS ile kucheki hivi kumbe niko jamii forums jukwaa la siasa
Mkuu ulichovuta leo hakiendan na umri wako. Kinachojadiliwa kingine, na ulichokimbilia kuandika kingine!Hata Sophia Simba alipovuliwa uwananchama wa CCM Speaker aliufuta ubunge wake lakini ni Speaker huyohuyo anaomba muhtasari wa kikao cha kuwafuta Ubunge Mzee Halima na wenzake pamoja na Katiba ya Chadema.
Sisi tuliosoma sana na kupitia mambo ya biology au zoology, hiyo heading umeamua kuwakoga watu kwa kuandika process ya kibaiolojia ya makuzi inayowatokea wanyama jamii ya snail, lengo ni nini? Torsion haina uhusiano au ufanano na U-turn!Naona Leo wamevaa barakoa. This is a complete U_turn of Mwendazake policies on covid 19 containment.
Asante Mama kwa move hii, highly welcome Mama.
Chief, I am well aware that, Chadema has many elders, and even there in the session, there are only so many Chadema elders!Think much more deeper
Wazee wa Chato wako Burigi, wanataka Mkoa wa ChatoWazee wa Chato wapo hapo?
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amewasili Ukumbi wa Mlimani City kuongea na Wazee wa Dar es Salaam
Tunakuletea updates hapa.