January ndie waziri bora katika Mawaziri wote. Kama swala la kukatika umeme Tanzania lisikusumbue, utakatika sana maana miundombinu yetu na Jiografia yetu ni halijojo, ata tukiwekeza vipi. Mafanikio huja kwa kutatua changamoto kidogo kidogo. January is there to work and stay, uku mtaani hakuna ata anae lalamikia umeme, ila nyinyi watafuta nyasifa mnatujazia mineno miiiingi.