StudentTeacher
JF-Expert Member
- Jan 30, 2019
- 4,153
- 4,301
Kama ndivyo huo mtego yeye hakuunusa?.Usichokijua ni kwamba aliwekwa hapo makusud ili aharibu na kwel yametimia.. hyo wizara kama si mwamba inakua mzigo.. ni ngum hyo wizara na ina posho sana na rushwa hyo wizara ila lazima uchafuke.. so bwa mdogo aliwekwa hapo makusud aharib ili asiwe kizingit kwenye mbio na medan za urais nchini.. wamemuweza kwelkwel