Rais Samia apende-asipende siku yaja atamfuta Uwaziri January kwa shinikizo la wananchi

Rais Samia apende-asipende siku yaja atamfuta Uwaziri January kwa shinikizo la wananchi

Usichokijua ni kwamba aliwekwa hapo makusud ili aharibu na kwel yametimia.. hyo wizara kama si mwamba inakua mzigo.. ni ngum hyo wizara na ina posho sana na rushwa hyo wizara ila lazima uchafuke.. so bwa mdogo aliwekwa hapo makusud aharib ili asiwe kizingit kwenye mbio na medan za urais nchini.. wamemuweza kwelkwel
Kama ndivyo huo mtego yeye hakuunusa?.
 
Hata Samia akitaka kukaa madarakani mpaka kifo Hakuna mtanzania ataandamana. Jua Hilo.
Hawezi kujaribu kukaa milele kwa sababu eti Watanzania hawawezi kumfanya lolote

Waliojaribu kumpoteza Nyerere mara tatu, 1964, 1968, na 1982, walikuwa Wa Kongomeni ?

Tena war president, ana vikosi vya ukombozi nusu ya Afrika, chama kimoja, fikra za kudumishwa ni za mtu mmoja tu, na watu bado hawakukubali.

Haya!
 
Umesharudi toka Rwanda?

Yaani Samia amfute Uwaziri January kwa sababu ya nyie wapuuzi wachache gang ya Waburundi na Wanyarwanda?
Rwanda ulimpeleka weye.?

Hatutaki waziri muongo muongo Mara Sjui mitambo inakarabatiwa wiki mbili, na sasa ni miezi lkn kukatika kwa umeme uko paleale
 
Umesharudi toka Rwanda?

Yaani Samia amfute Uwaziri January kwa sababu ya nyie wapuuzi wachache gang ya Waburundi na Wanyarwanda?
Kuna shida kubwa sana ya uzalendo hapa nchini....hata mimi napaswa kubadilika.

Sasa ninyi mkiwa kwenye mrija au bakuli la keki ya taifa...kila anayewakosoa mnamuona mjinga na hamnazo.

Kukoselewa kutabakia pale pale, na kwa sasa jamii ya watanzania imebadilika...tutahoji tu na mwisho wa siku tutashinda
 
Hawezi kujaribu kukaa milele kwa sababu eti Watanzania hawawezi kumfanya lolote

Waliojaribu kumpoteza Nyerere mara tatu, 1964, 1968, na 1982, walikuwa Wa Kongomeni ?

Tena war president, ana vikosi vya ukombozi nusu ya Afrika, chama kimoja, fikra za kudumishwa ni za mtu mmoja tu, na watu bado hawakukubali.

Haya!
Kwani waliopindua Marais karibu 7 wa Uganda huku Obotte akipinduliwa Mara mbili wameshindwa Nini kumpindua Museven kwa miaka zaidi ya 27 sasa?
 
January nahisi nyota yake ina giza sana!

Haiwezekani yeye tu kutajwa na hata kusemwa kwa ubaya tuuuu!

Ukiona jamii inayokuzunguka haishi vigenge vya kukusema kwa ubaya tambua kutoboa kwako katika jambo fulani itakuwa vigumu sana.

Ukweli ni kwamba 75% ya Watanzania hawamweli na zaidi hawampendi January ama kwa kukalilishwa ubaya wake ama kwa hila.

Kwa chuki zilizo bayana kwa January kutoka Watanzania wengi hasa masikini wanaoendelea kuaminishwa kwamba jamaa ni mtesi wao basi tujiandae na mtikisiko mkuu ndani ya siasa za CCM huko mtaani.

Yatapotukia hayo basi mteule wake atakuwa hana chaguo jingine zaidi ya kumtoa kafala kwa maslahi mapana ya kisiasa kwake.

Ikumbukwe hata Kikwete alilazimika kumtosa rafiki yake Karamagi kwa kulazimishwa na sintofahamu ya kisiasa huko mtaani.

Hata isipokuwa mwaka huu lakini natabiri January hatoboi 2025.
ccm wamegeuza hii nchi ni ya kifalme kurisishana madaraka babu mpaka mjukuu. inasemekana watanzania wengi ni km mazombe hawaelewi nn bora kwao na nn njema.
 
January nahisi nyota yake ina giza sana!

Haiwezekani yeye tu kutajwa na hata kusemwa kwa ubaya tuuuu!

Ukiona jamii inayokuzunguka haishi vigenge vya kukusema kwa ubaya tambua kutoboa kwako katika jambo fulani itakuwa vigumu sana.

Ukweli ni kwamba 75% ya Watanzania hawamweli na zaidi hawampendi January ama kwa kukalilishwa ubaya wake ama kwa hila.

Kwa chuki zilizo bayana kwa January kutoka Watanzania wengi hasa masikini wanaoendelea kuaminishwa kwamba jamaa ni mtesi wao basi tujiandae na mtikisiko mkuu ndani ya siasa za CCM huko mtaani.

Yatapotukia hayo basi mteule wake atakuwa hana chaguo jingine zaidi ya kumtoa kafala kwa maslahi mapana ya kisiasa kwake.

Ikumbukwe hata Kikwete alilazimika kumtosa rafiki yake Karamagi kwa kulazimishwa na sintofahamu ya kisiasa huko mtaani.

Hata isipokuwa mwaka huu lakini natabiri January hatoboi 2025.
Kwenye ubunge?
 
January nahisi nyota yake ina giza sana!

Haiwezekani yeye tu kutajwa na hata kusemwa kwa ubaya tuuuu!

Ukiona jamii inayokuzunguka haishi vigenge vya kukusema kwa ubaya tambua kutoboa kwako katika jambo fulani itakuwa vigumu sana.

Ukweli ni kwamba 75% ya Watanzania hawamweli na zaidi hawampendi January ama kwa kukalilishwa ubaya wake ama kwa hila.

Kwa chuki zilizo bayana kwa January kutoka Watanzania wengi hasa masikini wanaoendelea kuaminishwa kwamba jamaa ni mtesi wao basi tujiandae na mtikisiko mkuu ndani ya siasa za CCM huko mtaani.

Yatapotukia hayo basi mteule wake atakuwa hana chaguo jingine zaidi ya kumtoa kafala kwa maslahi mapana ya kisiasa kwake.

Ikumbukwe hata Kikwete alilazimika kumtosa rafiki yake Karamagi kwa kulazimishwa na sintofahamu ya kisiasa huko mtaani.

Hata isipokuwa mwaka huu lakini natabiri January hatoboi 2025.
Atamhamisha wizara tu, kila rais Huwa na wazir wake mpendwa. Umesahau kipndi Cha J.k. tulikiwa na wazir ambaye watu walikuwa hawamwelewi Shukuru kawambwa Huyu nadhan alikuwa na udugu na J.K alibebwa Miaka yote kumi
 
January nahisi nyota yake ina giza sana!

Haiwezekani yeye tu kutajwa na hata kusemwa kwa ubaya tuuuu!

Ukiona jamii inayokuzunguka haishi vigenge vya kukusema kwa ubaya tambua kutoboa kwako katika jambo fulani itakuwa vigumu sana.

Ukweli ni kwamba 75% ya Watanzania hawamweli na zaidi hawampendi January ama kwa kukalilishwa ubaya wake ama kwa hila.

Kwa chuki zilizo bayana kwa January kutoka Watanzania wengi hasa masikini wanaoendelea kuaminishwa kwamba jamaa ni mtesi wao basi tujiandae na mtikisiko mkuu ndani ya siasa za CCM huko mtaani.

Yatapotukia hayo basi mteule wake atakuwa hana chaguo jingine zaidi ya kumtoa kafala kwa maslahi mapana ya kisiasa kwake.

Ikumbukwe hata Kikwete alilazimika kumtosa rafiki yake Karamagi kwa kulazimishwa na sintofahamu ya kisiasa huko mtaani.

Hata isipokuwa mwaka huu lakini natabiri January hatoboi 2025.
makamba anafanya kwa niaba au kwa maelekezo sema ana kiranja utopolo ndiomana hamuelewi, Makamba hajifanyii endeleeni kuumia tatizo ni Bibi Mtozo
 
January nahisi nyota yake ina giza sana!

Haiwezekani yeye tu kutajwa na hata kusemwa kwa ubaya tuuuu!

Ukiona jamii inayokuzunguka haishi vigenge vya kukusema kwa ubaya tambua kutoboa kwako katika jambo fulani itakuwa vigumu sana.

Ukweli ni kwamba 75% ya Watanzania hawamweli na zaidi hawampendi January ama kwa kukalilishwa ubaya wake ama kwa hila.

Kwa chuki zilizo bayana kwa January kutoka Watanzania wengi hasa masikini wanaoendelea kuaminishwa kwamba jamaa ni mtesi wao basi tujiandae na mtikisiko mkuu ndani ya siasa za CCM huko mtaani.

Yatapotukia hayo basi mteule wake atakuwa hana chaguo jingine zaidi ya kumtoa kafala kwa maslahi mapana ya kisiasa kwake.

Ikumbukwe hata Kikwete alilazimika kumtosa rafiki yake Karamagi kwa kulazimishwa na sintofahamu ya kisiasa huko mtaani.

Hata isipokuwa mwaka huu lakini natabiri January hatoboi 2025.
January anabebwa na mafisadi + udini
 
Back
Top Bottom