Rais Samia apende-asipende siku yaja atamfuta Uwaziri January kwa shinikizo la wananchi

Rais Samia apende-asipende siku yaja atamfuta Uwaziri January kwa shinikizo la wananchi

Tuwe wazalendo na nchi yetu, maendeleo ya nchi ni muhimu kuliko sarakasi za kutafuta madaraka 2025 na 2030, wizara ya nishati imepwaya mno.

Yale magenge ya wafanyabishara yamerudi, yana dictate business of the day, na yule kijana wenu yupoyupo tu.

Hivi Mh. Kalemani alowakosea nini hadi mkamtoa pale? Ni mtu simple asiye na ndoto kubwa za kushika madaraka makubwa, he was really good at his job!

Ona sasa tulipo, umeme majanga, JNHPP inachechemea, mafuta ndio usiguse, vita ya 'yukrein' my foot.

Turudishieni Chato boy pale, anaiweza mikiki mikiki ya wazara, sio huyo kijana wenu bingwa wa mabao ya mikono.
Uozo mtupu, nchi imerudi kwenye zama za kubembea Jamaica.
 
Wana Gambosh sukuma gang tulizeni makalio yenu. Mungu sio mjinga kuua yule shetani wenu. Sasa nchi iko salama sana. Hakuna mnachoweza fanya. Maisha yenu.
 
Tuwe wazalendo na nchi yetu, maendeleo ya nchi ni muhimu kuliko sarakasi za kutafuta madaraka 2025 na 2030, wizara ya nishati imepwaya mno.

Yale magenge ya wafanyabishara yamerudi, yana dictate business of the day, na yule kijana wenu yupoyupo tu.

Hivi Mh. Kalemani alowakosea nini hadi mkamtoa pale? Ni mtu simple asiye na ndoto kubwa za kushika madaraka makubwa, he was really good at his job!

Ona sasa tulipo, umeme majanga, JNHPP inachechemea, mafuta ndio usiguse, vita ya 'yukrein' my foot.

Turudishieni Chato boy pale, anaiweza mikiki mikiki ya wazara, sio huyo kijana wenu bingwa wa mabao ya mikono.
Usilolijua ni sawa na usiku wa giza.

Siri ya mtungi aijuae kata.

No research no right to speak.
 
Huyo makamba hafai kuwa hata kiongozi wa mtaa.

Nchi hii shida kweli
 
Uongozi ni kibali.

Uongozi ni taranta.

Unaweza ukayapenda madaraka makubwa na ukautamani uongozi lakini kama huna Kibali kamwe hutayafikia.

Taranta ya uongozi hutoka kwa Mungu na Kiongozi huwa hatumii nguvu kubwa kukifikia kilele cha uongozi.

Mzee Lowassa aliutamani sana urais na sasa kuna vijana kama Dr Kigwangalla Dr Mwigullu na January Makamba wanautamani urais.

Je, wana taranta ya uongozi?

Maendeleo hayana vyama.
 
May his name january Makamba be preserved in every capital of Africa 😃😃😃😃😃😃 na jina lake sasa lihifadhiwe katika makabati yote ya Africa
 
Kuna zile Wizara nyepesi nyepesi kama Mazingira.

Michezo, kina mama na watoto hizo zinafaa kabisa kwa kipenzi chetu.
 
Kweli nimeamini Makamba ni Mti wenye matunda.....mti wenye matunda ndio hupopolewa na mawe..........

Ukiona unasemwa semwa sana jua kuwa unakitu kikubwa cha ziada kuliko wale wanao kusema.....hivyo ni tishio kwao....na hivyo lazima waanzishe majungu na fitina kumchafua kwa kila njia lkn kamwe hawezi kuchafuliwa tena.

Mh. Makamba anapaswa apige kazi kweli kweli ili wabaya wake ambao kila uchwao wanamuombea mabaya wabaki midomo wazi.
 
Tuwe wazalendo na nchi yetu, maendeleo ya nchi ni muhimu kuliko sarakasi za kutafuta madaraka 2025 na 2030, wizara ya nishati imepwaya mno.

Yale magenge ya wafanyabishara yamerudi, yana dictate business of the day, na yule kijana wenu yupoyupo tu.

Hivi Mh. Kalemani alowakosea nini hadi mkamtoa pale? Ni mtu simple asiye na ndoto kubwa za kushika madaraka makubwa, he was really good at his job!

Ona sasa tulipo, umeme majanga, JNHPP inachechemea, mafuta ndio usiguse, vita ya 'yukrein' my foot.

Turudishieni Chato boy pale, anaiweza mikiki mikiki ya wazara, sio huyo kijana wenu bingwa wa mabao ya mikono.
Siwezi kumuongelea sana Makamba kwa vile simfahamu kwa undani. Ingawa nadhani wingi wa nyuzi zinazompinga unaonyesha udhaifu wa Kalemani kiutendaji.
 
Usilo lijua ni sawa na usiku wa giza.

Siri ya mtungi aijuae kata.

No research no right to speak.
Umeongea Kwa sababu una mdomo, vidole, bando lako.

Ungetumia Akili, huwezi kuhoji mtanzania kutomjua Makamba na maukanjanja yake.

Hao wanajulikana.
 
Kweli nimeamini Makamba ni Mti wenye matunda.....mti wenye matunda ndio hupopolewa na mawe..........

Ukiona unasemwa semwa sana jua kuwa unakitu kikubwa cha ziada kuliko wale wanao kusema.....hivyo ni tishio kwao....na hivyo lazima waanzishe majungu na fitina kumchafua kwa kila njia lkn kamwe hawezi kuchafuliwa tena.

Mh. Makamba anapaswa apige kazi kweli kweli ili wabaya wake ambao kila uchwao wanamuombea mabaya wabaki midomo wazi.
Na pia tutambue kuwa Makamba ni kisingizio tu, hapa mlengwa ni Rais Samia moja kwa moja. Wanajifanya kumshambulia Makamba kumbe kwa akili inayotazama katikati ya mistari ya sentensi mlengwa ni SSH mwenyewe.

Hizi mada za umeme ni kisingizio cha kutaka kupunguza uhalali wake wa urais wa sasa, wakidhani kuwa 2025 watakuwa wameshampunguza kasi kama wakianza mashambulizi leo hii.
 
Na pia tutambue kuwa Makamba ni kisingizio tu, hapa mlengwa ni Rais Samia moja kwa moja. Wanajifanya kumshambulia Makamba kumbe kwa akili inayotazama katikati ya mistari ya sentensi mlengwa ni SSH mwenyewe.

Hizi mada za umeme ni kisingizio cha kutaka kupunguza uhalali wake wa urais wa sasa, wakidhani kuwa 2025 watakuwa wameshampunguza kasi kama wakianza mashambulizi leo hii.
Wajinga na wapuuzi sana

Kuna mmoja aliandika eti kariakoo umeme unakatika zinalia jenereta. Nikamuuliza au kariakoo ya chato nini? Maana nipo kariakoo siku ya nne sasa Hakuna sehemu hapa kariakoo umeme umekatika!

Wamejawa na chuki na roho mbaya dhidi ya Makamba! Hawana lolote la msingi!
 
Tuwe wazalendo na nchi yetu, maendeleo ya nchi ni muhimu kuliko sarakasi za kutafuta madaraka 2025 na 2030, wizara ya nishati imepwaya mno.

Yale magenge ya wafanyabishara yamerudi, yana dictate business of the day, na yule kijana wenu yupoyupo tu.

Hivi Mh. Kalemani alowakosea nini hadi mkamtoa pale? Ni mtu simple asiye na ndoto kubwa za kushika madaraka makubwa, he was really good at his job!

Ona sasa tulipo, umeme majanga, JNHPP inachechemea, mafuta ndio usiguse, vita ya 'yukrein' my foot.

Turudishieni Chato boy pale, anaiweza mikiki mikiki ya wazara, sio huyo kijana wenu bingwa wa mabao ya mikono.
Chato boy my foot!! Hii inaonyesha waz jinsi mlivyo wabinafsi na wakabila, kwamba mtu pekee niyeye tu? Kaeni kwa kutulia zama zenu zimepita na hazitarudi tena!!
 
Tuwe wazalendo na nchi yetu, maendeleo ya nchi ni muhimu kuliko sarakasi za kutafuta madaraka 2025 na 2030, wizara ya nishati imepwaya mno.

Yale magenge ya wafanyabishara yamerudi, yana dictate business of the day, na yule kijana wenu yupoyupo tu.

Hivi Mh. Kalemani alowakosea nini hadi mkamtoa pale? Ni mtu simple asiye na ndoto kubwa za kushika madaraka makubwa, he was really good at his job!

Ona sasa tulipo, umeme majanga, JNHPP inachechemea, mafuta ndio usiguse, vita ya 'yukrein' my foot.

Turudishieni Chato boy pale, anaiweza mikiki mikiki ya wazara, sio huyo kijana wenu bingwa wa mabao ya mikono.
Tambueni kuwa Makamba ataendelea kuwa Waziri wa Nishati na Mtengeneza madili wenu aliyewapa madili kwenye miradi ya Rea kalemani ameshaondoka na harudi tena Wizara ya Nishati!

Mtasubiri sana ila kwa ushauri wangu tu! Tafuteni ndimu nyingi tengenezeni juice na mnywe hapo Chato
 
Yale matokeo ya sekondari bado yanamtesa makamba, hayuko sawa.
 
January nahisi nyota yake ina giza sana!

Haiwezekani yeye tu kutajwa na hata kusemwa kwa ubaya tuuuu!

Ukiona jamii inayokuzunguka haishi vigenge vya kukusema kwa ubaya tambua kutoboa kwako katika jambo fulani itakuwa vigumu sana.

Ukweli ni kwamba 75% ya Watanzania hawamweli na zaidi hawampendi January ama kwa kukalilishwa ubaya wake ama kwa hila.

Kwa chuki zilizo bayana kwa January kutoka Watanzania wengi hasa masikini wanaoendelea kuaminishwa kwamba jamaa ni mtesi wao basi tujiandae na mtikisiko mkuu ndani ya siasa za CCM huko mtaani.

Yatapotukia hayo basi mteule wake atakuwa hana chaguo jingine zaidi ya kumtoa kafala kwa maslahi mapana ya kisiasa kwake.

Ikumbukwe hata Kikwete alilazimika kumtosa rafiki yake Karamagi kwa kulazimishwa na sintofahamu ya kisiasa huko mtaani.

Hata isipokuwa mwaka huu lakini natabiri January hatoboi 2025.
Yule anaweza kuiba kura tu. Sio mtendaji na hasa Kwa wizara nyeti Kama ya nishati. Na pengine ni wale wahuni mwendazake aliowasema wanafungulia maji ili kuuza majenereta na kupata pesa za kampeni 2025.

Haiwezekani umeme usikatike hovyo Kwa miaka mitano mfulukizo alafu ghafla unaanza kukatika hovyo na sababu ni maintenance.alafu anasema apewe miaka minne. YA NINI?
 
Tuwe wazalendo na nchi yetu, maendeleo ya nchi ni muhimu kuliko sarakasi za kutafuta madaraka 2025 na 2030, wizara ya nishati imepwaya mno.

Yale magenge ya wafanyabishara yamerudi, yana dictate business of the day, na yule kijana wenu yupoyupo tu.

Hivi Mh. Kalemani alowakosea nini hadi mkamtoa pale? Ni mtu simple asiye na ndoto kubwa za kushika madaraka makubwa, he was really good at his job!

Ona sasa tulipo, umeme majanga, JNHPP inachechemea, mafuta ndio usiguse, vita ya 'yukrein' my foot.

Turudishieni Chato boy pale, anaiweza mikiki mikiki ya wazara, sio huyo kijana wenu bingwa wa mabao ya mikono.
Huna lolote. Chuki zako tu kwa Makamba.
 
Back
Top Bottom