Rais Samia apende-asipende siku yaja atamfuta Uwaziri January kwa shinikizo la wananchi

Rais Samia apende-asipende siku yaja atamfuta Uwaziri January kwa shinikizo la wananchi

Acheni chuki kwa Makamba. Makamba piga kazi usisikilize watu kama hawa waliotemeshwa ulaji hapo wizara ya nishati.
Yule anaweza kuiba kura tu. Sio mtendaji na hasa Kwa wizara nyeti Kama ya nishati. Na pengine ni wale wahuni mwendazake aliowasema wanafungulia maji ili kuuza majenereta na kupata pesa za kampeni 2025.

Haiwezekani umeme usikatike hovyo Kwa miaka mitano mfulukizo alafu ghafla unaanza kukatika hovyo na sababu ni maintenance.alafu anasema apewe miaka minne. YA NINI?
 
January nahisi nyota yake ina giza sana!

Haiwezekani yeye tu kutajwa na hata kusemwa kwa ubaya tuuuu!

Ukiona jamii inayokuzunguka haishi vigenge vya kukusema kwa ubaya tambua kutoboa kwako katika jambo fulani itakuwa vigumu sana.

Ukweli ni kwamba 75% ya Watanzania hawamweli na zaidi hawampendi January ama kwa kukalilishwa ubaya wake ama kwa hila.

Kwa chuki zilizo bayana kwa January kutoka Watanzania wengi hasa masikini wanaoendelea kuaminishwa kwamba jamaa ni mtesi wao basi tujiandae na mtikisiko mkuu ndani ya siasa za CCM huko mtaani.

Yatapotukia hayo basi mteule wake atakuwa hana chaguo jingine zaidi ya kumtoa kafala kwa maslahi mapana ya kisiasa kwake.

Ikumbukwe hata Kikwete alilazimika kumtosa rafiki yake Karamagi kwa kulazimishwa na sintofahamu ya kisiasa huko mtaani.

Hata isipokuwa mwaka huu lakini natabiri January hatoboi 2025.
Babu utakufa bure kwa roho mbaya.
punguza chuki na roho mbaya ili angalu umri wako wa kuishi uongezeke.
 
January nahisi nyota yake ina giza sana!

Haiwezekani yeye tu kutajwa na hata kusemwa kwa ubaya tuuuu!

Ukiona jamii inayokuzunguka haishi vigenge vya kukusema kwa ubaya tambua kutoboa kwako katika jambo fulani itakuwa vigumu sana.

Ukweli ni kwamba 75% ya Watanzania hawamweli na zaidi hawampendi January ama kwa kukalilishwa ubaya wake ama kwa hila.

Kwa chuki zilizo bayana kwa January kutoka Watanzania wengi hasa masikini wanaoendelea kuaminishwa kwamba jamaa ni mtesi wao basi tujiandae na mtikisiko mkuu ndani ya siasa za CCM huko mtaani.

Yatapotukia hayo basi mteule wake atakuwa hana chaguo jingine zaidi ya kumtoa kafala kwa maslahi mapana ya kisiasa kwake.

Ikumbukwe hata Kikwete alilazimika kumtosa rafiki yake Karamagi kwa kulazimishwa na sintofahamu ya kisiasa huko mtaani.

Hata isipokuwa mwaka huu lakini natabiri January hatoboi 2025.

January baba yake anasema wananchi wanakula asali kumbe kinyume chake​

 
Na pia tutambue kuwa Makamba ni kisingizio tu, hapa mlengwa ni Rais Samia moja kwa moja. Wanajifanya kumshambulia Makamba kumbe kwa akili inayotazama katikati ya mistari ya sentensi mlengwa ni SSH mwenyewe.

Hizi mada za umeme ni kisingizio cha kutaka kupunguza uhalali wake wa urais wa sasa, wakidhani kuwa 2025 watakuwa wameshampunguza kasi kama wakianza mashambulizi leo hii.
MAJUNGU NA FITINA.
Lengo la hao wanao fanya kazi ya kumchafua makamba na baadhi ya viongozi wengine ni kuhakikisha kuwa Rais anakosa wasaidizi/watendaji wachapa kazi wabunifu,wafuatiliaji, waaminifu, waadilifu na watiiifu na wazalendo.
Chunguza utaona wale wote wanao jituma kufanya kazi kwa bidii ndio wanao sakamwa kwa maneno ya ovyo......mara makamba mara oohh Mwiguli...
...n.k.........
Mkakati uliopo hivi sasa ni kuwachafua kwa njia yoyote ile kiongozi yeyote yule anaye onekana kutimizi majukumu yake kwa bidii na maarifa......kwa lengo la kuwavunja nguvu na spidi yao ya utendaji.
 
January nahisi nyota yake ina giza sana!

Haiwezekani yeye tu kutajwa na hata kusemwa kwa ubaya tuuuu!

Ukiona jamii inayokuzunguka haishi vigenge vya kukusema kwa ubaya tambua kutoboa kwako katika jambo fulani itakuwa vigumu sana.

Ukweli ni kwamba 75% ya Watanzania hawamweli na zaidi hawampendi January ama kwa kukalilishwa ubaya wake ama kwa hila.

Kwa chuki zilizo bayana kwa January kutoka Watanzania wengi hasa masikini wanaoendelea kuaminishwa kwamba jamaa ni mtesi wao basi tujiandae na mtikisiko mkuu ndani ya siasa za CCM huko mtaani.

Yatapotukia hayo basi mteule wake atakuwa hana chaguo jingine zaidi ya kumtoa kafala kwa maslahi mapana ya kisiasa kwake.

Ikumbukwe hata Kikwete alilazimika kumtosa rafiki yake Karamagi kwa kulazimishwa na sintofahamu ya kisiasa huko mtaani.

Hata isipokuwa mwaka huu lakini natabiri January hatoboi 2025.
January mnamsakama nyinyi wafuasi wa dikteta magufooli tu, mmejawa chuki na utawala wa mama, na mmechukia msukuma mwenzenu Kalimanii kutolewa Nishati,

Rais Hana Muda wakuwasikiliza nyie wapuuz na mnaoitusi serikali mitandaoni kila uchao
 
Makamba hafai hata kuwa Mtendaji wa Kata, hana aggresiveness ya Kiuongozi wala Kiutawala. Labda akawe Mwenyekiti wa Wavuta Shisha
Basi hile wizara tutampa yule baba yako mlevi wa komoni!
 
January nahisi nyota yake ina giza sana!

Haiwezekani yeye tu kutajwa na hata kusemwa kwa ubaya tuuuu!

Ukiona jamii inayokuzunguka haishi vigenge vya kukusema kwa ubaya tambua kutoboa kwako katika jambo fulani itakuwa vigumu sana.

Ukweli ni kwamba 75% ya Watanzania hawamweli na zaidi hawampendi January ama kwa kukalilishwa ubaya wake ama kwa hila.

Kwa chuki zilizo bayana kwa January kutoka Watanzania wengi hasa masikini wanaoendelea kuaminishwa kwamba jamaa ni mtesi wao basi tujiandae na mtikisiko mkuu ndani ya siasa za CCM huko mtaani.

Yatapotukia hayo basi mteule wake atakuwa hana chaguo jingine zaidi ya kumtoa kafala kwa maslahi mapana ya kisiasa kwake.

Ikumbukwe hata Kikwete alilazimika kumtosa rafiki yake Karamagi kwa kulazimishwa na sintofahamu ya kisiasa huko mtaani.

Hata isipokuwa mwaka huu lakini natabiri January hatoboi 2025.
Kumbuka myi wenye matunda mazuri ndio hupigwa mawe
 
Hakika umenena sahihi.

Viongozi wetu wa Africa wana Shangaza sana. Yaani unampenda mtu hata kama ni boya wewe unayo tuuu. Haya ndo mambo ya mwendaxake Na Sabaya Na Makonda.

Tuache uswshiba wa hasara kwa wananchi Na kama unampenda sana mpe chai anywe nyumbani kwako
Hebu acha kufata mkumbo taja kwa ushahidi ubpya wa januari
 
MAJUNGU NA FITINA.
Lengo la hao wanao fanya kazi ya kumchafua makamba na baadhi ya viongozi wengine ni kuhakikisha kuwa Rais anakosa wasaidizi/watendaji wachapa kazi wabunifu,wafuatiliaji, waaminifu, waadilifu na watiiifu na wazalendo.
Chunguza utaona wale wote wanao jituma kufanya kazi kwa bidii ndio wanao sakamwa kwa maneno ya ovyo......mara makamba mara oohh Mwiguli...
...n.k.........
Mkakati uliopo hivi sasa ni kuwachafua kwa njia yoyote ile kiongozi yeyote yule anaye onekana kutimizi majukumu yake kwa bidii na maarifa......kwa lengo la kuwavunja nguvu na spidi yao ya utendaji.
Kwa kifupi wanataka kumuendesha mama kwa ajenda uchwara ili apoteze focus na kuanza kubadili badili serikali!

Hawana lolote la maana zaidi ya kutaka kumuendesha Mama wa Watu

Uzuri Mama wa Kizanzibar keshawashtukia! Kakaza kweli Kweli😂😂😂
 
Tuwe wazalendo na nchi yetu, maendeleo ya nchi ni muhimu kuliko sarakasi za kutafuta madaraka 2025 na 2030, wizara ya nishati imepwaya mno.

Yale magenge ya wafanyabishara yamerudi, yana dictate business of the day, na yule kijana wenu yupoyupo tu.

Hivi Mh. Kalemani alowakosea nini hadi mkamtoa pale? Ni mtu simple asiye na ndoto kubwa za kushika madaraka makubwa, he was really good at his job!

Ona sasa tulipo, umeme majanga, JNHPP inachechemea, mafuta ndio usiguse, vita ya 'yukrein' my foot.

Turudishieni Chato boy pale, anaiweza mikiki mikiki ya wazara, sio huyo kijana wenu bingwa wa mabao ya mikono.
Huyo chato boy mkampe wizara ya kulinda kaburi labda
 
Kwa kifupi wanataka kumuendesha mama kwa ajenda uchwara ili apoteze focus na kuanza kubadili badili serikali!

Hawana lolote la maana zaidi ya kutaka kumuendesha Mama wa Watu

Uzuri Mama wa Kizanzibar keshawashtukia! Kakaza kweli Kweli[emoji23][emoji23][emoji23]
Yaani wanataka Rais awe na wasaidizi/watendaji wanafiki wenye agenda za siri ili mambo yasiende....thubutu!! sio zama hizi!!
Mama sio mtu wa mchezo mchezo!! kajaaa vilivyo
 
Kikubwa wananchi tuelekezwe hilo SOKO LA DUNIA lilipo tukaemee wenyewe bidhaa maana yawezekana serikali haiwezi kubargain.

Makamba ni baadhi ya matokeo mabaya ya wasomi vijana tulionao anayeamini ni smart kichwani kumbe hana jipya.
That's the problem ya kuamini sana vyeti !!
 
Usichokijua ni kwamba aliwekwa hapo makusud ili aharibu na kwel yametimia.. hyo wizara kama si mwamba inakua mzigo.. ni ngum hyo wizara na ina posho sana na rushwa hyo wizara ila lazima uchafuke.. so bwa mdogo aliwekwa hapo makusud aharib ili asiwe kizingit kwenye mbio na medan za urais nchini.. wamemuweza kwelkwel
Duh ! U-Rais bado ni mbali sana ! Na pia muelewe wapo madeep state wanauangalia mchezo wote na mwisho wa yote haya ni wao ndio watakaompendekeza nani anafaa kuwa Rais ili akapigiwe kura na wananchi !! Mark my word !! Na wala msidhani Hao watu ni wa kutoka gang yeyote mnazozitaja humu !! They are neutral and always will be neutral !!
 
January nahisi nyota yake ina giza sana!

Haiwezekani yeye tu kutajwa na hata kusemwa kwa ubaya tuuuu!

Ukiona jamii inayokuzunguka haishi vigenge vya kukusema kwa ubaya tambua kutoboa kwako katika jambo fulani itakuwa vigumu sana.

Ukweli ni kwamba 75% ya Watanzania hawamweli na zaidi hawampendi January ama kwa kukalilishwa ubaya wake ama kwa hila.

Kwa chuki zilizo bayana kwa January kutoka Watanzania wengi hasa masikini wanaoendelea kuaminishwa kwamba jamaa ni mtesi wao basi tujiandae na mtikisiko mkuu ndani ya siasa za CCM huko mtaani.

Yatapotukia hayo basi mteule wake atakuwa hana chaguo jingine zaidi ya kumtoa kafala kwa maslahi mapana ya kisiasa kwake.

Ikumbukwe hata Kikwete alilazimika kumtosa rafiki yake Karamagi kwa kulazimishwa na sintofahamu ya kisiasa huko mtaani.

Hata isipokuwa mwaka huu lakini natabiri January hatoboi 2025.

Mama acha asupaze shingo huku mtaan watu wamevimba balaa
 
Maisha yana Mambo mengi sana. Makamba na Baba ake ndio wanaokwenda kuroga ili wapate antention ya watu

Sent from my Nokia 1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom