Madibira 1
JF-Expert Member
- Jan 6, 2023
- 358
- 831
Jibu ni ndioJe upo tayari?View attachment 2585835
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jibu ni ndioJe upo tayari?View attachment 2585835
Daaah yaan wee bas tyuuh.Basi sawa Eng
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]HGK kwisha habari yenu
Gk, kh,GhKwenye tangazo hawajawa included so hakuna kazi zao
Huko Nako kumejaa, Mimi niliomba vijijini lakini mpaka Sasa nafasi Moja watu 61 yajuu na yachini 25Dawa ni kuomba vijijini kabisa
Unajuaje izo nafasi mkuu?Huko Nako kumejaa, Mimi niliomba vijijini lakini mpaka Sasa nafasi Moja watu 61 yajuu na yachini 25
akili mtu angu
hahahaaaaNiombe ualimu sasa nikabebe kishkwambi
mshahara Tsh 500,000/= ukoo mzima wanakuja kwako kwanini usiseme unanyonywaMikakati inategemea pakubwa na nafasi uliyonayo muda huo. Usidanganye kijana.
kujifariji hukoKozi za masikini ni
•Afya
•Elimu
•Kilimo
• uvuvi
Hizi utaendeleza umasikini ukooni kwenu
Kozi za wato masikini wenye ndoto za kupata unafuu wa maisha ni
•Mechanical engineering (fani yangu)
•Electrical engineering
•ICT
shida elimu inalenga kuwavusha watu ionekane imefaulisha na sio kuwaandaa watu kuyakabiri maisha yao , Tukirekebisha hapa bas tutaondoa hv vilio vya ajira pia serikali lazima iunde mfumo wa kuwapa mikopo vijana wenye idea ya uwekezajSerikali yatakiwa ijitafakari hili swala la kuajiri watu 21,000 kwa mwaka na wanaohitimu ni zaidi ya 100,000 kwa vyuo vikuu na vya kati, hili swala litaleta shida
Serikali itafute vyanzo vya mapato vipya ili waajiri Walimu, Afya, Kodi
Mf kwa Mwaka huu Darasa la Kwanza ni zaidi ya 1.2mil ila walimu ni wale wale
Aisee hayo ndiyo maisha halisi ya Mtanzania masikini. Mshahara mdogo ila ndugu nao wanamuangalia wote. Umasikini mbaya sana. Na ukicheka nao unakuingiza hata kidole makalioni. Hakuna kucheka na umasikini, unatakiwa kuchukiwa kuliko chochote ukiacha dhambi.mshahara Tsh 500,000/= ukoo mzima wanakuja kwako kwanini usiseme unanyonywa
hahahaaa huwa nawashauri vijana wajitahifi kuepuka kuwa donor country pindi wanapoanza kaz atleast kwa miaka 2 hadi 5 ya kujijenga kwanza usiwe tegemea mshahara tuAisee hayo ndiyo maisha halisi ya Mtanzania masikini. Mshahara mdogo ila ndugu nao wanamuangalia wote. Umasikini mbaya sana. Na ukicheka nao unakuingiza hata kidole makalioni. Hakuna kucheka na umasikini, unatakiwa kuchukiwa kuliko chochote ukiacha dhambi.
Kuna watu kwao umasikini umetaga na mayai kabisa.[emoji34][emoji34][emoji34][emoji34]
Hongeraah umeamua kua MWALIMU wa maisha yako ...Baada ya kuomba mara sita za mwanzo na kukosa niseme tu hakuna namna nitapata wakati huu hivyo kila la kheri kwa mtakao omba, ila kuna ka umasikini fulani hivi tunajiwekea tukikimbilia kwenye ualimu mkijiongeza mtanielewa mi ni mwalimu nisie fundisha sasa
AiseeKataa Ualimu sio ajira , waambie ndugu zenu wakatae ajira hiii
Wasije kuja kulia lia njaa kali baadae