Rais Samia aridhia TAMISEMI kuajiri watumishi 21,200 kada ya Afya na Elimu

Rais Samia aridhia TAMISEMI kuajiri watumishi 21,200 kada ya Afya na Elimu

Sorry naomba kusaidiwa Kuna hatua moja imenipa utata nikiweka mwaka wangu wa kuhitimu inaniletea "undefined" shida inaweza kuwa ni wapi
 
Kozi za masikini ni
•Afya
•Elimu
•Kilimo
• uvuvi
Hizi utaendeleza umasikini ukooni kwenu

Kozi za wato masikini wenye ndoto za kupata unafuu wa maisha ni
•Mechanical engineering (fani yangu)
•Electrical engineering
•ICT
kujifariji huko
 
Serikali yatakiwa ijitafakari hili swala la kuajiri watu 21,000 kwa mwaka na wanaohitimu ni zaidi ya 100,000 kwa vyuo vikuu na vya kati, hili swala litaleta shida

Serikali itafute vyanzo vya mapato vipya ili waajiri Walimu, Afya, Kodi

Mf kwa Mwaka huu Darasa la Kwanza ni zaidi ya 1.2mil ila walimu ni wale wale
shida elimu inalenga kuwavusha watu ionekane imefaulisha na sio kuwaandaa watu kuyakabiri maisha yao , Tukirekebisha hapa bas tutaondoa hv vilio vya ajira pia serikali lazima iunde mfumo wa kuwapa mikopo vijana wenye idea ya uwekezaj
 
Tuendelee kupitia mabadiliko ya kukosajili..

Japo uhalisia sehemu ya kuandika namba ya form 4 haipo
IMG_20230413_080518.jpg
 
mshahara Tsh 500,000/= ukoo mzima wanakuja kwako kwanini usiseme unanyonywa
Aisee hayo ndiyo maisha halisi ya Mtanzania masikini. Mshahara mdogo ila ndugu nao wanamuangalia wote. Umasikini mbaya sana. Na ukicheka nao unakuingiza hata kidole makalioni. Hakuna kucheka na umasikini, unatakiwa kuchukiwa kuliko chochote ukiacha dhambi.
Kuna watu kwao umasikini umetaga na mayai kabisa.[emoji34][emoji34][emoji34][emoji34]
 
Aisee hayo ndiyo maisha halisi ya Mtanzania masikini. Mshahara mdogo ila ndugu nao wanamuangalia wote. Umasikini mbaya sana. Na ukicheka nao unakuingiza hata kidole makalioni. Hakuna kucheka na umasikini, unatakiwa kuchukiwa kuliko chochote ukiacha dhambi.
Kuna watu kwao umasikini umetaga na mayai kabisa.[emoji34][emoji34][emoji34][emoji34]
hahahaaa huwa nawashauri vijana wajitahifi kuepuka kuwa donor country pindi wanapoanza kaz atleast kwa miaka 2 hadi 5 ya kujijenga kwanza usiwe tegemea mshahara tu
 
Baada ya kuomba mara sita za mwanzo na kukosa niseme tu hakuna namna nitapata wakati huu hivyo kila la kheri kwa mtakao omba, ila kuna ka umasikini fulani hivi tunajiwekea tukikimbilia kwenye ualimu mkijiongeza mtanielewa mi ni mwalimu nisie fundisha sasa
Hongeraah umeamua kua MWALIMU wa maisha yako ...
 
Serikali iajiri walimu kwa kuzingatia miaka waliyohitimu haingii akilini anaajiriwa mhitimu wa 2020 au 2021 anaachwa wa 2016 malizeni wa mwaka mmoja ndipo mhamie wa mwaka unaofuata.Pia serikali isidanganyike na porojo za eti kuna walimu wako mashuleni wanajitolea hakuna kitu kama hicho . Ninachokiona tangu leo asubuhi ni wahitimu kuandaa chochote na kuongea na wakuu wa shule walimu wakuu kuwaandalia documents za kwamba walikuwa wanajitolea

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom