Madibira 1
JF-Expert Member
- Jan 6, 2023
- 358
- 831
Alishapata kitambo ila anapambana kuachaMpwayungu Village njoo huko uombe ajira za ualimu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alishapata kitambo ila anapambana kuachaMpwayungu Village njoo huko uombe ajira za ualimu
Siku hizi unatupwa popoteUkiingia na taarifa za sekondari unapelekwa automatic huko hata Kama ulipenda kwenda msingi
Asiache kiboya bila kupata pa kwendaAlishapata kitambo ila anapambana kuacha
Kwa Hali ilivyo kikubwa ajira masuala ya msingi au sekondari yatajisumbikia mbeleniSiku hizi unatupwa popote
Kuna walimu wa Sekondari waliajiriwa awamu iliyopita walipelekwa msingi
Kuacha anaogopa ndiomaana anapambana Kama kuwatukana walimu Ili wakiboreshewa maslahi nae anufaike.Asiache kiboya bila kupata pa kwenda
Ualimu au Udaktari haukupi utajiri,ila upambanaji wako tuYaa usome kozi ambazo zitaendelea kukudidimiza kwenye umasikini?
Kikubwa unaanza na TGTS D1Kwa Hali ilivyo kikubwa ajira masuala ya msingi au sekondari yatajisumbikia mbeleni
Ushauri mzuriWatanzania hasa mtoto wa masikini Soma ualimu na Afya, kilimo na uvuvi tofauti na hapo uwe na connection
Siasa ni akiliAjira Zimekuja Kuelekea Mei Mosi
Tutabeba Mabango Kumpongeza Sana, Na Wasiotaka Watupishe
Baadaye Tunanung'unika Tena Hatujui Tunataka Nini
Naomba linkKa shule za sekondari nafasi ni Moja Moja tu, na mpaka Sasa nilikoomba Mimi tayari nafsi Moja tupo watu 30 ya chini ni 15. Mpaka tarehe 25 huenda nafasi Moja ikawa watu 80/90
Hzo nafasi. Zisikuchanganye azinaga hualisia autoamini macho yako somo uliloomba kwenye shule x ajapelekwa hata mmoja Mungu tu ombaKa shule za sekondari nafasi ni Moja Moja tu, na mpaka Sasa nilikoomba Mimi tayari nafsi Moja tupo watu 30 ya chini ni 15. Mpaka tarehe 25 huenda nafasi Moja ikawa watu 80/90
Anaanzia wapDuh kama kweli vile, sijawahi kumuona nesi anaendesha Discovery 2,3,4,5,au Prado
NdioNaandika huku nacheka [emoji28][emoji28]Aise watu bhana kwan kufanikiwa ni kuendesha magari ya gharama
SawaNaombeni ushauri wenu wadau au kama Kuna member mwenye tatzo kama langu anisaidie mawazo. Mimi nimehitimu Diploma in secondary education mwaka 2015, nilikua nikisoma masomo ya Sanaa yaani Historia Kiswahili na English. Nimekua nikiomba kazi Kila serikali ilipotoa tangazo la kazi lakin sijawahi kupata, mbaya zaidi kipengele Cha diploma in secondary education hakimo kwenye mfumo wa maombi japo nimekuwa nkijishusha kuomba ngazi ya primary..Sasa sijui tatizo ni gani wakati Nina ufaulu mzuri wa GPA ya 3.8 na Nina uwezo mkubwa wa kufundisha secondary..naomba kama Mh rais alivyosema kuwa anapitia humu ajaribu kutuonea huruma sisi wahitimu wa 2015 tupewe kipaumbele.
Ni kweli mwalimuKama hao waalimu na madaktari wangekua hawapo usingesoma hiyo mechanical engineering yako
Kuwa na heshima na kada za watu
SawaKuna binti sikumbuki jina lake alipost humu uzi kakata tamaa ana shahada ya madawa sijui kitu gani.
Alienda mpaka kozi akiwa anajua kaishaula, kisha wakapimwa mara ya pili akaambiwa hayupo fiti, biashara zote alikuwa kafunga.
Kama kuna mtu anamkumbuka amtag tafadhali.
NGO ipi nduguNamshukuru Mungu nimeajiriwa na Ngo na maisha yanaenda sasa, mshahara wa huko ni mdogo saana japo nilikua na upigania ila kuna kaumasikini huko kwa walimu, ngo niliyopo inahusiana na maswala ya elimu napita huko vijijini naona
GoodNyingine zinakuja