Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndugu niliomba saana tu mwisho nikabahatika, sikushikwa mkono na mtu nilifanya interviews zangu vizuri tuu nadhaniNapataje kazi za NGO aisee life gumu sana
Katume wewe huwa wanasahau baadhi ya vipengele lakini system inaruhusuSasa HGk wapi jamani?
Zamani sanaHivi kwani mfumo wa maombi ushafunguliwa rasmi?
Update informationjedwali linajieleza lenyewe
Kuhuisha maana yake nini?
Karibu kupambana mkuu.Aisee dah
Kwenye mfumo hayo masomo yapo ngoja nkupe kisa kimoja nafikir mwaka jana kama kumbukumbu zangu zipo sawa hile barua ilitaka wale wasanifu mahabara waombe kazi lakini ukija kwenye mfumo aukuwakubali tulipiga simu tamisemi kuomba ufafanuzi wakasema usiangalie barua inasemaje angalia mfumo upoje so nakushauri ndugu no retreat no surrender log in kea mfumo omba kazi history hipo geog hipo ingia acha kupani omba nduguSas hata akiingia kwny mfumo masomo aliyosomea hayupo au we huelew ndgu? W2 tushapanik tyr wew unasema nin tna
Ingia kwenye mfumo achana na barua geo hipo hist hipoHGK ðŸ˜ðŸ˜ðŸ˜
Zipo Ila nyingi ni shule za msingiIngia kwenye mfumo achana na barua geo hipo hist hipo
Cha msingi ajira ndugu au unataka secondary kama secondary Subiri za mdah mwingine uwenda wakaweka hyoZipo Ila nyingi ni shule za msingi
Ka shule za sekondari nafasi ni Moja Moja tu, na mpaka Sasa nilikoomba Mimi tayari nafsi Moja tupo watu 30 ya chini ni 15. Mpaka tarehe 25 huenda nafasi Moja ikawa watu 80/90Zipo Ila nyingi ni shule za msingi
Mimi nimeingia masomo yangu history na kiswahili yapo na nafasi zipoKwenye mfumo hayo masomo yapo ngoja nkupe kisa kimoja nafikir mwaka jana kama kumbukumbu zangu zipo sawa hile barua ilitaka wale wasanifu mahabara waombe kazi lakini ukija kwenye mfumo aukuwakubali tulipiga simu tamisemi kuomba ufafanuzi wakasema usiangalie barua inasemaje angalia mfumo upoje so nakushauri ndugu no retreat no surrender log in kea mfumo omba kazi history hipo geog hipo ingia acha kupani omba ndugu
Ukiingia na taarifa za sekondari unapelekwa automatic huko hata Kama ulipenda kwenda msingiCha msingi ajira ndugu au unataka secondary kama secondary Subiri za mdah mwingine uwenda wakaweka hyo
Mpwayungu Village njoo huko uombe ajira za ualimuTAMISEMI yatangaza ajira 21000 afya na elimu 2023
======
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan ameridhia kibali cha kuajiri watumishi 21,200 wa Kada za Ualimu na Afya.
Idadi ya Watumishi watakaoajiriwa katika Kada za Ualimu ni 13,130 ambao watafundisha katika shule za Msingi na Sekondari.
Aidha idadi ya watumishi watakaoajiriwa katika kada za Afya ni 8,070 ambao watafanya kazi katika Hospitali za Halmashauro, Vituo vya Afya na Zahanati.
Nilimwandikia hvo kumpa jibu jepesi tu hla shule za secondary zipo tena nyingi tu akitaka nitamuwekea hapa orodha yakeUkiingia na taarifa za sekondari unapelekwa automatic huko hata Kama ulipenda kwenda msingi
Usisahau kumshitua na Mpwayungu VillageNiombe ualimu sasa nikabebe kishkwambi
Upo sahii ni kweliMimi nimeingia masomo yangu history na kiswahili yapo na nafasi zipo