Rais Samia aridhia TAMISEMI kuajiri watumishi 21,200 kada ya Afya na Elimu

Rais Samia aridhia TAMISEMI kuajiri watumishi 21,200 kada ya Afya na Elimu

Ajira Zimekuja Kuelekea Mei Mosi
Tutabeba Mabango Kumpongeza Sana, Na Wasiotaka Watupishe
Baadaye Tunanung'unika Tena Hatujui Tunataka Nini
 
Sas hata akiingia kwny mfumo masomo aliyosomea hayupo au we huelew ndgu? W2 tushapanik tyr wew unasema nin tna
Kwenye mfumo hayo masomo yapo ngoja nkupe kisa kimoja nafikir mwaka jana kama kumbukumbu zangu zipo sawa hile barua ilitaka wale wasanifu mahabara waombe kazi lakini ukija kwenye mfumo aukuwakubali tulipiga simu tamisemi kuomba ufafanuzi wakasema usiangalie barua inasemaje angalia mfumo upoje so nakushauri ndugu no retreat no surrender log in kea mfumo omba kazi history hipo geog hipo ingia acha kupani omba ndugu
 
Kwenye mfumo hayo masomo yapo ngoja nkupe kisa kimoja nafikir mwaka jana kama kumbukumbu zangu zipo sawa hile barua ilitaka wale wasanifu mahabara waombe kazi lakini ukija kwenye mfumo aukuwakubali tulipiga simu tamisemi kuomba ufafanuzi wakasema usiangalie barua inasemaje angalia mfumo upoje so nakushauri ndugu no retreat no surrender log in kea mfumo omba kazi history hipo geog hipo ingia acha kupani omba ndugu
Mimi nimeingia masomo yangu history na kiswahili yapo na nafasi zipo
 
TAMISEMI yatangaza ajira 21000 afya na elimu 2023

======


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan ameridhia kibali cha kuajiri watumishi 21,200 wa Kada za Ualimu na Afya.

Idadi ya Watumishi watakaoajiriwa katika Kada za Ualimu ni 13,130 ambao watafundisha katika shule za Msingi na Sekondari.

Aidha idadi ya watumishi watakaoajiriwa katika kada za Afya ni 8,070 ambao watafanya kazi katika Hospitali za Halmashauro, Vituo vya Afya na Zahanati.
Mpwayungu Village njoo huko uombe ajira za ualimu
 
Back
Top Bottom