Naombeni ushauri wenu wadau au kama Kuna member mwenye tatzo kama langu anisaidie mawazo. Mimi nimehitimu Diploma in secondary education mwaka 2015, nilikua nikisoma masomo ya Sanaa yaani Historia Kiswahili na English.
Nimekua nikiomba kazi Kila serikali ilipotoa tangazo la kazi lakin sijawahi kupata, mbaya zaidi kipengele Cha diploma in secondary education hakimo kwenye mfumo wa maombi japo nimekuwa nkijishusha kuomba ngazi ya primary.
Sasa sijui tatizo ni gani wakati Nina ufaulu mzuri wa GPA ya 3.8 na Nina uwezo mkubwa wa kufundisha secondary.
Naomba kama Mh rais alivyosema kuwa anapitia humu ajaribu kutuonea huruma sisi wahitimu wa 2015 tupewe kipaumbele.
Nimekua nikiomba kazi Kila serikali ilipotoa tangazo la kazi lakin sijawahi kupata, mbaya zaidi kipengele Cha diploma in secondary education hakimo kwenye mfumo wa maombi japo nimekuwa nkijishusha kuomba ngazi ya primary.
Sasa sijui tatizo ni gani wakati Nina ufaulu mzuri wa GPA ya 3.8 na Nina uwezo mkubwa wa kufundisha secondary.
Naomba kama Mh rais alivyosema kuwa anapitia humu ajaribu kutuonea huruma sisi wahitimu wa 2015 tupewe kipaumbele.