Madibira 1
JF-Expert Member
- Jan 6, 2023
- 358
- 831
Leo Leo unaanza mkuuHii inamaanisha tunaweza anza kuapply leo si ndiyo. Au tunasubiri tamko lingine
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Leo Leo unaanza mkuuHii inamaanisha tunaweza anza kuapply leo si ndiyo. Au tunasubiri tamko lingine
Ingia kwenye mfumo tuma maombi mengine achana nayoWakuu ni mm sijaelewa au akili isha stack?
Ina maana waalimu wa arts hawaitajiki? Yani wale HGK, HKL
NIELEKEZENI KIPENGERE HIKI
SIJAELEWA
Kipengele cha 1.2 kipengere kidogo cha (iii) waalimu daraja la iii c wenye shahada ya ualimu wa Awali au Shule ya msingi
View attachment 2585435
Sasa HGk wapi jamani?TAMISEMI yatangaza ajira 21000 afya na elimu 2023
======
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan ameridhia kibali cha kuajiri watumishi 21,200 wa Kada za Ualimu na Afya.
Idadi ya Watumishi watakaoajiriwa katika Kada za Ualimu ni 13,130 ambao watafundisha katika shule za Msingi na Sekondari.
Aidha idadi ya watumishi watakaoajiriwa katika kada za Afya ni 8,070 ambao watafanya kazi katika Hospitali za Halmashauro, Vituo vya Afya na Zahanati.
Unamasihara wewe.sehemu watu wanapata pesa ni madini ikifuatiwa na kilimo na uvuviKozi za masikini ni
•Afya
•Elimu
•Kilimo
• uvuvi
Hizi utaendeleza umasikini ukooni kwenu
Kozi za wato masikini wenye ndoto za kupata unafuu wa maisha ni
•Mechanical engineering (fani yangu)
•Electrical engineering
•ICT
Hii ni rahisi Kwa ajira mpya. Waliosaini mikataba kisheria sio rahisi.. serikali italazimika kufwata sheria ya kuvyunja mkataba. Ambapo haina uwezo huo.Ili kukabiliana na tatizo la ajira, serikali yapaswa ajiri angalau watu 50,000 kila mwaka.
Na ibadilishe mfumo wa ajira kutoka kuwa wa kudumu hadi wa mkataba maana kuna watu wanaridhika sana
Mkuu omba Kwa kuwa kuomba ni Bure ,Omba mtangulize Mungu,huwezi Jua Awamu hii.Baada ya kuomba mara sita za mwanzo na kukosa niseme tu hakuna namna nitapata wakati huu hivyo kila la kheri kwa mtakao omba, ila kuna ka umasikini fulani hivi tunajiwekea tukikimbilia kwenye ualimu mkijiongeza mtanielewa mi ni mwalimu nisie fundisha sasa
Uwe na adabu kidogo..watu wamesoma miaka 5 + na wanakula hela za maana we unadhani ni uhandisi tu ndio unahelaKozi za masikini ni
•Afya
•Elimu
•Kilimo
• uvuvi
Hizi utaendeleza umasikini ukooni kwenu
Kozi za wato masikini wenye ndoto za kupata unafuu wa maisha ni
•Mechanical engineering (fani yangu)
•Electrical engineering
•ICT
Usiwe na makasiriko kijana, tuliaa tu ajira inakuja na utaajiriwa kama utakidhi vigezo na mashartIli kukabiliana na tatizo la ajira, serikali yapaswa ajiri angalau watu 50,000 kila mwaka.
Na ibadilishe mfumo wa ajira kutoka kuwa wa kudumu hadi wa mkataba maana kuna watu wanaridhika sana
Sas hata akiingia kwny mfumo masomo aliyosomea hayupo au we huelew ndgu? W2 tushapanik tyr wew unasema nin tnaIngia kwenye mfumo tuma maombi mengine achana nayo
asante sanaKuhisha maana yake ku update taarifa
Si wanasiasa wmeambiwa mkajiajiri?Tuliosoma course zingine inakuaje sasa??
We unataka ngapi broo?[emoji16]Hazitoshi kabisa izo
Sasa Kama wajaweka masomo hayo ya HGKIngia kwenye mfumo tuma maombi mengine achana nayo
Huyo wa Necta atakuibia desa la QTHivi mtu wa NECTA hawezi kunifanyia connection huko TAMISEMI nimfanyie mipango Rafiki yangu majani ?
Maana Nina nina ndugu NECTA
Namshukuru Mungu nimeajiriwa na Ngo na maisha yanaenda sasa, mshahara wa huko ni mdogo saana japo nilikua na upigania ila kuna kaumasikini huko kwa walimu, ngo niliyopo inahusiana na maswala ya elimu napita huko vijijini naonaPole omba mwaka huu utanikumbuKa mungu akatende miracle juu yako amen
Namshukuru Mungu nimeajiriwa na Ngo na maisha yanaenda sasa, mshahara wa huko ni mdogo saana japo nilikua na upigania ila kuna kaumasikini huko kwa walimu, ngo niliyopo inahusiana na maswala ya elimu napita huko vijijini naonaMkuu omba,
Mkuu omba Kwa kuwa kuomba ni Bure ,Omba mtangulize Mungu,huwezi Jua Awamu hii.
Nakuomba sana sana Uombe kaka
Namshukuru Mungu nimeajiriwa na Ngo na maisha yanaenda sasa, mshahara wa huko ni mdogo saana japo nilikua na upigania ila kuna kaumasikini huko kwa walimu, ngo niliyopo inahusiana na maswala ya elimu napita huko vijijini naona