Rais Samia aridhia TAMISEMI kuajiri watumishi 21,200 kada ya Afya na Elimu

Rais Samia aridhia TAMISEMI kuajiri watumishi 21,200 kada ya Afya na Elimu

Wakuu ni mm sijaelewa au akili isha stack?


Ina maana waalimu wa arts hawaitajiki? Yani wale HGK, HKL

NIELEKEZENI KIPENGERE HIKI
SIJAELEWA

Kipengele cha 1.2 kipengere kidogo cha (iii) waalimu daraja la iii c wenye shahada ya ualimu wa Awali au Shule ya msingi
Screenshot_20230412-162920.png
 
TAMISEMI yatangaza ajira 21000 afya na elimu 2023

======


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan ameridhia kibali cha kuajiri watumishi 21,200 wa Kada za Ualimu na Afya.

Idadi ya Watumishi watakaoajiriwa katika Kada za Ualimu ni 13,130 ambao watafundisha katika shule za Msingi na Sekondari.

Aidha idadi ya watumishi watakaoajiriwa katika kada za Afya ni 8,070 ambao watafanya kazi katika Hospitali za Halmashauro, Vituo vya Afya na Zahanati.
Sasa HGk wapi jamani?
 
Kozi za masikini ni
•Afya
•Elimu
•Kilimo
• uvuvi
Hizi utaendeleza umasikini ukooni kwenu

Kozi za wato masikini wenye ndoto za kupata unafuu wa maisha ni
•Mechanical engineering (fani yangu)
•Electrical engineering
•ICT
Unamasihara wewe.sehemu watu wanapata pesa ni madini ikifuatiwa na kilimo na uvuvi
 
Ili kukabiliana na tatizo la ajira, serikali yapaswa ajiri angalau watu 50,000 kila mwaka.

Na ibadilishe mfumo wa ajira kutoka kuwa wa kudumu hadi wa mkataba maana kuna watu wanaridhika sana
Hii ni rahisi Kwa ajira mpya. Waliosaini mikataba kisheria sio rahisi.. serikali italazimika kufwata sheria ya kuvyunja mkataba. Ambapo haina uwezo huo.


Ukitaka kuongelew jambo jipya zzlungumzia new hire
 
Mkuu omba,
Baada ya kuomba mara sita za mwanzo na kukosa niseme tu hakuna namna nitapata wakati huu hivyo kila la kheri kwa mtakao omba, ila kuna ka umasikini fulani hivi tunajiwekea tukikimbilia kwenye ualimu mkijiongeza mtanielewa mi ni mwalimu nisie fundisha sasa
Mkuu omba Kwa kuwa kuomba ni Bure ,Omba mtangulize Mungu,huwezi Jua Awamu hii.
Nakuomba sana sana Uombe kaka
 
Kozi za masikini ni
•Afya
•Elimu
•Kilimo
• uvuvi
Hizi utaendeleza umasikini ukooni kwenu

Kozi za wato masikini wenye ndoto za kupata unafuu wa maisha ni
•Mechanical engineering (fani yangu)
•Electrical engineering
•ICT
Uwe na adabu kidogo..watu wamesoma miaka 5 + na wanakula hela za maana we unadhani ni uhandisi tu ndio unahela

Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
 
Ili kukabiliana na tatizo la ajira, serikali yapaswa ajiri angalau watu 50,000 kila mwaka.

Na ibadilishe mfumo wa ajira kutoka kuwa wa kudumu hadi wa mkataba maana kuna watu wanaridhika sana
Usiwe na makasiriko kijana, tuliaa tu ajira inakuja na utaajiriwa kama utakidhi vigezo na mashart

Tatizo ukisha ajiriwa kwa mkataba, mkataba ukiisha we ndio utakwenda kuroga ili uajiriwe milele.
 
Pole omba mwaka huu utanikumbuKa mungu akatende miracle juu yako amen
Namshukuru Mungu nimeajiriwa na Ngo na maisha yanaenda sasa, mshahara wa huko ni mdogo saana japo nilikua na upigania ila kuna kaumasikini huko kwa walimu, ngo niliyopo inahusiana na maswala ya elimu napita huko vijijini naona
 
Mkuu omba,
Mkuu omba Kwa kuwa kuomba ni Bure ,Omba mtangulize Mungu,huwezi Jua Awamu hii.
Nakuomba sana sana Uombe kaka
Namshukuru Mungu nimeajiriwa na Ngo na maisha yanaenda sasa, mshahara wa huko ni mdogo saana japo nilikua na upigania ila kuna kaumasikini huko kwa walimu, ngo niliyopo inahusiana na maswala ya elimu napita huko vijijini naona
 
Napataje kazi za NGO aisee life gumu sana
Namshukuru Mungu nimeajiriwa na Ngo na maisha yanaenda sasa, mshahara wa huko ni mdogo saana japo nilikua na upigania ila kuna kaumasikini huko kwa walimu, ngo niliyopo inahusiana na maswala ya elimu napita huko vijijini naona
 
Back
Top Bottom