Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Basi sawa Eng[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hata cheti sina, naombaje sasa ajira?
Na hata hivyo, taaluma yangu haiko ktk ajira hizo, hvyo niko nje automatically
Mkuu Tanzania population inaongezeka kwa kasi Sana hata wangetoa ajira laki moja bado tatizo litaendelea ku-existMaana haiingii akilini unatoa ajira 13,000 za walimu wakati kuna ongezeko la wanafunzi 300,000 darasa la Kwanza
Ongezeko la wanafunzi laki 2 Form 1
Patakuwa na ongezeko la wanafunzi 60000 Form 5
Serikali yatakiwa iangalie upya ukuaji wa miji, watu, miundombinu vinginevyo tutatengeneza tatizo kubwa sana huko mbeleni ambapo wao hawatakuwepo
We kataa peke yakoKataa Ualimu sio ajira , waambie ndugu zenu wakatae ajira hiii
Wasije kuja kulia lia njaa kali baadae
Sio lazima mkuu.....Watanzania hasa mtoto wa masikini Soma ualimu na Afya, kilimo na uvuvi tofauti na hapo uwe na connection
Hii naiunga mkono na wale wapewao huduma ndio waamue kuwa mtu wao waendelee naye ama apishe. Nawaza na ubunge ingekuwa mpaka unastaafu.mfumo wa ajira kutoka kuwa wa kudumu hadi wa mkataba maana kuna watu wanaridhika sana
Nadhani Tanzania hatujafika huko bado ,kwanza Mimi naona swala la Ajira liendelee kwa mtindo na Serikali itengeneze fursa katika sekta mbalimbali , kuanza kuona Ajira ya ualimu au u nurse ni Jambo la muhimu sababu kuu nikutokana na watu kuwa hawana mbadla wa AjiraHii naiunga mkono na wale wapewao huduma ndio waamue kuwa mtu wao waendelee naye ama apishe. Nawaza na ubunge ingekuwa mpaka unastaafu.
Yaani iwepo website ambayo watu wanatoa ya kwao ya moyoni kuwa mie fulani ana hudumia sivyo
Ayaaa mkuu subr nishushe bonetiWe kataa peke yako
Acha vijana waking hiyo laki tano Mtaani sio powahAyaaa mkuu subr nishushe bonetiView attachment 2585307
Pole omba mwaka huu utanikumbuKa mungu akatende miracle juu yako amenBaada ya kuomba mara sita za mwanzo na kukosa niseme tu hakuna namna nitapata wakati huu hivyo kila la kheri kwa mtakao omba, ila kuna ka umasikini fulani hivi tunajiwekea tukikimbilia kwenye ualimu mkijiongeza mtanielewa mi ni mwalimu nisie fundisha sasa
Bado tuko wachache twatakiwa tuongezeke zaidi tufike angalau milioni 80 kabla ya 2030Mkuu Tanzania population inaongezeka kwa kasi Sana hata wangetoa ajira laki moja bado tatizo litaendelea ku-exist
Me nliomba mwaka jana,sas hapa tunatumia taarifa za mwaka jana kuingia kwny mfumo au naanza upya kujisajir? Msaad tafadhali anaejuaView attachment 2585275
Sio kweli, ambao waliomba huko nyuma taarifa zao zipo wanachofanya ni kuhuisha tu ambapo ni kuweka barua mpya, kuchagua machaguo n.k basi
Sawa mdah mwalimu mzuriSio kweli, ambao waliomba huko nyuma taarifa zao zipo wanachofanya ni kuhuisha tu ambapo ni kuweka barua mpya, kuchagua machaguo n.k basi
Ahsnt kakaSubiria Kila kitu kitafutwa unaanza upya hyo uliyofungua ni portal ya mwaka jana itaboreshwa hvi punde kuwa na subra utajisajiri upya tena
Kivip mkuu...HGK kwisha habari yenu