Eng. Zezudu
JF-Expert Member
- Aug 23, 2012
- 8,024
- 11,546
Hazitoshi kabisa izo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Turuke nazo hvyo hvyoHazitoshi kabisa izo
Maana kwa udahili huu kuanzia 2030 vyuo vitaanza tema zaidi ya wanafunzi 500,000 kwa mwakaHopely your genius
Bajeti kk, hilo lilipaswa kufanywa kwa mchakato wa kidogo kidogo tangu wakati wa MAGUFULIIli kukabiliana na tatizo la ajira, serikali yapaswa ajiri angalau watu 50,000 kila mwaka.
Na ibadilishe mfumo wa ajira kutoka kuwa wa kudumu hadi wa mkataba maana kuna watu wanaridhika sana
😂😂 Msoto mkuuUna moto subiri maelekezo chief...
Kwani haukulijua hili kwabla hujasoma hio kozi nyengineTuliosoma course zingine inakuaje sasa??
Acha kuwatisha watu. Mbona hao watoto wasio wa masikini pia wanasoma afya na walimu pia wapo?Watanzania hasa mtoto wa masikini Soma ualimu na Afya, kilimo na uvuvi tofauti na hapo uwe na connection
Kijana hana akili timamuYaa usome kozi ambazo zitaendelea kukudidimiza kwenye umasikini?
Mikakati inategemea pakubwa na nafasi uliyonayo muda huo. Usidanganye kijana.Umasikini ni fikra zako tu
Wewe unawaza pesa bila mikakati?
Kozi za masikini niTuliosoma course zingine inakuaje sasa??
unamawazo ya kimasukini jamaa etuKozi za masikini ni
•Afya
•Elimu
•Kilimo
• uvuvi
Hizi utaendeleza umasikini ukooni kwenu
Kozi za wato masikini wenye ndoto za kupata unafuu wa maisha ni
•Mechanical engineering (fani yangu)
•Electrical engineering
•ICT
Serikali yatakiwa ijitafakari hili swala la kuajiri watu 21,000 kwa mwaka na wanaohitimu ni zaidi ya 100,000 kwa vyuo vikuu na vya kati, hili swala litaleta shidaBajeti kk, hilo lilipaswa kufanywa kwa mchakato wa kidogo kidogo tangu wakati wa MAGUFULI
Mkuu usinisahau katika ufalme wako ili nami nilambe asali....[emoji143]Kozi za masikini ni
•Afya
•Elimu
•Kilimo
• uvuvi
Hizi utaendeleza umasikini ukooni kwenu
Kozi za wato masikini wenye ndoto za kupata unafuu wa maisha ni
•Mechanical engineering (fani yangu)
•Electrical engineering
•ICT
Mm nikipata tu naoa mwalimu mwenzangu😂😂 Msoto mkuu
Tupe kozi za matajiri sasaKozi za masikini ni
•Afya
•Elimu
•Kilimo
• uvuvi
Hizi utaendeleza umasikini ukooni kwenu
Kozi za wato masikini wenye ndoto za kupata unafuu wa maisha ni
•Mechanical engineering (fani yangu)
•Electrical engineering
•ICT
Siasa