spidernyoka
JF-Expert Member
- Jan 2, 2020
- 7,557
- 20,477
Mungu awasaidie wasaka tonge
Hapo kwenye ualimu walivo wengi atakufa shoga
Hapo kwenye ualimu walivo wengi atakufa shoga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mungu tenda kitu mwaka huu nipate. Aise kitaa hakiko poaTAMISEMI yatangaza ajira 21000 afya na elimu 2023
======
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ameridhia kibali cha kuajiri watumishi 21,200 wa Kada za Ualimu na Afya.
Idadi ya Watumishi watakaoajiriwa katika Kada za Ualimu ni 13,130 ambao watafundisha katika shule za Msingi na Sekondari.
Aidha idadi ya watumishi watakaoajiriwa katika kada za Afya ni 8,070 ambao watafanya kazi katika Hospitali za Halmashauro, Vituo vya Afya na Zahanati.
Huyo awezi kukuibia ata pencel pale tamisemi achana nae utamsumbua tuHivi mtu wa NECTA hawezi kunifanyia connection huko TAMISEMI nimfanyie mipango Rafiki yangu majani ?
Maana Nina nina ndugu NECTA
Wanaridhika sanaa nanukuu 😄🤓Ili kukabiliana na tatizo la ajira, serikali yapaswa ajiri angalau watu 50,000 kila mwaka.
Na ibadilishe mfumo wa ajira kutoka kuwa wa kudumu hadi wa mkataba maana kuna watu wanaridhika sana
Et atakufa shoga.ni kwel nakumbuka enzi za JK alikuwa anajiri walimu elf 30.saiv elf 21 walimu na afya..Mungu awasaidie wasaka tonge
Hapo kwenye ualimu walivo wengi atakufa shoga
Atakufa nani?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mungu awasaidie wasaka tonge
Hapo kwenye ualimu walivo wengi atakufa shoga
Sasa kusomea ualimu ni mikakati?Umasikini ni fikra zako tu
Wewe unawaza pesa bila mikakati?
Dah! JauHii inamaanisha tunaweza anza kuapply leo si ndiyo. Au tunasubiri tamko lingine
Atakufa shoga hapoAtakufa nani?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Una vituko sanaa.Atakufa shoga hapo
Sasa mbona uko mjinga?Kozi za masikini ni
•Afya
•Elimu
•Kilimo
• uvuvi
Hizi utaendeleza umasikini ukooni kwenu
Kozi za wato masikini wenye ndoto za kupata unafuu wa maisha ni
•Mechanical engineering (fani yangu)
•Electrical engineering
•ICT
Fani zote ni laki moja sawa ila hii ni afya na ualimu tuSerikali yatakiwa ijitafakari hili swala la kuajiri watu 21,000 kwa mwaka na wanaohitimu ni zaidi ya 100,000 kwa vyuo vikuu na vya kati, hili swala litaleta shida
Serikali itafute vyanzo vya mapato vipya ili waajiri Walimu, Afya, Kodi
Mf kwa Mwaka huu Darasa la Kwanza ni zaidi ya 1.2mil ila walimu ni wale wale
25 mwezi huuPDF ya ajira mbona haionekani kuonesha deadline ya application na requirements zingine
Ni msemo tu ukimansha mbombo ngkafu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Una vituko sanaa.
Leo tar 12.Maombi lini yanaanza
Basi sawaaahNi msemo tu ukimansha mbombo ngkafu