Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
alooohh hyaa maambo n Mungu tuu atafanikisha kiurahisiiHapa ndio utaamini uchawi upoo, kuanzia leoo utaona
Access denied...
404 forbidden...
No network.....
Please wait....
Network error....
Mara cheti ukikitafta kwenye documents hukioni nakati kila siku ulikua unapitana nacho...
Simu kuisha charge haraka, umeme kukata...
We ajira za kimaskini si hutaki unataka ufanye kazi hotel za kitalii😁Basi sawaaah
Hapo umenena. Penye nia ipo njia. Niishie hapo. Kama nia ingekuwepo njia ingekuwepo.Serikali yatakiwa ijitafakari hili swala la kuajiri watu 21,000 kwa mwaka na wanaohitimu ni zaidi ya 100,000 kwa vyuo vikuu na vya kati, hili swala litaleta shida
Serikali itafute vyanzo vya mapato vipya ili waajiri Walimu, Afya, Kodi
Mf kwa Mwaka huu Darasa la Kwanza ni zaidi ya 1.2mil ila walimu ni wale wale
Mpaka sasa hakuna tangazo rasmi lenye kutoa maelekezo vizuri ya namna ya kuomba, vigezo, mahitaji, n.kTAMISEMI yatangaza ajira 21000 afya na elimu 2023
======
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ameridhia kibali cha kuajiri watumishi 21,200 wa Kada za Ualimu na Afya.
Idadi ya Watumishi watakaoajiriwa katika Kada za Ualimu ni 13,130 ambao watafundisha katika shule za Msingi na Sekondari.
Aidha idadi ya watumishi watakaoajiriwa katika kada za Afya ni 8,070 ambao watafanya kazi katika Hospitali za Halmashauro, Vituo vya Afya na Zahanati.
Mkuu huoni aibu, hiyo ni 2020Upo nchi gani kwaiView attachment 2585265
😜😜😜😜 haya ni matumizi mabaya ya mtandaoUpo nchi gani kwaiView attachment 2585265
Kuna haja ya vyeti kugongwamihuri
Mihuri ya hakimu inahitajika?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hapa ndio utaamini uchawi upoo, kuanzia leoo utaona
Access denied...
404 forbidden...
No network.....
Please wait....
Network error....
Mara cheti ukikitafta kwenye documents hukioni nakati kila siku ulikua unapitana nacho...
Simu kuisha charge haraka, umeme kukata...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]We ajira za kimaskini si hutaki unataka ufanye kazi hotel za kitalii[emoji16]
Maana haiingii akilini unatoa ajira 13,000 za walimu wakati kuna ongezeko la wanafunzi 300,000 darasa la KwanzaHapo umenena. Penye nia ipo njia. Niishie hapo. Kama nia ingekuwepo njia ingekuwepo.
mliofanya aptitude tupen mrejeshoHapa ndio utaamini uchawi upoo, kuanzia leoo utaona
Access denied...
404 forbidden...
No network.....
Please wait....
Network error....
Mara cheti ukikitafta kwenye documents hukioni nakati kila siku ulikua unapitana nacho...
Simu kuisha charge haraka, umeme kukata...