Rais Samia aridhia TAMISEMI kuajiri watumishi 21,200 kada ya Afya na Elimu

Rais Samia aridhia TAMISEMI kuajiri watumishi 21,200 kada ya Afya na Elimu

Hapa ndio utaamini uchawi upoo, kuanzia leoo utaona

Access denied...
404 forbidden...
No network.....
Please wait....
Network error....

Mara cheti ukikitafta kwenye documents hukioni nakati kila siku ulikua unapitana nacho...
Simu kuisha charge haraka, umeme kukata...
alooohh hyaa maambo n Mungu tuu atafanikisha kiurahisii
 
Serikali yatakiwa ijitafakari hili swala la kuajiri watu 21,000 kwa mwaka na wanaohitimu ni zaidi ya 100,000 kwa vyuo vikuu na vya kati, hili swala litaleta shida

Serikali itafute vyanzo vya mapato vipya ili waajiri Walimu, Afya, Kodi

Mf kwa Mwaka huu Darasa la Kwanza ni zaidi ya 1.2mil ila walimu ni wale wale
Hapo umenena. Penye nia ipo njia. Niishie hapo. Kama nia ingekuwepo njia ingekuwepo.
 
TAMISEMI yatangaza ajira 21000 afya na elimu 2023

======


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ameridhia kibali cha kuajiri watumishi 21,200 wa Kada za Ualimu na Afya.

Idadi ya Watumishi watakaoajiriwa katika Kada za Ualimu ni 13,130 ambao watafundisha katika shule za Msingi na Sekondari.

Aidha idadi ya watumishi watakaoajiriwa katika kada za Afya ni 8,070 ambao watafanya kazi katika Hospitali za Halmashauro, Vituo vya Afya na Zahanati.
Mpaka sasa hakuna tangazo rasmi lenye kutoa maelekezo vizuri ya namna ya kuomba, vigezo, mahitaji, n.k
 
Hapa ndio utaamini uchawi upoo, kuanzia leoo utaona

Access denied...
404 forbidden...
No network.....
Please wait....
Network error....

Mara cheti ukikitafta kwenye documents hukioni nakati kila siku ulikua unapitana nacho...
Simu kuisha charge haraka, umeme kukata...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
We ajira za kimaskini si hutaki unataka ufanye kazi hotel za kitalii[emoji16]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hata cheti sina, naombaje sasa ajira?

Na hata hivyo, taaluma yangu haiko ktk ajira hizo, hvyo niko nje automatically
 
Me nliomba mwaka jana,sas hapa tunatumia taarifa za mwaka jana kuingia kwny mfumo au naanza upya kujisajir? Msaad tafadhali anaejua
Screenshot_20230412-131257.jpg
 
Hapo umenena. Penye nia ipo njia. Niishie hapo. Kama nia ingekuwepo njia ingekuwepo.
Maana haiingii akilini unatoa ajira 13,000 za walimu wakati kuna ongezeko la wanafunzi 300,000 darasa la Kwanza

Ongezeko la wanafunzi laki 2 Form 1

Patakuwa na ongezeko la wanafunzi 60000 Form 5

Serikali yatakiwa iangalie upya ukuaji wa miji, watu, miundombinu vinginevyo tutatengeneza tatizo kubwa sana huko mbeleni ambapo wao hawatakuwepo
 
Hapa ndio utaamini uchawi upoo, kuanzia leoo utaona

Access denied...
404 forbidden...
No network.....
Please wait....
Network error....

Mara cheti ukikitafta kwenye documents hukioni nakati kila siku ulikua unapitana nacho...
Simu kuisha charge haraka, umeme kukata...
mliofanya aptitude tupen mrejesho
 
Back
Top Bottom