Rais Samia aridhia TAMISEMI kuajiri watumishi 21,200 kada ya Afya na Elimu

Rais Samia aridhia TAMISEMI kuajiri watumishi 21,200 kada ya Afya na Elimu

Unamasihara wewe.sehemu watu wanapata pesa ni madini ikifuatiwa na kilimo na uvuvi
Tunaposema kozi za masikini tunamaanisha watu wasio na connection pia so tunaposema wasome
Afya
Education
Kilimo
Uvuvi
Maana yake ni kuwa hizo ndio ajira ambazo zipo kwa wingi ambazo inawezekana kupata bila connection au ugumu saana
Sio kwamba tunazidharau hizo kada

Just imagine mtu anaesoma Human resources bila connection sio rahisi kupata kazi sehemu kama Tasac,TRA,Tpdc,Tpa na nk
 
Serikali yatakiwa ijitafakari hili swala la kuajiri watu 21,000 kwa mwaka na wanaohitimu ni zaidi ya 100,000 kwa vyuo vikuu na vya kati, hili swala litaleta shida

Serikali itafute vyanzo vya mapato vipya ili waajiri Walimu, Afya, Kodi

Mf kwa Mwaka huu Darasa la Kwanza ni zaidi ya 1.2mil ila walimu ni wale wale
Kwani wameajiri watu 21,000 kwa mwaka ama wameajiri 21K Afya na Elimu?

Watu 8000 Afya ni wengi mno, vyuo vya Afya hata hawana graduates wengi.

Hata 13k walimu si Haba.
 
Tukumbushane: walisema kuwa kama umefaulu interview na nafasi zikawa chache, ikitokea nafasi mliokuwa mmefaulu na hamkuchukuliwa mnatake position automatically... eg pass mark ni 70, mmefaulu 10 lkn wanaotakiwa ni 5, then this time hao watano wanachukuliwa
Hiyo haipo mkuu ndiomaana nafasi huwa zinatangazwa wakati Kuna reserve
 
Kwa sababu za kiusalama naomba iwe classified maana natumia jina langu halisi humu, na wapekenyuzi wengi, thanks
Ok basi tuachane na hiyo unayofanya Kazi. Nisaidie basi majina ya NGO's zingine ambazo naweza peleka hata CV za maswala ya elimu.
 
Mods wafungulieni wana mliowapiga pin/ban na wao wachangie nyuzi za ajira
 
Ili kukabiliana na tatizo la ajira, serikali yapaswa ajiri angalau watu 50,000 kila mwaka.

Na ibadilishe mfumo wa ajira kutoka kuwa wa kudumu hadi wa mkataba maana kuna watu wanaridhika sana
Halafu watalipwa nini?
 
Karibu tupeane usaidizi & tips muhimu kutuma maombi ya ajira MPYA kada zote (Elimu & Afya)View attachment 2585715View attachment 2585716
Screenshot_20230412-172809.jpg
 
Usiwe na makasiriko kijana, tuliaa tu ajira inakuja na utaajiriwa kama utakidhi vigezo na mashart

Tatizo ukisha ajiriwa kwa mkataba, mkataba ukiisha we ndio utakwenda kuroga ili uajiriwe milele.
Mwishowd nimgonge binti yako,we nifatilie
 
TAMISEMI yatangaza ajira 21000 afya na elimu 2023

======


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan ameridhia kibali cha kuajiri watumishi 21,200 wa Kada za Ualimu na Afya.

Idadi ya Watumishi watakaoajiriwa katika Kada za Ualimu ni 13,130 ambao watafundisha katika shule za Msingi na Sekondari.

Aidha idadi ya watumishi watakaoajiriwa katika kada za Afya ni 8,070 ambao watafanya kazi katika Hospitali za Halmashauro, Vituo vya Afya na Zahanati.
Tatizo kila mwaka hakukosekani zengwe kwenye hizo ajira zao. Mfano anaajiriwa mhitimu wa mwaka 2022, halafu anaachwa yule wa 2016!!

Hata vigezo na masharti katika hizo ajira, havijulikani! Sijui ndiyo vimemo na rushwa ndiyo kipaumbele kikuu cha kuajiriwa!
 
Back
Top Bottom