Faana
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 38,657
- 44,759
Mikutano ya Hadhara ni Haki ya Vyama vya Siasa. Nimekuja kutoa ruhusa; nimetengua zuio la Mikutano ya Vyama vya Siasa. Ni haki kwa Vyama vya Siasa kuendesha...
✍️
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mikutano ya Hadhara ni Haki ya Vyama vya Siasa. Nimekuja kutoa ruhusa; nimetengua zuio la Mikutano ya Vyama vya Siasa. Ni haki kwa Vyama vya Siasa kuendesha...
Mimi chama changu kimewakilishwa na mzee wa ubweche tayari. Labda ujizungumzie wewe na wenzako.Uvccm wote chali kwa sasa wanalia kilio
Huu ni wakati wa kuijenga Tanzania yetu ili isiparaganyike na kusambaratika huko mbeleni. Bila amani hakuna siasa wala furaha.Duh! We jamaa umeandika maneno matakatifu, nakuombea Mungu akupe nafasi ya juu kabisa, tusaidiane kuijenga nchi yetu kwa njia ya amani.
Amani ni moja ya tunu tulizoachiwa na wazee wetu! Omukama akubele
Usitusemee wananchi wote. Wengine ni wananchi pia na hatutaki katiba.Wameshika mpini Kwa mamlaka yapi kama wananchi wenye mamlaka ya mwisho wanataka katiba
Kwahiyo?Kwani huku hamkuwa mkizunguka na matisheti yenu ya kutaka katiba mpya
Baada ya kuona watu wamejipanga kisawa sawa kuanza mikutano ya hadhara iwe kwa heri au kwa shari, hatimaye ameamua kukwepa fedheha ya kuruhusu mikutano hiyo kwa lazima.
No i don't think so, ni kwa vile kiongozi alie madarakani ni mwenye mtazamo tofauti na alietangulia.CCM janja janja Sana ,walishajua 2023 vyama vya siasa vinavyojitambua vingefanya mikutano bila kujali outcome , Ili Hali ni kwa Mjibu wa katiba, so wameovertake Ili kupata credit tu,
Ameruhusu ila Bado Kuna wazee wa PGO na "TAARIFA ZA KIINTELIJENSIA" ....Hii Ndio Tanzania ninayoijua Mimi!
Umoja na mshikamano ndio ngao yetu!!
Hebu twende Sasa!!