Rais Samia aruhusu vyama vya siasa kufanya Mikutano ya hadhara

Rais Samia aruhusu vyama vya siasa kufanya Mikutano ya hadhara

Haya Ufipa mradi wenu umeruhusiwa wa kukusanya michango.
Ritz, mikutano imekuibua!!!!!

Mmejipangaje kujibu HOJA???

Mikutano ni mchezo wa wazi, hamna propaganda Wala spinning pale😃😃
 
CCM janja janja Sana ,walishajua 2023 vyama vya siasa vinavyojitambua vingefanya mikutano bila kujali outcome , Ili Hali ni kwa Mjibu wa katiba, so wameovertake Ili kupata credit tu,
Acha uongo wako hapa wewe,Chama gani Cha kujitambua hicho? Chama gani kingeweka mguu wake jukwaani pasipo ruhusa ya mh Rais wetu mpendwa?
 
View attachment 2467839
#LIVE: Rais Samia na viongozi wa kisiasa

Leo Jumanne, Januari 3, 2023 Ikulu jijini Dar es Salaam, Rais Samia amesema; "uwepo wangu leo hapa mahali nimekuja kufanya ruhusa ya mikutano hii...
Napenda kumkosoa rais wangu kwenye hili.

Suala la mikutano ya siasa kwa vyama ni la kikatiba na kisheria. Hivyo Rais alipaswa kushauriwa namna ya kulizungumza kwa sababu bado suala hili linamfanya aonekane yeye ndiyo Sheria na yeye ndiye Katiba.

Nadhani ingalikuwa busara angesema kuwa, serikali inarejea kwenye utawala wa sheria ambapo masuala yote yanayotoa haki na wajibu kwa pande zote yazingatie katiba na sheria hivyo kuzuia mikutano ya vyama vya siasa ni kinyume na Katiba na Sheria za nchi.

Tuanze kuitibu nchi badala ya kuendeleza yanayoumiza utawala bora
 
Acha zako wewe,Nani wa kumtisha Rais wetu? Nani mwenye ubavu wa kuisumbua serikali yetu? Bila Rais Samia kutoa ruhusa ni Nani angeingia Barabarani na kupanda jukwaani kuongea? Nania huyo angekiuka Amri ya serikali hii shupavu madhubuti na Imara? Au umekuja hapa kupima upepo na wenzio wa aina yako
 
Mbona marekani siasa kila siku Tena wenyewe wa uchaguzi Mara mbili ndani ya awamu moja, na wanamaendeleo?. Kwa hivyo tubaki na CCM pekee yake?

Mnazuia watu kufanya mikutano ikifika uchaguzi mnaiba kura. Si bora mfute hiyo mfumo wa siasa wa vyama vingi?.
Uwezi kufananisha nchi ambazo wanasiasa wake 99%+ wanaelewa ‘political etiquette’ ata kama hakuna sheria rasmi.

Kwamba uchaguzi unapoisha so is siasa za kuhamasisha basically hiyo ndio mantiki ya political rally (siasa za majukwaani), taratibu zao unamuwacha mshindi afanye kazi, unakosoa bungeni, na kwenye vyombo vya habari.

Watu kama akina Trump (uwezi kuona Republican mwenye kujielewa anafanya campaign za uraisi muda huu) au La Penne wa france sio traditional politicians ambao wanaheshimu unwritten rules za kufanya siasa zao. Kuna watu huko ambao ni wachache sana wanapenda kwenda kinyume na desturi kwakuwa hakuna sheria inayowakataza lakini sio ustaarabu.

Ukienda nchi kama uingereza ndio kabisa uwezi kuona chama chochote kinafanya public rally pamoja na fursa kibao za migogoro iliyoikumba conservatives 2022.

Anyway kwa Tanzania majibu yake atayapata soon kwanini tuandikie mate wakati wino upo, ataelewa kwanini ilizuiwa.
 
Huwezi kufanya maridhiano yeyote na CCM ukafanikiwa.
Kuna watu hapa ni kenge mnoo.. uwezo wao wa ku assess mambo ni ni mdogo mno..

Hao wapinzani wafu wameenda kula juice tu huko.. ujinga mtupu.
 
Hayo ni mengineyo, Cha muhimu mchakato unaanza hivi karibuni. Kwa kuteua tume ya katiba itakayo anaza kupokea maoni.
Mh Judge WARIOBA hatimaye anarudi kwenye Tume, mchakato na Rasimu yake inarudi mezani.

Mungu anaipenda sana Nchi yangu Tanzania.

Aamen.
 
Acha zako wewe,Nani wa kumtisha Rais wetu? Nani mwenye ubavu wa kuisumbua serikali yetu? Bila Rais Samia kutoa ruhusa ni Nani angeingia Barabarani na kupanda jukwaani kuongea? Nania huyo angekiuka Amri ya serikali hii shupavu madhubuti na Imara? Au umekuja hapa kupima upepo na wenzio wa aina yako
Bado kidogo tu, anaachia Nchi.
 
Back
Top Bottom