Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mamako ana miaka 2 sasa amekalia tu hiyo marufuku ya mikutano!Wajinga hawa wameona aibu! Yaani mikutano iwe ni ya kuomba na kulialia nchi hii! Yule bwana kweli alikuwa dikteta ndo katufikisha hapa.
Mbowe ni mwema sana kuliko magufuri.........Mbowe kwa sasa anaeleweka sana, kaonyesha ukomavu wa kisiasa ila tatizo bado genge lililo mzunguka hawataki kubadilika!!! wanadhani siasa ni uadui!
wanadhani siasa ni ukorofi na kupwayuka!!
Mbowe anao wajibu wa kuwaelimisha walio mzunguka.
wanasiasa hawapaswi kulazimisha mambo wanayo yataka wao bali wanapswa wakubali pia hoja za chama kinacho tawla.
Anasema uvccm wote sasa mtakufa kwa njaaLisu anasemaje
Umwambie na rafiki yako Omwami Ruyagwa apunguze njaa zakeSafi sana. Speech ni nzuri, na rais ana muelekeo mzuri. naanza kurudisha imani kwake, lakini nasikilizia ge yuko genuine au la
Kama CCM, tutaendelea kuwapa series za filamu mpaka mchoke, tumemaliza hiyo, inayofuata pia mtachukua mwaka na nusu mpaka 2024 AugustUmmemsikia Samiah akisema kuwa majadialianao yalikuwa magumu?. Mara sita wamekaa, na kina Wana CCM walikuwa hawataki mikutano iruhusiwe.
Nikuulize aliyeufyata ni Nani? Aliyezuia kufanya mikutano au aliyeruhusiwa kufanya mikutano
Wanapoozwa tu kiaina ila mbinyo bado upo pale pale.Kuna kipindi CHADEMA walipigwa kote kote sio mahakamani, sio bungeni sio serikalini. Na hakuna msaada waliopata, walikuwa Kama yatima. Huku Lissu analimwa Risasi, huku Mbowe anavunjiwa bilcanas, huku akina Halima wanafukuzwa bungeni, huku Saanane anapotezwa. Nani aliwasaidia?.
So CHADEMA wameamua kukaa na maadui zao ili kukomesha hayo yasijirudie Tena, ndio maana wanarekebisha sheria za mikutano ya hadhara ili wapinzani wasiminywe Sana.
Naan mkuu,Nipo mkuu na kampeni ya kumfanya mama Awe na kuitwa mama Wa TaifaLukas Mwashambwa
Kwa sababu Wapinzani ni lege legeKwa nini shujaa wako alizuia mikutano ya hadhara ya vyama vya siasa?!
Kumbuka hata TANU ilibidi wakae Meza moja na Wakoloni, ANC ilibidi wakae Meza moja na Makaburu... Wakoloni Weusi kukubali kukaa Meza moja na Wapinzani ni mwanzo mzuri.Yaani hawa wapinzani wa Tz sio Kama wataacha Legacy yoyote .
CCM chama kimejaa watu waliokosa utu na Huruma na zero brain...