Rais Samia aruhusu vyama vya siasa kufanya Mikutano ya hadhara

Rais Samia aruhusu vyama vya siasa kufanya Mikutano ya hadhara

Anaruhusu kitu kilichoruhusiwa na katiba hii inaduwaza
 
Acha uongo. Mbaya anajulikana ni CCM . Ndio chanzo Cha yote haya. Wangekubali katiba mpya kipindi kile Leo nchi ingekuwa mbali. Tatizo la hii nchi ni ccm fullstop.
Katiba hiyo isimamiwe na nani? Hakuna nchi haina katiba mzee, usijitoe ufahamu.
 
TRA aliambiwa hivyo hivyo acha kama ilivyokuta, akaja na akili zake; sasa hivi u-turn.

Huku nako ni swala la muda tu ataelewa kwanini mikutano ya hadhara ilizuiawa, ila U-turn itakuwa ngumu sana.

Huko kwenye katiba kila tukio CDM wanakwambia tutarekebisha na katiba mpya. Tukio la mwisho la Diamond, solution yao katiba mpya. Sasa TRA na katiba mpya wapi wapi wakati aina ya kodi wanazotoza chanzo ni budget, namna watakavyofanya kazi na kwenyewe parliament act.

Asubiri hayo maoni ya kipuuzi ambayo either hayatekelezi au demands za changes to administration workings ambazo ni impractical ndio ataelewa kwanini katiba mpya ilifeli kama akuelewa alipokuwa naibu speaker wa bunge la katiba, ataelewa sasa.

Mikutano ya hadhara salalee hayo mambo yalikuwa ignored for reasons na watangulizi wake uongo kila kukicha ambao unachanganya raia, badala ya kuendesha nchi unajikuta una kazi ya kujibu upotoshaji.

Ngoja ajionee na yeye ataelewa soon kwanini watu walichukua hayo maamuzi.

Si anataka cheap politics ngoja aone kinachofuata, na U-turn sio rahisi maana atapewa kila jina la kishetani akithibutu.
 
Unajua unachoongea?. Haya ni matunda ya harakati za CHADEMA. Mama alikutana na Lissu pia akakutana na Mbowe unajua waliongea Nini? CHADEMA wapewe heshima yao wamepambana Sana mpka leo tumefikia hapa.

Tuwape CHADEMA heshima yao bwana. Akina Zitto walisema wanataka katiba mpya baada ya 2025 au umesahau?. Ni CHADEMA pekee yao walisimamia ajenda ya katiba mpya.
Hawastahili heshima yoyote, CCM ndio imeamua, mlishaufyata nyie
 
Kuzuia mikutano ya hadhara ilikuwa ni udhalimu na udikiteta. Tunashukuru kwa hili
20230103_131650.jpg
 
Rais wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan ametangaza rasmi kuruhusu mikutano ya vyama vya siasa iliyozuiliwa tangu mwaka 2016, huku akitaka siasa za kistaarabu kwa maslahi ya taifa.

#UFMUpdates #MikutanoYaHadhara
 
Ni haki kikatiba ila ndo ivo lilikuja tangazo la kihuni huni kuzuia kwa faida yao wazuiaji
 
Unajua unachoongea?. Haya ni matunda ya harakati za CHADEMA. Mama alikutana na Lissu pia akakutana na Mbowe unajua waliongea Nini? CHADEMA wapewe heshima yao wamepambana Sana mpka leo tumefikia hapa.

Tuwape CHADEMA heshima yao bwana. Akina Zitto walisema wanataka katiba mpya baada ya 2025 au umesahau?. Ni CHADEMA pekee yao walisimamia ajenda ya katiba mpya.
Unadhani hiyo KATIBA MPYA itapatikana kabla ya 2025. Mashudu
 
Watanzania tunahitaji maji,umeme wa uhakika,huduma bora za kijamii na uchumi imara sio kutafuta sifa za kisiasa kwa kufurahisha magenge.
 
Haya ndio maneno ya Rais yanayostahili pongezi japo mengine ilikuwa ni kuifuata katiba tuu, tunasubiri utekelezaji na wale praise singers hapa hapa sio mbaya ni kuendeleza mapambio
 
Back
Top Bottom