Rais Samia aruhusu vyama vya siasa kufanya Mikutano ya hadhara

Rais Samia aruhusu vyama vya siasa kufanya Mikutano ya hadhara

Acha zako wewe,Nani wa kumtisha Rais wetu? Nani mwenye ubavu wa kuisumbua serikali yetu? Bila Rais Samia kutoa ruhusa ni Nani angeingia Barabarani na kupanda jukwaani kuongea? Nania huyo angekiuka Amri ya serikali hii shupavu madhubuti na Imara? Au umekuja hapa kupima upepo na wenzio wa aina yako

Serekali shupavu ya kuvunja sheria, mikutano ya kisiasa ipo kisheria. Sasa kuna ushupavu gani wa kuvunja sheria?
 
Huyu samia mwepesi kama karatasi yani katishwa kidogo tu kaachia
Hakuna mwenye ubavu wa kumtingisha Rais Samia,Acheni kujifariji hapa.Ni muda wa viongozi wa chadema kula mema ya wafuasi wao kupitia michango isiyo na hesabu Wala mrejesho wa kilichokusanywa,Tena saiz michango yao inalindwa na makomandoo ili isidondoke hata mia
 
Serekali shupavu ya kuvunja sheria, mikutano ya kisiasa ipo kisheria. Sasa kuna ushupavu gani wa kuvunja sheria?
Kwani marekani huko baada ya kumaliza uchaguzi ulishaona wanaanza kuzurula zurula mitaani Kama nyinyi wapinzani? Mmepewa ruhusa ya kwenda kujenga hoja na siyo kwenda kutukana matusi utafikiri mmedumbukia kwenye mtaro wa maji taka
 
Naona kama chadema wataanzisha gurudumu la mikutano ya kisiasa. Hasa Heche nadhani kesho atakuwa jukwaani!
Wewe unatabiri chama gani?
 
Samia ana akili sana kwenye eneo hilo la kuwachezea wapinzani
Wenyewe ndio wanavyopenda, ukiwa peti peti unaenda nao vizuri then uchaguzi wanawakazia, watasusa, watatishia unawaita mezani mnagonga juice na ubeche na picha mambo yanaenda.

JPM alipenda maguvu hata maeneo yasiyotaka maguvu.

Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
 
Wenyewe ndio wanavyopenda, ukiwa peti peti unaenda nao vizuri then uchaguzi wanawakazia, watasusa, watatishia unawaita mezani mnagonga juice na ubeche na picha mambo yanaenda.

JPM alipenda maguvu hata maeneo yasiyotaka maguvu.

Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Njaa zinawasumbua nyinyi uvccm shenzi
 
Baada ya kuona watu wamejipanga kisawa sawa kuanza mikutano ya hadhara iwe kwa heri au kwa shari, hatimaye ameamua kukwepa fedheha ya kuruhusu mikutano hiyo kwa lazima.
Wachache wataelewa hapa
 
Kwani marekani huko baada ya kumaliza uchaguzi ulishaona wanaanza kuzurula zurula mitaani Kama nyinyi wapinzani? Mmepewa ruhusa ya kwenda kujenga hoja na siyo kwenda kutukana matusi utafikiri mmedumbukia kwenye mtaro wa maji taka
Marekani na Tanzania ni tofauti sana.

Hapo ni sawa na kulinganisha tembo na sungura.
 
Kwani marekani huko baada ya kumaliza uchaguzi ulishaona wanaanza kuzurula zurula mitaani Kama nyinyi wapinzani? Mmepewa ruhusa ya kwenda kujenga hoja na siyo kwenda kutukana matusi utafikiri mmedumbukia kwenye mtaro wa maji taka

Huna lolote ujualo kuhusu Marekani, ww baki kwenye hizi siasa zako za kishamba huku maporini. Kila siku Trump anafanya mikutano ya wazi huko US. Huwezi kujua hayo mambo maana umakalia kusikiliza redio Tanzania, na kutazama TBC1 hivyo huwezi kujua lolote.
 
Bahati nzuri dhana hii imepata baraka zote za chama changu.

Tuliunda kikosi kazi lakini tulikuwa na mazungumzo na chama kingine pembeni, Serikali inatakiwa kutenda haki kwa watu wote bila kuacha mila na desturi zetu za kitanzania.
Hofu ya nini kama tunajenga nchi na taifa moja
 
Huna lolote ujualo kuhusu Marekani, ww baki kwenye hizi siasa zako za kishamba huku maporini. Kila siku Trump anafanya mikutano ya wazi huko US. Huwezi kujua hayo mambo maana umakalia kusikiliza redio Tanzania, na kutazama TBC1 hivyo huwezi kujua lolote.
🤣🤣🤣🤣
 
Huna lolote ujualo kuhusu Marekani, ww baki kwenye hizi siasa zako za kishamba huku maporini. Kila siku Trump anafanya mikutano ya wazi huko US. Huwezi kujua hayo mambo maana umakalia kusikiliza redio Tanzania, na kutazama TBC1 hivyo huwezi kujua lolote.
Kwani huku hamkuwa mkizunguka na matisheti yenu ya kutaka katiba mpya
 
Umeongea ukweli mtupu🤝

Hata wale wanaombeza Mheshimiwa Mbowe aliyeyakubali Maridhiano hayo na kuyaendeleza, niwaulize swali Moja tu, je chama Cha Chadema kilipotangaza UKUTA, wakati ule, ni wangapi walijitokeza mabarabarani Ili wapigwe virungu na Jeshi la Polisi?😎
Vijana wengi wenye mihemko wanataka mapambana na wakati mapambano yenyewe hawayawezi.
 
Back
Top Bottom