Yani Leo ilikuwa vituko. Yani ziara ya maafa ikageuka mkutano wa kumsifu na kumuabudu Rais. Aibu kubwa Sana.
Ni aibu kubwa sana, tena walivaa kabisa na Jezi zao za chama.
Na hata Wapinzani walioenda huko Hanang leo nao pia walivaa na Jezi za vyama vyao vya siasa.
Kwa hakika wa-Tanzania tumerogwa malogi makubwa!
 
 
Kwahiyo ?
 
Nyie mlikatazwa kuvaa uniform zenu za CHADOMO? CCM ni chama cha watu kipo na watu wakati wote wa raha na matatizo.
 
Tanzania bado kuna matatizo!

Nadhani bado Elimu ya Afya ya akili inahitajika!
 
Nyie na Rais nani aliepuuzwa. Mmedoda. Na michango mmekosa😂😂
 
Bila picha umbea
 
Vijana wa ufipa umekubali raisi ni mmoja tu nchi hii haya nendeni mkasalimie wagonjwa huko bugando nao pia ni watanzania na wanawahusu!

Rais yupi?. Mnaandaa tamasha la kumsifu Rais baadala ya kujikita kwenye maafa. Cc ni janga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…