Rais Samia atengua Uteuzi wa Wakuu wa Wilaya za Temeke na Kilindi

Teuzi Hazina Hadhi Toka Kamishna Generali Hadi DC
 
Bonge demotion .....sasa sababu yeye Mtumishi wa umma hana jinsi .......kwenda tu
 
Samia ana dharau jamani. Kaji kutoka kamishina wa Taasisi ya kuzuia madawa ya kulevya hadi kuwa mkuu wa wilaya. Hatareee. Angempa walau ukuu wa mkoa au ukurugenzi wa mkoa basi.
Kwa ule msoto aliokula baada ya kifo cha JPM jumulisha sekeseke alilopata kwa wana geti jeusi ingawa alikuwa miongoni mwao na mwenye sauti kwelikweli, ashukuru kwa hiyo nafasi kwa kuonwa tena. Na imani huko mbeleni atapewa nafasi kubwa zaidi.

Nakumbuka ndio ulikuwa utenguzi wa kwanza kwenye pdf la Mama baada ya kuingia jumba jeupe.
 
Mobhare Matinyi eeeeeh kuelekea panapokustahili kapteni
 
Ndiyo,itakuwa aliwabania sana wauza madawa wale untouchable wale wenye ukaribu na JK.
 
Ndiyo,itakuwa aliwabania sana wauza madawa wale untouchable wale wenye ukaribu na JK.
Ila alikuwa mlaji mzuri sana wa Rushwa, dharau, jeuri na gangari kwelikweli kila la kheri kwenye utumishi wake mpya. Muhimu kwake ni kutulia aache ubabe usio na tija huwenda mama akamkumbuka kwa nafasi ya juu zaidi huko mbele na hapo itakuwa kawekwa kimtego kujua kama kabadilika ama ndio ndio kaji yuleyule kubwa la maadui.
 
Mwacheni Rais afanye kazi yake. Anapitia taarifa nyingi. Hao wawili wanaweza kuwa na matatizo yako.
Endelea President.
Tumwache afanye kazi kwani tumemshika kichwa ?

Dunia ya leo kusema kiongozi asikosolewe ni mgando wa mawazo, unaishi kwenye stone age


Your prefrontal cortex is needed for evolutionary studies
 
Kwani CCM kuna asiekuwa mlaji,basi tu vile itakuwa hakuwa upande wa watu wa Samia.Maana hata wasio untouchable wa Samia wapo wengi tu walaji.Na wanakula kweli kweli.
 
Nani akufanyie mbinu mjinga kama wewe. Wewe unadhani unaweza kumfanya nini rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa hali yako hapo ulipo?
Tunahitaji vipengele vya mkataba vya kuiuza Tanganyika virekebishwe au viondolewe
 
Watawala watujibu haya bila kuruka kipengele hata kimoja hapo
 
Samia ana dharau jamani. Kaji kutoka kamishina wa Taasisi ya kuzuia madawa ya kulevya hadi kuwa mkuu wa wilaya. Hatareee. Angempa walau ukuu wa mkoa au ukurugenzi wa mkoa basi.
Kabisa, hata Gerald Kusaya alipelekwa Katibu Tawala mkoa wa Rukwa.
Samia ana dharau jamani. Kaji kutoka kamishina wa Taasisi ya kuzuia madawa ya kulevya hadi kuwa mkuu wa wilaya. Hatareee. Angempa walau ukuu wa mkoa au ukurugenzi wa mkoa basi.
 
Mashujaa wamekataa upuuzi na upumbavu wa bandari wamekemea uzwazwa wa bibi yao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…