Rais Samia atoa TZS 35BL Ujenzi wa Musoma Airport kumuenzi Baba wa Taifa

 

Nenda kaishi RWANDA,,endelea kuishi kwa dadako
 
Kazi ya uwanja ni kumuenzi Mwl siyo kuboresha safari za anga
 
Tanzania na Samia,

1.Uchumi Juu,

2. Uwekezaji juu

3. Diplomasia juu

4. Amani & Upendo juu

5. Maendeleo juu

6. Demokrasia juu
 
Uko sahihi kabisa...

Nina wasiwasi huenda akarudi Kivukoni kabisa...

Sent from my TECNO LA7 using JamiiForums mobile app
 
Hivi ni ametoa au ameidhinisha???

Mnaposema ametoa, ametoa kutoka kwenye mwanzo vyake vya mapato au??
 
Sasa kuukamilisha bwawa si ni pesa? Tena ndefu
 
Tunazidi kufeli kila kukicha yaani Kuna shule hazina madarasa halafu tuna kazi ya kuenziana tu kweli Kama tz tumelogwa mchawi wetu yupo karibu Sana na sisi kuhakikisha hatufurukuti
Mkuu ujenzi wa madarasa umepamba moto sana kila shule unayopita kuna ujenzi.
 
Mh. Rais Samia, katika mengi yupo sahihi. Na kama nchi, endapo Samia angekuwa Rais tangu 2015, hakika nchi isingekuwa hapa ilipo leo.

Awamu ya 5, nchi ilikuwa inajengwa mdomoni, lakini kiuhalisia nchi ilikuwa ikizidi kuporomoka maeneno yote.

Samia, mahali pekee alipoboronga kabisa ni kumbambikia kesi Mbowe, na kuendelea kuwatesa makomandoo, ambao kwa uonevu mkubwa, utawala wa Magufuli, uliwatesa, kuwaonea, na huenda kuwaua baadhi.

Kama laiti Mama Samia angekaribiwa na hekima, japo kidogo sana, angeshauriana na DPP kuzifuta kesi hizi, na kuwalipa fidia vijana wetu makomandoo walioathirika afya zao kutokana na utumishi mwema, lakini kwa bahati mbaya, kwenye eneo hili, Samia ameamua kuendelea kujipakaza uchafu wa awamu ya 5 kwa kuendelea kuwatesa.

Makomandoo walistahili kuachiwa, na wahalifu wakubwa, mashetani wa kiwango cha ajabu, akina Kingai, Godluck, Mahita, Jumanne, Aziz, walistahili kukamatwa mara moja na kufikishwa mahakamani kwa makosa ya utekaji, utesaji na mauaji.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…