Hongera zao

Ila najiulizaga,kwenye kujenga majengo wako faster ila kuweka
Huduma ya upatikanaji wa madawa,machine za kufanyia vipimo
Kuna suasua

Ova
Kipi kinaanza kati yao
 

Huu ni utapeli wa kitoto, atoe 600b, wakati vituo na hospitali zote zilizojengwa nchini ndani ya 5yrs hazijafikia 500b? Na kuna watu wataamini huu utapeli.
 
Hongera zao

Ila najiulizaga,kwenye kujenga majengo wako faster ila kuweka
Huduma ya upatikanaji wa madawa,machine za kufanyia vipimo
Kuna suasua

Ova

CCM huwa wanajali wingi na sio ubora.
 
Hela ametoa wapi? Kwenye budget ya wizara ya afya ya 2022/2023 hii Pesa ya muhimbili imo?
 
Hao Muhimbili walisema IVF ingeanza Mwaka juzi mpaka leo hatujasikia kuanza.

Kwa matamko tu rahisi kusema vitendo sasa?!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…