Hii fedha imetoka katika bajeti gani? Naona kama muendelezo wa hulka ya mwendazake!!?
 
Watakwambia hawaoni miradi..

Ni jambo jema ila kiukweli Tunaomba huduma za kibingwa kama za Muhimbili hospital zisogezwe kwenye Kanda..

Haipendezi mtu natoka Rukwa au Kigoma eti anaenda kufuata huduma Muhimbili,hii sio sawa.
 
Kwa hiyo itaitwa "Hospitali ya Muhimbili Mpya", au!!!!! Na inajengwa wapi?
Halafu ile ya Mloganzila! Maana siku zote nilijua ndiyo imejengwa kama mbadala wa hiyo ya Muhimbili.

All in all, ni jambo zuri kama nchi kuwa na hospitali nyingi kubwa. Muhimu tu; suala la bima kwa kila Mtanzania nalo lifanyiwe kazi kwa wakati ili utekelezaji wake uanze mapema. Maana hizo hospitali kubwa siyo rafiki kwa watu maskini, na wale wasio na bima ya afya.
 
Mbona hajaenda zile wodi tatu maarufu pale muhimbili akaona hali ya vyumba, vitanda. Yaani mgonjwa ukiingia mule unajihisi kua hutoki salama
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…