Nakubaliana na wewe mkuu, abdoulquarim ni miongoni mwa hilo kundi la veronica france. Wako wengi wanaopost kwenye hiyo ID,siyo mtu mmoja, wengine ni musiba,makonda na Sabaya alikuwemo.Veronica France ni Abdoulquarim Malisa mfuatilie mandishi yake utajua
Unampangia raisi kuhusu uteuzi?Leo nimemuona Makonda akiwa Chato kutembelea Kaburi la Magufuli.
Katika ziara hiyo, Makonda eti alisimamishwa na wananchi wa Chato na kuzungumza nao. Na katika maigizo hayo,Makonda amelia sana.
Juzi niliona gazeti moja limeandika kuwa jalada la uchunguzi wa utekwaji wa mfanyabiashara maarufu Mo limepelekwa kwa DPP.
Naamini baada ya kukamatwa kwa Sabaya kwa kuwa maovu ya Makonda yanafanana na ya Sabaya, amenusa kitu. Hivyo ameamua kuanzisha harakati za kutafuta huruma za watanzania hasa wasiojua drama zake ili kuitisha Serikali isimchukulie hatua kama alivyofanyiwa Sabaya.
Sisi wengine tunajua Makonda ana hasira mno na utawala wa mama Samia baada ya kuachwa kwenye teuzi zote zilizofanywa. Yeye pamoja na wanazi wengine wa Magufuli waliokuwa wanafaidika na utawala wake wa kikatili na kidikteta wameanzisha kundi linaloishambulia Serikali ya Rais Samia katika mitandao ya kijamii. Kule FB wanatumia ID ya veronica france.
Kama kundi hili halitadhibitiwa mapema, litaisumbua sana Serikali ya mama Samia.
Tena mthenge kweli kweliDAB mthenge tu
Japo uwezo wao wa kufikiri ni mdogoLeo nimemuona Makonda akiwa Chato kutembelea Kaburi la Magufuli.
Katika ziara hiyo, Makonda eti alisimamishwa na wananchi wa Chato na kuzungumza nao. Na katika maigizo hayo,Makonda amelia sana.
Juzi niliona gazeti moja limeandika kuwa jalada la uchunguzi wa utekwaji wa mfanyabiashara maarufu Mo limepelekwa kwa DPP.
Naamini baada ya kukamatwa kwa Sabaya kwa kuwa maovu ya Makonda yanafanana na ya Sabaya, amenusa kitu. Hivyo ameamua kuanzisha harakati za kutafuta huruma za watanzania hasa wasiojua drama zake ili kuitisha Serikali isimchukulie hatua kama alivyofanyiwa Sabaya.
Sisi wengine tunajua Makonda ana hasira mno na utawala wa mama Samia baada ya kuachwa kwenye teuzi zote zilizofanywa. Yeye pamoja na wanazi wengine wa Magufuli waliokuwa wanafaidika na utawala wake wa kikatili na kidikteta wameanzisha kundi linaloishambulia Serikali ya Rais Samia katika mitandao ya kijamii. Kule FB wanatumia ID ya veronica france.
Kama kundi hili halitadhibitiwa mapema, litaisumbua sana Serikali ya mama Samia.
Gia imebadilishwa angani. Turn about and halt!Ni jambo jema!
Jamaa wewe kama ni mwanaume basi una mapungufu makubwa sana acha umbea bro kwani ulitaka afanye nini na ulitaka akisimamishwa afanyejeLeo nimemuona Makonda akiwa Chato kutembelea Kaburi la Magufuli.
Katika ziara hiyo, Makonda eti alisimamishwa na wananchi wa Chato na kuzungumza nao. Na katika maigizo hayo,Makonda amelia sana.
Juzi niliona gazeti moja limeandika kuwa jalada la uchunguzi wa utekwaji wa mfanyabiashara maarufu Mo limepelekwa kwa DPP.
Naamini baada ya kukamatwa kwa Sabaya kwa kuwa maovu ya Makonda yanafanana na ya Sabaya, amenusa kitu. Hivyo ameamua kuanzisha harakati za kutafuta huruma za watanzania hasa wasiojua drama zake ili kuitisha Serikali isimchukulie hatua kama alivyofanyiwa Sabaya.
Sisi wengine tunajua Makonda ana hasira mno na utawala wa mama Samia baada ya kuachwa kwenye teuzi zote zilizofanywa. Yeye pamoja na wanazi wengine wa Magufuli waliokuwa wanafaidika na utawala wake wa kikatili na kidikteta wameanzisha kundi linaloishambulia Serikali ya Rais Samia katika mitandao ya kijamii. Kule FB wanatumia ID ya veronica france.
Kama kundi hili halitadhibitiwa mapema, litaisumbua sana Serikali ya mama Samia.
Nadhani hapa magu2016 amekuelewa. Kama bado ni mbishi, basi huo ni ubishi wa kuzaliwa.Mama alichokiongea hakiusiani na hoja ya Mtoa mada, alisema ikawa, ila sio kigezo chake kutotenda haki ,that's anasema watu wakikuongelea vizuri unapokea Mara dufu , Sasa wapi MACKONDA anaongelewa vizuri katika Taifa hili,??
Kwamba ufanye unyama mkuu wa nchi anaejitambua anyamaze kisa alisema unafaa kua makam wa Rais then ukawa Rais , hawezi kua KWA kiongozi mwenye hofu ya mungu ,that's l love Islamic hasa ukimkuta alieisoma din kwelikweli hawanaga longolongo maana Wana hofu ya Mungu haswa, labda wale tu wapo basi siku ziende, tofauti Sana na sie wakiristu unafiki umetujaa Sana japo tunaongoza kua na madhehebu kibao kila kona ,
Nadhani hawa ni watanzania 4 7mbatizajiNaona siku hizi wanasaccos wote mmehamia CCM yaani ni raha sana kweli Hayati Magufuli aliposema Saccos itakufa ikifika 2020 yametimia.
Kwahiyo nani anamzungumza huyo Bashite vizuri..
Hakuna visasi wala kisasi it is walking on a tarmac roadTungesamehana tu tukatafuta katiba mpya na tume huru ili kutengeneza mfumo bora ( justice)
Tunasahau mifumo yetu ya utawala ndio inafanya watu wajisahau na kutena uovu kama huu.
Visasi havijawai kuleta amani na umoja.
Nelson Mandela angefanya visasi sijui kama angekuwa anakumbukwa kwa mazuri leo.
Uharifu na kwenda Chatto, vitu hivi mbona havilingani?Makongda ni muuaji! ni drama tu
Kwa hiyo asiende Chatto, na Je, tayari amekwisha tiwa hatiani?Sawa Ila ni mharifu yule
Kuna jamaa alifuga farasi na akatokea kumpenda sana farasi wake. Katika baadhi ya nyanja fulani kama mashindano ya mbio farasi huyo alikuwa na uwezo wa kukimbia sana na kushinda. Watu waliofanya kamari juu ya farasi huyu katika mashindano ya mbio za farasi wakapata fedha kwa wingi. Tatizo ni kwamba farasi huyu alikuwa na tabia ya kupiga na hata kuua farasi wenzake, jambo ambalo wengi hawakufulifurahia. Na kila watu walipomlalamikia mwenye farasi, yeye alikasirika na kuwafanyia kitu kibaya.Leo nimemuona Makonda akiwa Chato kutembelea Kaburi la Magufuli.
Katika ziara hiyo, Makonda eti alisimamishwa na wananchi wa Chato na kuzungumza nao. Na katika maigizo hayo,Makonda amelia sana.
Leo nimemuona Makonda akiwa Chato kutembelea Kaburi la Magufuli.
Katika ziara hiyo, Makonda eti alisimamishwa na wananchi wa Chato na kuzungumza nao. Na katika maigizo hayo,Makonda amelia sana.
Juzi niliona gazeti moja limeandika kuwa jalada la uchunguzi wa utekwaji wa mfanyabiashara maarufu Mo limepelekwa kwa DPP.
Naamini baada ya kukamatwa kwa Sabaya kwa kuwa maovu ya Makonda yanafanana na ya Sabaya, amenusa kitu. Hivyo ameamua kuanzisha harakati za kutafuta huruma za watanzania hasa wasiojua drama zake ili kuitisha Serikali isimchukulie hatua kama alivyofanyiwa Sabaya.
Sisi wengine tunajua Makonda ana hasira mno na utawala wa mama Samia baada ya kuachwa kwenye teuzi zote zilizofanywa. Yeye pamoja na wanazi wengine wa Magufuli waliokuwa wanafaidika na utawala wake wa kikatili na kidikteta wameanzisha kundi linaloishambulia Serikali ya Rais Samia katika mitandao ya kijamii. Kule FB wanatumia ID ya veronica france.
Kama kundi hili halitadhibitiwa mapema, litaisumbua sana Serikali ya mama Samia.
Mimi nipo hapa Chato. Ninajua kinachoendelea. Hayo aliyofanya ni maigizo na watu walioandaliwa.Jamaa wewe kama ni mwanaume basi una mapungufu makubwa sana acha umbea bro kwani ulitaka afanye nini na ulitaka akisimamishwa afanyeje