Mama alichokiongea hakiusiani na hoja ya Mtoa mada, alisema ikawa, ila sio kigezo chake kutotenda haki ,that's anasema watu wakikuongelea vizuri unapokea Mara dufu , Sasa wapi MACKONDA anaongelewa vizuri katika Taifa hili,??
Kwamba ufanye unyama mkuu wa nchi anaejitambua anyamaze kisa alisema unafaa kua makam wa Rais then ukawa Rais , hawezi kua KWA kiongozi mwenye hofu ya mungu ,that's l love Islamic hasa ukimkuta alieisoma din kwelikweli hawanaga longolongo maana Wana hofu ya Mungu haswa, labda wale tu wapo basi siku ziende, tofauti Sana na sie wakiristu unafiki umetujaa Sana japo tunaongoza kua na madhehebu kibao kila kona ,